Ni lini Israel ilikwambia kuwa inafahamu mateka walipo..?Gaza kuna nini cha maana kilichobaki?
Israel ilikuwa inajua hao mateka walipo.
Lakini kwa vile inajali wananchi wake, iliamua kutokutumia nguvu kuwakomboa kwa sababu kufanya hivyo kungekuwa ni counterproductive.
Kwa akili yako unadhani Israel ilishindwa kui carpet bomb Gaza?
Si kila wakati kutumia nguvu ni busara.
Utawakomboaje mateka waliozingirwa na adui yako?Ni lini Israel ilikwambia kuwa inafahamu mateka walipo..?
Yaani Netanyahu afahamu location ya mateka, na bado ashindwe kuwakomboa.
Ukiona hivyo,ujue,wanamgambo,wameshinda vita.Taifa kubwa,znayesaidiwa na,Marekzni,kukubaliana,na wanamgambo,waliowaita,magaidi,wanakaa nzo meza moja,na,kuwaomba wasitishe mapigano.Kwani wamekaa meza moja kula tende?
Walichokibaliana ni Israel kuacha kuinyuka Hamas na Hamas kiwaachiq mateka ilionao.
Hamas ikikiuka hayo makubaliano, kibano ki aendelee mpaka mfyekwe kabisa katika uso wa dunia.
Sawa, Hamas wameshinda 🤣.Ukiona hivyo,ujue,wanamgambo,wameshinda vita.Taifa kubwa,znayesaidiwa na,Marekzni,kukubaliana,na wanamgambo,waliowaita,magaidi,wanakaa nzo meza moja,na,kuwaomba wasitishe mapigano.
We jamaaa kumbe mweupe kias ichi sasa wapige carpet bomb Gaza wakati kuna nchi zenye nguvu zinamshambulia Israel kila siku kama iyo Iran kupitia Yemen uko Israel awakuwa na uwezo kuzuiya silaha za Iran vip ujichanganye kutumia carpet boom!!!!Gaza kuna nini cha maana kilichobaki?
Israel ilikuwa inajua hao mateka walipo.
Lakini kwa vile inajali wananchi wake, iliamua kutokutumia nguvu kuwakomboa kwa sababu kufanya hivyo kungekuwa ni counterproductive.
Kwa akili yako unadhani Israel ilishindwa kui carpet bomb Gaza?
Si kila wakati kutumia nguvu ni busara.
Halafu huyu Yahudi mweusi anasema biti la Trump toka lini Hamas wakaogopa.Aibu kubwa,kushindwa na wana mgambo.
Huyo ni mdau wa Fox News, Newsmax na OANKaka huyo unayemwambia inaonekana hata hafuatilii mambo ya geopolitics. Anachokiona CNN na BBC basi anameza kama kilivyo.
Unamaanisha kwamba mateka mmoja tu wa ki Israel thamani yake ni sawa na wapalestina 30?,mwanajeshi mmoja wa kike ni sawa na wapalestina 50?.✅ Wafungwa 30 wa Kipalestina wataachiliwa kwa kila mateka 1 wa Israel
✅ Wafungwa 50 wa Kipalestina wataachiliwa HURU kwa kila mwanajeshi 1 wa kike wa Israel
✅ Israel itajiondoa kabisa Gaza
Hahahaa eti Biti la Trump😂
Huwezi kujieleza vizuri ukaeleweka?We jamaaa kumbe mweupe kias ichi sasa wapige carpet bomb Gaza wakati kuna nchi zenye nguvu zinamshambulia Israel kila siku kama iyo Iran kupitia Yemen uko Israel awakuwa na uwezo kuzuiya silaha za Iran vip ujichanganye kutumia carpet boom!!!!
Wejamaaa ivi unajua Israel imezika watu wangapi kupitia vita ivi awana hamu ya vita waisrael na wala waisrael awatokuwa wachokozi kama mwanzo vile VIFO vitawafikilisha sana .maguvu sio kitisho kwa wapalestina waisrael wenye akili waliokimbia awarudi kuishi pale air defence awana!!!! Litawaogopesha wengi ndani ya Israel.Kwani wamekaa meza moja kula tende?
Walichokibaliana ni Israel kuacha kuinyuka Hamas na Hamas kiwaachiq mateka ilionao.
Hamas ikikiuka hayo makubaliano, kibano ki aendelee mpaka mfyekwe kabisa katika uso wa dunia.
Uharo mtupu.Unamaanisha kwamba mateka mmoja tu wa ki Israel thamani yake ni sawa na wapalestina 30?,mwanajeshi mmoja wa kike ni sawa na wapalestina 50?.
Kwa hiyo Israel wako sahihi kuwaangamiza wapalestina zaidi ya elfu45 kama fidia kwa raia wake 1200 waliouawa na Hama's? pia Israel wasilaumiwe kwa kuiacha magufu Gaza na kuwauawa viongozi wakuu wa Hama's na Hezbollah kwa ajili ya kujaribu kuwaokoa mateka zaidi ya 200 wa ki Israel na wa ki Tanzania waliotekwa?,kwa hiyo unamaanisha kuwa thamani ya muyahudi ni kubwa kuliko mpalestina?.
Wewe unajua Israel imezika watu wangapi?Wejamaaa ivi unajua Israel imezika watu wangapi kupitia vita ivi awana hamu ya vita waisrael na wala waisrael awatokuwa wachokozi kama mwanzo vile VIFO vitawafikilisha sana .maguvu sio kitisho kwa wapalestina waisrael wenye akili waliokimbia awarudi kuishi pale air defence awana!!!! Litawaogopesha wengi ndani ya Israel.
Ni kweli kwa uharo huu uliouandika kwa kuwachukulia wapalestina kama watu wasiokuwa na thamani mbele ya wayahudi,Hama's wakikuona ni lazima wakule kichwa wewe.Uharo mtupu.
Umeweka hisia zaidi kuliko uhalisia, pole sana.Nadhani tungetizama malengo ya kila mmoja halafu tutapata picha which is which.
Kampeni ya Israel ilikuwa na malengo makuu manne : kuitokomeza Hamas, kuwaachilia mateka, kuhakikisha Gaza haileti tishio tena kwa Israeli, na kuwarudisha wakaazi waliokimbia makazi yao Kaskazini mwa Israeli.
Israel imeshindwa kufikia malengo yake makuu, kama vile Marekani ilivyoshindwa huko Afghanistan na Vietnam.
Watu wanapaswa kuelewa: Kwa serikali kushinda dhidi ya wanamgambo kama Hamas au Hezbollah, nguvu haitoshi; unapaswa kushinda mioyo ya watu. Inabidi utoe mbadala bora kuliko hali ilivyo--katika kesi hii, Hamas. Inahitaji suluhisho la kisiasa, suluhisho la kiitikadi, sio la kijeshi. Lakini Israeli hawakushinda mioyo ya watu, kinyume chake kabisa. Israel na Marekani zilishindwa kuwaondoa kabisa kutoka Gaza--lengo lao kuu.
Hata Blinken juzi alisema Hamas imeongeza wapiganaji wengi zaidi hivi sasa kuliko walivyokuwa kabla ya vita.
Na vipi kuhusu mateka? Kuwaachilia mateka iliipaswa kuwa kipaumbele cha kwanza lakini Sio tu kwamba makumi yao bado wako mikononi mwa Hamas, lakini baadhi yao waliuawa wakati wa mashambulizi ya anga ya Israeli.
Badala ya kutokomeza Hamas, Israel imejifanya kuonekana kama taifa la kihuni, na Hamas wametoka katika hali hii wakionekana kama "watetezi" wa upinzani wa Palestina.
Sisemi Hamas hawana lawama, La hasha. Lakini jibu la maelfu ya mabomu hayakuitokomeza Hamas; iliimarisha masimulizi yao. Kila bomu lililoua raia, kila mtoto aliyetolewa kutoka kwenye vifusi, kila familia iliyokata tamaa iliyoachwa bila chakula au maji-yote hayo yalivhochea mashine ya propaganda ya Hamas.
Kijiografia, sifa ya Israeli imeharibika, limebakia sasa kama taifa pariah.Nchi nyingi (kama Uhispania, Ireland, Norway..nk) zimelitambua rasmi taifa la Palestina na hata kujiunga na kesi ya afrika kusini dhidi ya israel
Sifa ya Israel Kimataifa imechafuka. Viongozi wake wanatafutwa rasmi kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu. Wanajeshi wa IDF wamesimamishwa kote ulimwenguni. Kuna kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Israel na taswira yake imeharibiwa vibaya.
Kwa upande wa Palestina, ni wazi.. Gaza imeharibiwa. Zaidi ya 100k waliuawa na bado hakuna taifa la Palestina. Bado wanaishi bila utaifa chini ya vizuizi vya Israeli.
Hamas Walipata kabisa walichotaka. Walitaka kusalia madarakani, kurudisha sababu ya Palestina kuwa nchi huru, kuizuia mpango wa normalization wa Israel na Saudia na kusaidia wafungwa wa kipalestina kutoka jela.
Vita hivi vinaendea kwisha, lakini cha kusikitisha ni kwamba tatizo la Waisraeli na Wapalestina bado halijaisha. Mzozo utaendelea kwa miaka ijayo.
😀Teh teh teh eti wamebaki kwenye mashimo kama nguchiro 🤣.
Netanyahu kawanyoosha vizuri sana.
Bila pia kusahau alivyowahasi Hezbollah na zile pager zao 🤣.
Sasa hivi hao wapiganaji wa Hezbollah hawana mapuumbu 🤣.
Hata vile vibikira 72 haviwataki tena.
Gaza wamefariki wangapi? Na Carlifornia wamefariki wangapi?Gharama za kuirudisha Gaza kwenye ubora wake ni takriban usd 70b. Hasara ya moto wa marekani mpaka sasa imefikia usd 275b na bado moto unaendelea kuwaka
Team Lissu udini mumeweka mbeleWiki iliyopita, tarehe 7, Januari 2025, akiwa Mar a Lago, Rais Trump alichimba biti.
Alisema kwamba ifikapo tarehe 20 mwezi hao mateka wa Hamas hawajaachiwa, basi huko Mashariki ya Kati patachimbika.
Mapema leo/ jana, imetangazwa kuwa Israel na Hamas wamefikia makubaliano ya kusitisha mapigano [licha ya kwamba mapigano halisi yalikuwa yashaisha maana Hamas walikuwa hawapigani kwa sababu wametandikwa vibaya mno].
Katika makubaliano hayo, Hamas na Israel watabadilishana mateka kwa awamu.
Huyu hapa Rais Trump akichimba biti. Sidhani haya makubaliano ni sadfa tu iliyotokea.
Ni matokeo ya biti la Trump kwa Hamas 🤣.
View: https://youtu.be/6RpFe9j8UpU?si=9uNmGyTKD_X9mJW-
Smortrich, however it's spelled'..amepinga cease fire akiita ni kusalimu anti mbele ya Hamas,na katishia kuhamasisha kujitoa kwenye muungano na netanyahu, trump hatotoa hela za vita israel,ndiyo maana biden anaharakisha msaada wa mwisho kwa israel, hakuna beat la kuitisha hamasLike, are you serious? You can sit there and with a straight face claim that Hamas won?
Reeeaally? Causing unspeakable and unmitigated suffering is a win?
Okay 🤣.
Ni kweli kwa uharo huu uliouandika kwa kuwachukulia wapalestina kama watu wasiokuwa na thamani mbele ya wayahudi,Hama's wakikuona ni lazima wakule kichwa wewe.