Black Lives Matter: Images from around the world

Black Lives Matter: Images from around the world

Paula, all I have grasped from your account is an agreement with me that; "ALL LIVES MATTER"

Therefore the best way is to rephrase BLM into ALM.

ALM has broader sense than BLM, the broder sense it is the better, and it leaves no room for other forms of oppressions by one race over the another.
You've totally missed the point Mokaze.
Okay let's do this,

Me: CANCER ya vizazi kwa wanawake ni hatari na wengi wamekuwa wagumba na kupoteza maisha. Tupambane kutokomeza huu ugonjwa.

YOU: Cancer zote ni hatari au magonjwa yote ni hatari so Kusema saratani ya vizazi ndio hatari maana yake unasema zilizobaki siyo hatari.

Ndio tunajua cancer zote au magonjwa yote ni hatari lakini sicho tunachokizungumzia hapa. Hii ni campaign kwa ajili ya wakina mama wanaopoteza maisha na vizazi kwa sababu ya cancer ya vizazi. Usilazimishe tujumuishe magonjwa yote kwa sababu dhumuni la saratani ya vizazi itapoteza nguvu kwenye kutatuliwa.

Unapochagua jambo moja na kuamua kudeal nalo inaleta maana tofauti na issue za generality.

Wewe unadhani kwanini kuna campaign za HAKI ZA WANAWAKE? Haki za WATOTO , haki za Wajane? Unadhani hii ina maana waliobaki hawana haki? Au hawatakiwi kuwa na haki?
 
5F2BEDB3-D744-4506-9C27-28971B8B374E.png

Madonna akishiriki kwenye maandamano London Jana.
Kama unaishi nje ya nchi hasa Europe na America. Jaribu kushiriki kwenye haya maandamano, mengi ni peaceful. Hii ni kwa manufaa yako na hasa kizazi kijacho. Mpaka Madonna ambaye ni mweupe na Limited mobility lakini ameona umuhimu wa kushiriki!
 
You've totally missed the point Mokaze.
Okay let's do this,

Me: CANCER ya vizazi kwa wanawake ni hatari na wengi wamekuwa wagumba na kupoteza maisha. Tupambane kutokomeza huu ugonjwa.

YOU: Cancer zote ni hatari au magonjwa yote ni hatari so Kusema saratani ya vizazi ndio hatari maana yake unasema zilizobaki siyo hatari.

Ndio tunajua cancer zote au magonjwa yote ni hatari lakini sicho tunachokizungumzia hapa. Hii ni campaign kwa ajili ya wakina mama wanaopoteza maisha na vizazi kwa sababu ya cancer ya vizazi. Usilazimishe tujumuishe magonjwa yote kwa sababu dhumuni la saratani ya vizazi itapoteza nguvu kwenye kutatuliwa.

Unapochagua jambo moja na kuamua kudeal nalo inaleta maana tofauti na issue za generality.

Wewe unadhani kwanini kuna campaign za HAKI ZA WANAWAKE? Haki za WATOTO , haki za Wajane? Unadhani hii ina maana waliobaki hawana haki? Au hawatakiwi kuwa na haki?


Mokaze:
 
Kwanza haya maandamano yanatuharibia zaidi na kutufanya tudharauliwe na kila mtu, kwamba sisi tunataka special treatment kwa sababu ni binadamu wanyonge, pale ambapo wengine wanafight wanajitahidi kufanikiwa maishani sisi tunataka special treatment, sasa hivi kuna Universities USA zimelower reqirements for Blacks ili kuwasaidia, hiyo inaleta picha gani? Wengine wote Wachina, Wahindi wana struggle to get ahead sisi tunapewa special treatment, sasa nani atakuheshimu?

Hii BLM inaharibu zaidi maisha na heshima yetu kuliko watu wanavyodhania, hakuna mtu atatuheshimu, kwani tunaonesha unyonge wetu mbele ya Dunia, I mean kwa nini Muzungu anayeishi New Zealand akaandamane eti Black life matters? Ina maana sisi kama weusi tuna tatizo, ndiyo tafsiri yake, ...

kabisa mkuu na huo ndio ukweli, always blacks tunademend kupatiwa special favour
 
You've totally missed the point Mokaze.
Okay let's do this,

Me: CANCER ya vizazi kwa wanawake ni hatari na wengi wamekuwa wagumba na kupoteza maisha. Tupambane kutokomeza huu ugonjwa.

YOU: Cancer zote ni hatari au magonjwa yote ni hatari so Kusema saratani ya vizazi ndio hatari maana yake unasema zilizobaki siyo hatari.

Ndio tunajua cancer zote au magonjwa yote ni hatari lakini sicho tunachokizungumzia hapa. Hii ni campaign kwa ajili ya wakina mama wanaopoteza maisha na vizazi kwa sababu ya cancer ya vizazi. Usilazimishe tujumuishe magonjwa yote kwa sababu dhumuni la saratani ya vizazi itapoteza nguvu kwenye kutatuliwa.

Unapochagua jambo moja na kuamua kudeal nalo inaleta maana tofauti na issue za generality.

Wewe unadhani kwanini kuna campaign za HAKI ZA WANAWAKE? Haki za WATOTO , haki za Wajane? Unadhani hii ina maana waliobaki hawana haki? Au hawatakiwi kuwa na haki?
Very clear and no other way to explain it.
 
View attachment 1471878
Madonna akishiriki kwenye maandamano London Jana.
Kama unaishi nje ya nchi hasa Europe na America. Jaribu kushiriki kwenye haya maandamano, mengi ni peaceful. Hii ni kwa manufaa yako na hasa kizazi kijacho. Mpaka Madonna ambaye ni mweupe na Limited mobility lakini ameona umuhimu wa kushiriki!

huyo dada akili zake hazipo sawa, musimfanye nguzo yenu
 
Kwanza haya maandamano yanatuharibia zaidi na kutufanya tudharauliwe na kila mtu, kwamba sisi tunataka special treatment kwa sababu ni binadamu wanyonge, pale ambapo wengine wanafight wanajitahidi kufanikiwa maishani sisi tunataka special treatment, sasa hivi kuna Universities USA zimelower reqirements for Blacks ili kuwasaidia, hiyo inaleta picha gani? Wengine wote Wachina, Wahindi wana struggle to get ahead sisi tunapewa special treatment, sasa nani atakuheshimu?

Hii BLM inaharibu zaidi maisha na heshima yetu kuliko watu wanavyodhania, hakuna mtu atatuheshimu, kwani tunaonesha unyonge wetu mbele ya Dunia, I mean kwa nini Muzungu anayeishi New Zealand akaandamane eti Black life matters? Ina maana sisi kama weusi tuna tatizo, ndiyo tafsiri yake, ...
Good points!

Halafu tatizo jingine ni kwamba, kwa Marekani ni kama vile mauaji ya weusi kwa weusi, watu hawataki kuyasikia. Ni kama wanayafumbia macho.
 
Friends...this one has a different feel to it.

There’s something about it that makes it very different from events of the past.

Demonstrations from Kosovo to Tunisia to Bulgaria.

From Seoul to Tokyo.

Wow! Just wow!

I hope it will be that watershed moment in the quest for social justice and equal human rights.

I’ll keep my fingers crossed and my eyes wide open that it is that moment!

View attachment 1471428View attachment 1471429View attachment 1471430View attachment 1471431View attachment 1471432View attachment 1471433View attachment 1471434View attachment 1471435View attachment 1471436

Huyo alotupa mgongo Nedherlands anaita aisee
 
Swala ni jinsi Dunia inavyotuona, sisi ni watu dhaifu ambao tunahitaji ,,Special treatment” kusurvive, usisahahu kwamba siyo sisi tu tunaobaguliwa Wachina, Wahindi, Waarabu wote wanabaguliwa lkn ulishawahi kusikia Dunia nzima ikiandamana na Arab lives matter au Indian na Chinese? Kwa nini sisi tu?

Usisahau pia Waafrika tunalia pia kubaguliwa ndanii ya Afrika yetu na wageni wakati kila kitu ni chetu, sasa kwa nini?

Nilifika Ghana, huko kuna Walebanoni wengi wanafanya Biashara, Waghana wanalalamika kubaguliwa na Walebanoni ndani ya Ghana, kwa nini Walebanoni wasibaguliwe na Waghana ndani ya Ghana?

Huu ujinga wa BLM unafanya more damage kwa mtu mweusi, kwani hakuna mtu atakuheshimu kama wewe ni mtu wa kuhurumiwa na kupewa special treatment, ...
African Amercan ni raia halali wa USA. Au siyo kweli?
Why wachina, waarabu, wahindi waandamane wakati wanauwezo wa kurudi kwenye nchi zao hata kama watetendewa ndivyo sivyo?.
Black Americans wakimbilie nchi gani? Acheni watu watoe nyongo zao kama raia halali. Mnataka wavumilie yasiyo sawa ndani ya nchi yao?
Mkibaguliwa nyie hapa Tz mtakaa kimya? Wakisema wanabaguliwa wao ndo wanajua wanabaguliwa vipi nyie wa buza huku acheni kuingilia mambo ya wamarekani.
Ngoma msiyoicheza hamjui ladha yake. Kila siku mnasema Magu anapendelea wasukuma , Mara wachaga wana Ubaguzi sijui Ukanda. Mara chadema haijali watu kutoka makabila wengine. Pambaneni na mambo yenu ya ndani kwanza.
 
African Amercan ni raia halali wa USA. Au siyo kweli?
Why wachina, waarabu, wahindi waandamane wakati wanauwezo wa kurudi kwenye nchi zao hata kama watetendewa ndivyo sivyo?.
Black Americans wakimbilie nchi gani? Acheni watu watoe nyongo zao kama raia halali. Mnataka wavumilie yasiyo sawa ndani ya nchi yao?
Mkibaguliwa nyie hapa Tz mtakaa kimya? Wakisema wanabaguliwa wao ndo wanajua wanabaguliwa vipi nyie wa buza huku acheni kuingilia mambo ya wamarekani.
Ngoma msiyoicheza hamjui ladha yake. Kila siku mnasema Magu anapendelea wasukuma , Mara wachaga wana Ubaguzi sijui Ukanda. Mara chadema haijali watu kutoka makabila wengine. Pambaneni na mambo yenu ya ndani kwanza.
tatizo hawa watu wanaandamana halafu hawana hata specific reforms ambazo wanazitaka
wanadai Polisi wanaua zaidi watu weusi, ila ukichambua data za za uhalifu na mauaji ya polisi, utaona weusi ndio wana tatizo, ila wanakuita mbaguzi
ukiangalia haya maandamano bila bias utaona ni yamejaa tu unafiki
 
Copied..
Cc: Ngabu nyani

Trump is not your typical politician.

I didn’t see him winning in 2016 and he did.

My gut feeling tells me he won’t win again this year...but my gut feeling is just that. A gut feeling.

We’ll find out on election day.



Sent using Jamii Forums mobile app
Well,,
Nice argument.
Good for you.
 
African Amercan ni raia halali wa USA. Au siyo kweli?
Why wachina, waarabu, wahindi waandamane wakati wanauwezo wa kurudi kwenye nchi zao hata kama watetendewa ndivyo sivyo?.
Black Americans wakimbilie nchi gani? Acheni watu watoe nyongo zao kama raia halali. Mnataka wavumilie yasiyo sawa ndani ya nchi yao?
Mkibaguliwa nyie hapa Tz mtakaa kimya? Wakisema wanabaguliwa wao ndo wanajua wanabaguliwa vipi nyie wa buza huku acheni kuingilia mambo ya wamarekani.
Ngoma msiyoicheza hamjui ladha yake. Kila siku mnasema Magu anapendelea wasukuma , Mara wachaga wana Ubaguzi sijui Ukanda. Mara chadema haijali watu kutoka makabila wengine. Pambaneni na mambo yenu ya ndani kwanza.

Safi sana, waache wenyewe wajipiganie na hawa wengine wote wa London, Paris, Nairobi & Co. ni wanafiki tu na hawajui chochote na wala hawana uchungu wowote na maisha ya Black man in Amerika, isitoshe usisahau kwamba Black on black crime and homicide inatokea kwenye black run Cities kama Baltimore, Detroit au Chicago hata George Floyd ameuliwa kwenye State inayoongozwa na liberals ambao ndio masponsor wa BLM, ...
 
tatizo hawa watu wanaandamana halafu hawana hata specific reforms ambazo wanazitaka
wanadai Polisi wanaua zaidi watu weusi, ila ukichambua data za mauaji ya polisi wanakuita mbaguzi
ukiangalia haya maandamano bila bias utaona ni makelele tu yasiyo na msingi
Ndo maana nimesema ngoma usiyoicheza hauwezi kujua ladha yake.
Unadhani wanachokidai kingekuwa si kweli wangeachwa waandamane? Kwenye maandamano watu weupe ni wengi sawa au pengine hata zaidi ya weusi. Hawajui wanachokipigania? Wakati hata watu weupe wanaona watu weusi hawatendewi haki sisi waTz wa Buza huku tunasema "adui wa blacks ni blacks" vifua mbele bila aibu.
Wazungu wameungana na na weusi kupigania haki huku sisi tunaenda kinyume na watu weusi wa marekani. Ndo uadui mwenyewe huu tunaouongelea.
Kweli watu weusi hatupendani. Ndo maana ni rahisi kutawaliwa kwa sababu hatuna umoja.
 
Safi sana, waache wenyewe wajipiganie na hawa wengine wote wa London, Paris, Nairobi & Co. ni wanafiki tu na hawajui chochote na wala hawana uchungu wowote na maisha ya Black man in Amerika, ...
Mimi nikisema nimelala njaa au ninahisi njaa unatakiwa uniamini kwa sababu mimi ndiye ninayehisi sio wewe.
Kama unaupendo show love kunipigania nipate chakula na siyo kwenda kinyume na mimi kwamba sihisi njaa. Na ndicho wanachokifanya dunia ya watu wenye uelewa kwa black Americans.
 
Mimi nikisema nimelala njaa au ninahisi njaa unatakiwa uniamini kwa sababu mimi ndiye ninayehisi sio wewe.
Kama unaupendo show love kunipigania nipate chakula na siyo kwenda kinyume na mimi kwamba sihisi njaa. Na ndicho wanachokifanya dunia ya watu wenye uelewa kwa black Americans.


Lakini Dunia haiko fair hivyo jinsi unavyoifikiria wewe, hakuna mtu baki atakayekujali kuliko unavyojijali wewe, ...
 
Ndo maana nimesema ngoma usiyoicheza hauwezi kujua ladha yake.
Unadhani wanachokidai kingekuwa si kweli wangeachwa waandamane? Kwenye maandamano watu weupe ni wengi sawa au pengine hata zaidi ya weusi. Hawajui wanachokipigania? Wakati hata watu weupe wanaona watu weusi hawatendewi haki sisi waTz wa Buza huku tunasema "adui wa blacks ni blacks" vifua mbele bila aibu.
Wazungu wameungana na na weusi kupigania haki huku sisi tunaenda kinyume na watu weusi wa marekani. Ndo uadui mwenyewe huu tunaouongelea.
Kweli watu weusi hatupendani. Ndo maana ni rahisi kutawaliwa kwa sababu hatuna umoja.
wameachwa waandamane kwa sababu ni haki yao kuandamana. na sio wote wanaoandamana,pia wapo weupe wengi wasiounga mkono hayo maandamano
Wapo weusi wengi wa Marekani wanaoona haya maandamano hayana hoja ya msingi,
Sio lazima watu weusi wote tukubaliane na jambo moja kama manyumbu, watu weusi ni independent thinkers na wana uhuru wa kutofautina maoni
Hii dunia ni kijiji, kama ungekuwa unafuatilia hoja za haya maandamano na hoja za kuyapinga, ungeona wanaoyapuuza wana hoja za msingi kuliko hawa waandamanaji, ila kwa kuwa wewe ni mfuata mkumbo hutaweza
 
Lakini Dunia haiko fair hivyo jinsi unavyoifikiria wewe, hakuna mtu baki atakayekujali kuliko unavyojijali wewe, ...
Lakini angalau wanaonesha kujali hadharani hayo mengine watajua mwenyewe mioyoni mwao.
 
Back
Top Bottom