Black Lives Matter: Images from around the world

Black Lives Matter: Images from around the world

wameachwa waandamane kwa sababu ni haki yao kuandamana. na sio wote wanaoandamana,pia wapo weupe wengi wasiounga mkono hayo maandamano
Wapo weusi wengi wa Marekani wanaoona haya maandamano hayana hoja ya msingi,
Sio lazima watu weusi wote tukubaliane na jambo moja kama manyumbu, watu weusi ni independent thinkers na wana uhuru wa kutofautina maoni
Hii dunia ni kijiji, kama ungekuwa unafuatilia hoja za haya maandamano na hoja za kuyapinga, ungeona wanaoyapuuza wana hoja za msingi kuliko hawa waandamanaji, ila kwa kuwa wewe ni mfuata mkumbo hutaweza
Hata viongozi wa nchi wakubwa huko nimeona wakisapoti #blacklivesmatter . Sisi wabuza huku Mungu ndio anayejua tunachokifanya.
Sina muda wa kufuatilia hoja za wanayoyapinga. Ila yangepingwa na viongozi wa nchi ningepata taarifa mwenye radio yangu ya mbao hapa. Taarifa ninazopata ni hata hao wanasikitika.
 
Hata viongozi wa nchi wakubwa huko nimeona wakisapoti #blacklivesmatter . Sisi wabuza huku Mungu ndio anayejua tunachokifanya.
Sina muda wa kufuatilia hoja za wanayoyapinga. Ila yangepingwa na viongozi wa nchi ningepata taarifa mwenye radio yangu ya mbao hapa. Taarifa ninazopata ni hata hao wanasikitika.
Ndio wapo viongozi wanayoyaunga mkono, lakini pia wapo wasiyoyaunga mkono,
Lakini viongozi Ni wanasiasa, na wanasiasa wataunga mkono kinachoendana na narrative yao
 
Ndio wapo viongozi wanayoyaunga mkono, lakini pia wapo wasiyoyaunga mkono,
Lakini viongozi Ni wanasiasa, na wanasiasa wataunga mkono kinachoendana na narrative yao
Hao wasiounga mkono wamekemea hadharani? Wamesema popote hadharani kwamba watu wanaandamana kwa sababu zisizo za msingi?
Naongelea viongozi na watu wakubwa kwenye nchi ambao wana ushawishi mkubwa.? Wapo?
 
Hao wasiounga mkono wamekemea hadharani? Wamesema popote hadharani kwamba watu wanaandamana kwa sababu zisizo za msingi?
Naongelea viongozi na watu wakubwa kwenye nchi ambao wana ushawishi mkubwa.? Wapo?
Waziri Mkuu wa Uingereza hajaunga mkono, Australia haya maandamano yalipigwa Maraufuku, hata Trump mweneyewe hakuyaunga mkono
 
Waziri Mkuu wa Uingereza hajaunga mkono, Australia haya maandamano yalipigwa Maraufuku, hata Trump mweneyewe hakuyaunga mkono
Waziri mkuu wa UK alionesha kusikitika kwa kilichotokea na akawataka maandamano yawe ya amani.
Kila aliyeogopa maandamano hakutaka vurugu na siyo maandamano yalionekana hayana maana.
Hata Trump alichopinga ni vurugu ile uharibifu wa vitu na sio maandamano.
 
Waziri mkuu wa UK alionesha kusikitika kwa kilichotokea na akawataka maandamano yawe ya amani.
Kila aliyeogopa maandamano hakutaka vurugu na siyo maandamano yalionekana hayana maana.
Hata Trump alichopinga ni vurugu ile uharibifu wa vitu na sio maandamano.
Hoja ya waandamanaji wanasema kuna ubaguzi mkubwa wa kimfumo USA na UK, hawa viongozi wamekataa hakuna ubaguzi wa kimfumo,kuna baadhi ya watu wabaguzi
Pia waandamanaji walikuwa wakiharibu vitu wakidai riot is the language of the unheard, wakimaanisha hawajawahi kusikilizwa ndio maana wanaharibu vitu, baada ya kukemewa na jeshi kutumika wakaachana na huo msimamo wao
wengine hawayaungi mkono lakini wanakaa kimya tu bila kuya promote
 
Hoja ya waandamanaji wanasema kuna ubaguzi mkubwa wa kimfumo USA na UK, hawa viongozi wamekataa hakuna ubaguzi wa kimfumo,kuna baadhi ya watu wabaguzi
Pia waandamanaji walikuwa wakiharibu vitu wakidai riot is the language of the unheard, wakimaanisha hawajawahi kusikilizwa ndio maana wanaharibu vitu, baada ya kukemewa na jeshi kutumika wakaachana na huo msimamo wao
wengine hawayaungi mkono lakini wanakaa kimya tu bila kuya promote
Weka source inayoonesha hayo uliyoyasema.
 
Back
Top Bottom