Black Magic: Siri ya Kwanini Watu hupelekwa Makaburini na Waganga

Black Magic: Siri ya Kwanini Watu hupelekwa Makaburini na Waganga

Nini kimekufanya ubishe Jambo ambalo Huna Elimu nalo
Nimebisha baada ya kusoma uongo ulioandika, mfano;
Kumtuma mtu akatafute kitoto kichanga kilichokufa????? Akitumie kuendeleza ndoto za huyo mtoto zihamie kwake????? Nyota gani inayopatikana kwa mfu!!!? Sina elimu lakini nina mengi usiyoyajua wewe.
 
Nilivyosikia mimi(haya mambo siyajui kabisa, nasikia tu kwa watu)

black magic ni uchawi unaotumika kwa matumizi mabaya, kumdhuru mwanadamu

hiyo ya wafu waliokufa kabla na baada ya muda wao nimeisikia pia lakini zaidi nimesikia kuna tawi la uchawi(uchawi unachukuliwa kama taaluma muda mwingine) la kuzungumza na wafu, linaitwa necromancy

sijui wachawi wanazungumza na wafu kwanini, lakini huenda ikawa ndo sababu ya wao kuhangaika na makaburi

vile vile nimegundua uchawi unachukuliwa kitofauti tofauti ndani ya tamaduni mbalimbali, labda uchawi wa kibongo ndo huu mtibeli anatuelezea
 
Part one...01.
mtu anapokata roho kwa kusui la Mungu baada ya kumaliza siku zake za kuishi diniani,Roho yake hutoka na kwenda kuzimu instantly sekunde hiyohiyo.
Roho yake ikifika kuzimu kuna diversion njia mbili MILANGO MIWILI njia kwanza ya GIZA hii ni kwa wale walioishi katika maisha ya dhambi duniani na wamekufa wakiwa katika dhambi(Hupokelewa na mapepo kupelekwa kwenye mateso).
njia ya pili/mlango wa pili njia ya MOTO hapa zibapita roho za waliotenda mema ambao wamekufa katika utakatifu bila ya kuwa na dhambi(mlango huu unalindwa na malaika mwwnye upanganwa moto ,malaika wanakuja kuipokea roho hii kuipeleka mbinguni.
1)HAKUNA UHUSIANO wa mahali utakapozikwa na destiny ya mahali roho yako itakapokwenda.Kitu pekee ambacho kinaweza ku determine wapi roho yako itakwenda kuzimu ya mateso au mbinguni ni matendo yako kipindi cha maisha yako mpaka sekunde ya mwisho ukiwa hai duniani(UTAVUNA ULICHOPANDA) yani utakatifu wako utakupeleka mbinguni na dhambi zako zitakupeleka kuzimu ya mateso/motoni.
2)ROHO haibaki kaburini au duniani kuzurura zurura ikisubiri,bali sekunde hiyo hiyo inaenda sehemu husika kulingana na matendo ya huyo mwanadamu kabla hajafa.
Kinachobaki duniani mwili tu ambao hauna uhai,nyama nyama ambao ni mavumbi unasubiri kuzikwa na kuoza.
Hata usipozikwa mfano wale ambao miili yao hupotea porini,baharini,kuungua moto au hata usipozikwa ,lakini bado haina effect mana mwili ni mavumbi utarudi mavumbini utaoza ndio expire date mwisho wa mwili.Ila ROHO ndio haifi ila inaenda kwenye destiny yake sekunde hiyo hiyo bila ku delay hata kabla huku duniani hijazikwa roho yako ishafika kuzimu.
summary
kuzimu ni njia panda ya kwenda mbinguni au hata kubaki huko kwenye mateso kuzimu ya mateso.
part two 02
kuhusu waganga wa kienyeji mawakala wa kuzimu (wachawi,waganga wa kienyeji,majini,mapepo n.k
NI KWELI KWAMBA KABURI NI MLANGO WA KUZIMU
na sio kaburi pekee ambalo mlango ya kuzimu
milango mingine ni ya kuzimu ni pamoja na CHOO, na water bodies vyanzo vya maji kama BAHARI,MITO,MAZIWA,MABWAWA ,HATA VISIMA VYA KUCHIMBA ARDHINI.
Kwanini waganga wanapendelea kutumia makaburi kama mlango wa kuzimu hata bahari,mito,maziwa,mabwawa,visima na vyoo ni kwa sababu
Wao ni mawakala wa kuzimu wanafanya kazi kwa ushirikiano na kuzimu hivyo ni rahisi wao kupata msaada wa majini,mapepo,mizimu(majini ya ukoo) kwa urahisi kuwasiliana au kuonana na mawakala wa kuzimu au kwenda kuzimu kupata nguvu kupitia malango hayo.
Kuzimu zimegawanywa katika sections zaidi ya moja kuna level mbalimbali ma kuna kuzimu nyingine hata baadhi ya wachawi na waganga wahajawahi kufika na kuziona inategemea na cheo alichonacho .Ila hii kuzimu ya kuja kuongeza nguvu na kuomba misaada kutoka ufalme wa giza(Hata baadhi ya binadamu walio hai huwa wanaenda kwa msaada wa mawakala wa ufalme wa giza(mizimu,mapepo,majini,waganga wa kienyeji) kuomba kupewa nguvu mvuto mfano waganga,wachawi,wafanyabiashara,wanasiasa,wasanii,manabii na mitume wa uongo wa vitu vya upako vinatoka kuzimu..lakini level one kama reception
yale yanayoendele kwa ground ni wachache wamefika na wanajua siri hiyo
 
Alicho
Part one...01.
mtu anapokata roho kwa kusui la Mungu baada ya kumaliza siku zake za kuishi diniani,Roho yake hutoka na kwenda kuzimu instantly sekunde hiyohiyo.
Roho yake ikifika kuzimu kuna diversion njia mbili MILANGO MIWILI njia kwanza ya GIZA hii ni kwa wale walioishi katika maisha ya dhambi duniani na wamekufa wakiwa katika dhambi(Hupokelewa na mapepo kupelekwa kwenye mateso).
njia ya pili/mlango wa pili njia ya MOTO hapa zibapita roho za waliotenda mema ambao wamekufa katika utakatifu bila ya kuwa na dhambi(mlango huu unalindwa na malaika mwwnye upanganwa moto ,malaika wanakuja kuipokea roho hii kuipeleka mbinguni.
1)HAKUNA UHUSIANO wa mahali utakapozikwa na destiny ya mahali roho yako itakapokwenda.Kitu pekee ambacho kinaweza ku determine wapi roho yako itakwenda kuzimu ya mateso au mbinguni ni matendo yako kipindi cha maisha yako mpaka sekunde ya mwisho ukiwa hai duniani(UTAVUNA ULICHOPANDA) yani utakatifu wako utakupeleka mbinguni na dhambi zako zitakupeleka kuzimu ya mateso/motoni.
2)ROHO haibaki kaburini au duniani kuzurura zurura ikisubiri,bali sekunde hiyo hiyo inaenda sehemu husika kulingana na matendo ya huyo mwanadamu kabla hajafa.
Kinachobaki duniani mwili tu ambao hauna uhai,nyama nyama ambao ni mavumbi unasubiri kuzikwa na kuoza.
Hata usipozikwa mfano wale ambao miili yao hupotea porini,baharini,kuungua moto au hata usipozikwa ,lakini bado haina effect mana mwili ni mavumbi utarudi mavumbini utaoza ndio expire date mwisho wa mwili.Ila ROHO ndio haifi ila inaenda kwenye destiny yake sekunde hiyo hiyo bila ku delay hata kabla huku duniani hijazikwa roho yako ishafika kuzimu.
summary
kuzimu ni njia panda ya kwenda mbinguni au hata kubaki huko kwenye mateso kuzimu ya mateso
Mtoa mada yuko sahihi sana!hayo mambo ya adhabu za kuzimu hayapo mkuu,ukifa roho inabaki inazurula tu ikisubiri kuuvaa mwili mpya ambao hautoki nje ya ukoo wenu!KUZIKANA NJE YA MAKABURI YA UKOO ni kuzisababishia roho zenu kuhangaika sana kuipata hiyo miili mipya!na ndiyo maana watu siku hizi wanachangamoto sana za kutokupata watoto😓
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
part two 02
kuhusu waganga wa kienyeji mawakala wa kuzimu (wachawi,waganga wa kienyeji,majini,mapepo n.k
NI KWELI KWAMBA KABURI NI MLANGO WA KUZIMU
na sio kaburi pekee ambalo mlango ya kuzimu
milango mingine ni ya kuzimu ni pamoja na CHOO, na water bodies vyanzo vya maji kama BAHARI,MITO,MAZIWA,MABWAWA ,HATA VISIMA VYA KUCHIMBA ARDHINI.
Kwanini waganga wanapendelea kutumia makaburi kama mlango wa kuzimu hata bahari,mito,maziwa,mabwawa,visima na vyoo ni kwa sababu
Wao ni mawakala wa kuzimu wanafanya kazi kwa ushirikiano na kuzimu hivyo ni rahisi wao kupata msaada wa majini,mapepo,mizimu(majini ya ukoo) kwa urahisi kuwasiliana au kuonana na mawakala wa kuzimu au kwenda kuzimu kupata nguvu kupitia malango hayo.
Kuzimu zimegawanywa katika sections zaidi ya moja kuna level mbalimbali ma kuna kuzimu nyingine hata baadhi ya wachawi na waganga wahajawahi kufika na kuziona inategemea na cheo alichonacho .Ila hii kuzimu ya kuja kuongeza nguvu na kuomba misaada kutoka ufalme wa giza(Hata baadhi ya binadamu walio hai huwa wanaenda kwa msaada wa mawakala wa ufalme wa giza(mizimu,mapepo,majini,waganga wa kienyeji) kuomba kupewa nguvu mvuto mfano waganga,wachawi,wafanyabiashara,wanasiasa,wasanii,manabii na mitume wa uongo wa vitu vya upako vinatoka kuzimu..lakini level one kama reception
yale yanayoendele kwa ground ni wachache wamefika na wanajua siri hiyo
part three 03
KUHUSU ULINZI WA ROHO NA MWILI WA ALIYEKUFA.
Mwili wa yeyote aliyekufa akiwa hana dhambi mtakatifu ambaye roho yake imepita kuzimu ikapitia mlango wa moto na kupokelewa na malaika ukaenda mbinguni.Mwili wake na roho yake inakuwa na ulinzi wa Mungu kupitia malaika kama ulibahatika kuzikwa kaburini kaburi lake linakuwa linalindwa na malaika dhidi ya adui ufalme wa giza na mawakala zake.Hata wachawi au waganga wa kienyeji na majini mapepo hayawezi kudhuru kaburi au mwili wa mwenye haki mtakatifu aliyekufa katika utakatifu awe mtoto,kijana au mzee.
Ila kama umekufa katika dhambi mwili wako ni chakula cha wachawi wanaweza kuutumia katika kazi zao za kishirikina,na hata kaburi lako halina ulinzi wa Mungu/malaika.Ni shamba la bibi.
NI KWELI nakubalina na mtoa mada kuwa kuna watu wanakufa kabla ya wakati wao,sio kwa mpango wa Mungu.
Hawa kinachotokea katika ulimwengu wa roho wanakuwa wamechukuliwa msukule hawajafa kiuhalisia wanaishi maisha mengine ila wanatumikishwa kama msukule na roho zao na miili yao wanayo,hata kama waliposemekan kuaminika wamekufa mliona miili yao ikizikwa lakini mlichokiona sio halisi ni kiini macho mnaona mgomba,au jini lililovaa sura yake ambalo mkilizika jini linapitia mlango wa kuburi linatokea nyumbani kwake kuzimu,au mti,au mnyama au kitu chochote ila sio marehemu.
Ki uhalisia anakuwa hajafa ila amechukuliwa msukule kwa ajili ya kutumikishwa kwenye shughuli za kishirikina na ,ikiwemo kuibiwq nyota yake NYOTA yake inaibwa hapa nakubaliana na mtoa mada.
Siku yake ya kufa ikifika atakufa kweli na ataenda kuzikwa kweli kweli baada ya muda kupita siku akija kufa kweli siku zake alizoandikiwa zikitimia.Au asipozikwa anaweza mwili wake ukatumika katika shughuli mbalimbali za kichawi/kishirikina ikiwemo kuliwa,kivimwa na kuwa manivu ya kutengenezwa dawaza kichawi.
mwili wa mtu aliyechukuliwa msukule ni wa yule aliyeishi maisha yasiyo ya kitakatifu au yenye dhambi pindi akiwa duniani.Hivyo hana ulinzi wa Mungu ndio mana hata imekuwa rahisi kuchukuliwa msukule.Japo hawa watu wenye Mungu walio duniani wakifanya maombi kwa Mungu msukule anaweza kurudi duniani.Au Mungu anaweza kumpa neema ya kuomuokoa msukule kutoka kutumikishwa na washirikina ndio hawa ambao huonekana tena duniani baada ya kufa na kuzikwa,baadae hata baada ya miaka kupita anakuja kuibuka na kurudi nyumbani duniani.Watu wanastaajabu kufufuka kwa mtu aliyekufa wengine baada ya kumtamvua na kuthibitisha ni kweli mi yeye waliyemzika ndugu na jamaa huenda kufukua hata kaburi lake.Mtu huyu asipo kuwa na nguvu ya Mungu kusali na kuombewa huendelea kufuatiliwa na washirikina kutaka kumrudisha msukule
 
Alicho

Mtoa mada yuko sahihi sana!hayo mambo ya adhabu za kuzimu hayapo mkuu,ukifa roho inabaki inazurula tu ikisubiri kuuvaa mwili mpya ambao hautoki nje ya ukoo wenu!KUZIKANA NJE YA MAKABURI YA UKOO ni kuzisababishia roho zenu kuhangaika sana kuipata hiyo miili mipya!na ndiyo maana watu siku hizi wanachangamoto sana za kutokupata watoto😓
katika ukoo kila mwili(mtu ) ana roho yake na mwili wake +nafsi yake.Kama mtu mmoja kwenye ukoo akifa roho yake inabaki kuzurura kusubiri mwili mpya kutoka kwenye ukoo?mwana ukoo wa mwisho kufa hatapata mwili ?na je kama roho yake itachukua mwili wa mwenzake na wa kwake utaenda wapi?kwa nini roho ichukue mwili wa mwingine aliyekufa badala ya wake?
Na vipi kuhusu miili yaa wale wanaoliwa na wanyama wakali wa porini,wanaokufa baharini miili yao ikapotelea baharini bila kupatikana kuonekana,au wanaoungua na moto au tindikali inayoinguza mwili mzima MIILI IKATEKETEA mpaka mifupa mpaka majivu,au wale wanaozika kwa kuchoma moto.JE HAWA MAKABURI YAO HAWANA
 
Nimebisha baada ya kusoma uongo ulioandika, mfano;
Kumtuma mtu akatafute kitoto kichanga kilichokufa????? Akitumie kuendeleza ndoto za huyo mtoto zihamie kwake????? Nyota gani inayopatikana kwa mfu!!!? Sina elimu lakini nina mengi usiyoyajua wewe.

Kwa uelewa wako Nyota NI kitu gàni?
 
Nimebisha baada ya kusoma uongo ulioandika, mfano;
Kumtuma mtu akatafute kitoto kichanga kilichokufa????? Akitumie kuendeleza ndoto za huyo mtoto zihamie kwake????? Nyota gani inayopatikana kwa mfu!!!? Sina elimu lakini nina mengi usiyoyajua wewe.
Ni kweli nyota inaweza kupatikana kwa msukule ambaye ki uhalisia anakuwa hajafa yuko hai amefichwa,Misukule wengi ndio walioibwq nyota zao na wakati mwingine nyota yako ndiyo inaweza kuwa sababu ya kukuwinda wakuchukue msukule ili waibe nyota yako.Au wakufanye kichaa unaokota makopo au unashinda barabarani ni aina ya msukule ambaye ameibiwa nyota yake lakini yupo duniani lakini kama kichaa ila nyota yake inatumiwa na mwingine.Na wengine waliohai nyota zao zinaweza kuibwa.Lakini kama ni mzima timamu unajitambua na utashi wako,nyota yako haijaibwa ila inaeweza kuwa inafunikwa aubunafanyiwq ushirikina fulani lakini nyota yako ipo.
Kama siyo msukule sio kichaa AU TAHIRA hujaibiwa haijaibwa nyota yako ipo.
Kuhusu kuchukua nyota za wafu waliokufa kweli acha misukule na kuwapa waliohai haiwezekani mana wanakuwa wamekwisha fungwa hatima yao kitabu chao kimeshafungwa muda wao siku zao za kuishi zimekwisha.
 
Kwa uelewa wako Nyota NI kitu gàni?
Tafsiri ya nyota kwa sehemu tu katika lugha ya picha/kutumia kiganja cha mkono wa muhusika.
1)kidole kidogo cha mwisho-KIBALI
2)kidole cha pete-NDOA
3)kidole cha kati-MAFANIKIO/ USTAWI
4)Kidole shahada-pointing finger-UONGOZI
5)kidole gumba-MALI NA UMILIKI

baadhi ya dalili za mtu ambaye nyita yake imeikamatwa au imefunikwa
1)kibali hana kibali hakubakiki hana mvuto ushawishi
2)Ndoa-hana ndoa au hadumu au migogoro katika ndoa,au ndoa za majini mahaba n.k
3)Hana mafanikio chochote anachoanzisha hakistawi kinakufa kinakuwa duni
4)Hana uongozi hata familia yake hawamsikilizi mpaka anaweza kujitambukisha unajua mimi ndio baba,mimi ndio fulani,
5)Mali na umiliki hana/ufukara
 
Ni kweli nyota inaweza kupatikana kwa msukule ambaye ki uhalisia anakuwa hajafa yuko hai amefichwa,Misukule wengi ndio walioibwq nyota zao na wakati mwingine nyota yako ndiyo inaweza kuwa sababu ya kukuwinda wakuchukue msukule ili waibe nyota yako.Au wakufanye kichaa unaokota makopo au unashinda barabarani ni aina ya msukule ambaye ameibiwa nyota yake lakini yupo duniani lakini kama kichaa ila nyota yake inatumiwa na mwingine.Na wengine waliohai nyota zao zinaweza kuibwa.Lakini kama ni mzima timamu unajitambua na utashi wako,nyota yako haijaibwa ila inaeweza kuwa inafunikwa aubunafanyiwq ushirikina fulani lakini nyota yako ipo.
Kama siyo msukule sio kichaa AU TAHIRA hujaibiwa haijaibwa nyota yako ipo.
Kuhusu kuchukua nyota za wafu waliokufa kweli acha misukule na kuwapa waliohai haiwezekani mana wanakuwa wamekwisha fungwa hatima yao kitabu chao kimeshafungwa muda wao siku zao za kuishi zimekwisha.
Umejibu vizuri sana cha kuongeza ..... Huo msukule upo hai hauonekani kwenye macho ya kawaida lakini wenye macho yao wanaona.
 
Tafsiri ya nyota kwa sehemu tu katika lugha ya picha/kutumia kiganja cha mkono wa muhusika.
1)kidole kidogo cha mwisho-KIBALI
2)kidole cha pete-NDOA
3)kidole cha kati-MAFANIKIO/ USTAWI
4)Kidole shahada-pointing finger-UONGOZI
5)kidole gumba-MALI NA UMILIKI

baadhi ya dalili za mtu ambaye nyita yake imeikamatwa au imefunikwa
1)kibali hana kibali hakubakiki hana mvuto ushawishi
2)Ndoa-hana ndoa au hadumu au migogoro katika ndoa,au ndoa za majini mahaba n.k
3)Hana mafanikio chochote anachoanzisha hakistawi kinakufa kinakuwa duni
4)Hana uongozi hata familia yake hawamsikilizi mpaka anaweza kujitambukisha unajua mimi ndio baba,mimi ndio fulani,
5)Mali na umiliki hana/ufukara

Huu ni uongo

Matatizo Kama haya hayana uhusiano na nyota Ila mazingira uliyopo

Mbona MTU anayeshindwa kutoboa Tanzania akienda ulaya anatoboa
 
Huu ni uongo

Matatizo Kama haya hayana uhusiano na nyota Ila mazingira uliyopo

Mbona MTU anayeshindwa kutoboa Tanzania akienda ulaya anatoboa
Kitu kinachoitwa nyota kwangu mimi siamini kabisa.... Ninachokijua kuna ile hali binadamu analazimisha kufanya kitu ambacho hawezi au hawezi kufanya kwa usahihi.
Mfano Mimi nimefanya intvyuu nyingi lakini sikupata hata moja badae nilikumbuka kitu ambacho nilikua napuuzia kiukweli kwa sasa naweza kusema ile kitu nimeifanya kwa usahihi imekua na iko vizuri kiasi kwamba naona nikifanya kazi ni kama nitajichanganya zaidi,..... Sasa baadhi ya watu wanachelewa kujua nini wafanye na wanasingizia nyota na wakienda kwa waganga njaa ndipo wanatapeliwa.
 
Huu ni uongo

Matatizo Kama haya hayana uhusiano na nyota Ila mazingira uliyopo

Mbona MTU anayeshindwa kutoboa Tanzania akienda ulaya anatoboas
Ni kweli matatizo kama haya yanaweza kutokea kwa mtu yeyote kwa sababu mbali mbali ikiwemo nyota yako kuchezewa kufunikwa kwa nguvu za giza /SIYO KUIBWA ila inakamatwa au inachezewa au kufunikwa,watu kama hawa wakijiimarisha katika ulimwengu wa kiroho kwa kutengeneza mahusiano mazuri na Mungu , sala,maombi,sadaka ,zaka ,kufunga,IBADA na kuacha dhambi.Kumcha Mungu,hufanikiwa zaidi mana vifungo vya nguvu za giza hufunguka.
Hata wale walioibwa nyota zao kabisa misukule matahira au wehu wanaweza kupona kwa nguvu na neema za Mungu kupitia maombi ndio mana misukule na wehu wanaweza kurudi au kupona.MAANA NGUVU ZA MUNGU NI KUBWA ZINASHINDA NGUVU ZOTE ZA GIZA


Kuhusu kuwepo sababu nyingine zinazoweza kupelekea dalili kama hizo ni kweli zipo sababu nyingine Zinazoweza
kupelekea dalili kama hizo nilizozotaja happ juu,ila mada ya leo au swali limeuliza ilikuwa inahusu nyota hivyo nilielezea sababu hiyo moja ya nyota pekee mana ndio mada /swali lilivyouluza tafsiri ya nyota iliyopo mezani kwenye mjadala wakati huu.
 
Huu ni uongo

Matatizo Kama haya hayana uhusiano na nyota Ila mazingira uliyopo

Mbona MTU anayeshindwa kutoboa Tanzania akienda ulaya anatoboas
Ni kweli matatizo kama haya yanaweza kutokea kwa mtu yeyote kwa sababu mbali mbali ikiwemo nyota yako kuchezewa kufunikwa kwa nguvu za giza /SIYO KUIBWA ila inakatwa au inachezewa au kufunikwa,watu kama hawa wakijiimarisha katika ulimwengu wa kiroho kwa kutengeneza magusiano mazuri na Mungu , sala,maombi,sadaka ,zaka ,kufunga,IBADA na kuacha dhambi..hufanikiwa zaidi mana vifungi vya nguvu za giza hufunguka.
Hata wale walioibwa nyota zao kabisa misukule matahira au wehu wanaweza kupona kwa nguvu na neema za Mungu kupitia maombi ndio mana misukule na wehu hwanaweza kurudi au kupona.MAANA NGUVU ZA MUNGU NI KUBWA ZINASHINDA NGUVU ZOTE ZA GIZA


Kuhusu kuwepo sababu nyingine zinazoweza kupelekea dalili kama hizo ni kweli zipo sababu nyingine zinazo
zoweza kupelekea dalili kama hizo,ila mada ilikuwa inahusu nyota hivyo nilielezea sababu hiyo moja ya nyota pekee mana ndio mada iliyopo mezani kwenye mjadala
 
NYOTA YAKO IKIIBWA
wewe ni lazima uchukuliwe msukule
kuna misukule aina kama 3
1)unatoweka unafichwa duniani wanaweza ukahesabika ukaaminika umekufa na ukazikwa kumbe ni kiininmacho umefichwa umechukuliwa tu msukule kutumiwa katika shughuli za kishirikina na nyota yako kutumiwa,lakini kiuhalisia hujafa
2)Uwe kichaa kabisa upo duniani lakini ndio wale vichaa wachafu wanaishi mazingira duni majalalani
3)uwe tahira yani una mtindio kama wa ubongo ndio wale unakuta mtoto mmoja katika familia anadondosha mate udende na mara nyingi anafichwa ndani
Hapo nimezungungumzia kwa upande wa kishirikina sio kisayansi ya afya.

Ukiwa na akili timamu unajitambua una utashi wote ,unaweza kutambua baya na zuri na kufanya shughuli zako za kila siku,TAMBUA NYOTA YAKO HAIJAIBWA ila inaweza kukamatwa kifunikwa au kishikiliwa kishirikina na ukawa duni usifikie viwango vya mafanikio uliostahili kuwepo au kucheleweshwa katika mambo yako ya KIBALI,MAMLAKA,NDOA,MALI
UMILIKI,UONGOZI NK
uki imarisha maisha ya ibada ukaacha dhambi ndio dawa tiba pekee.
UKIENDA KUTAFUTA TIBA kwa waganga wa kienyeji na manabii wa uongo wa mafuta ya upako,kiomba mizimu,majini ,kutambika n.k
ndio unaongezea moto juu ya moto unajipalia mkaa,hali inazidi kuongezeka mana hao wote hawana uwezo wa kukusaidia ni serikali moja na wahawi ni sawa na kusema kesi ya nyani umpelekee ngedere,dawa ya kweli ya kikombolewa ni YESU PEKEE.
Yesu anaweza yote hata kurudisha misukule iliyofichwa na wachawi/waganga/mizimu /mapepo /majini/manabii wq uongo wa maguta ya upako.
Yesu ni kiboko ya yote ,Yesu anaponya anasaidia,anarudisha nyota yako iloyoibwq anagungua nyota yako iliyokamatwa na adui ufalme wa giza.Muamini Yesu ,omba kupitia jina la Yesu,acha dhambi ukombelewe.Dhambi ni mbaya dhambi ni MAUTI.Dhambi inafungulia mlango adui kukuonea na kikutesa ni Mateso sababu ya dhambi tu.Ukiishi maisha ya dhambi ni sawa na kuchagua MAUTI.Rohi ya mauti ikufuatilie .Mungu ametukataza dhambi kwa faida yetu wenyewe.
 
NYOTA YAKO IKIIBWA
wewe ni lazima uchukuliwe msukule
kuna misukule aina kama 3
1)unatoweka unafichwa duniani wanaweza ukahesabika ukaaminika umekufa na ukazikwa kumbe ni kiininmacho umefichwa umechukuliwa tu msukule kutumiwa katika shughuli za kishirikina na nyota yako kutumiwa,lakini kiuhalisia hujafa
2)Uwe kichaa kabisa upo duniani lakini ndio wale vichaa wachafu wanaishi mazingira duni majalalani
3)uwe tahira yani una mtindio kama wa ubongo ndio wale unakuta mtoto mmoja katika familia anadondosha mate udende na mara nyingi anafichwa ndani
Hapo nimezungungumzia kwa upande wa kishirikina sio kisayansi ya afya.

Ukiwa na akili timamu unajitambua una utashi wote ,unaweza kutambua baya na zuri na kufanya shughuli zako za kila siku,TAMBUA NYOTA YAKO HAIJAIBWA ila inaweza kukamatwa kifunikwa au kishikiliwa kishirikina na ukawa duni usifikie viwango vya mafanikio uliostahili kuwepo au kucheleweshwa katika mambo yako ya KIBALI,MAMLAKA,NDOA,MALI
UMILIKI,UONGOZI NK
uki imarisha maisha ya ibada ukaacha dhambi ndio dawa tiba pekee.
UKIENDA KUTAFUTA TIBA kwa waganga wa kienyeji na manabii wa uongo wa mafuta ya upako,kiomba mizimu,majini ,kutambika n.k
ndio unaongezea moto juu ya moto unajipalia mkaa,hali inazidi kuongezeka mana hao wote hawana uwezo wa kukusaidia ni serikali moja na wahawi ni sawa na kusema kesi ya nyani umpelekee ngedere,dawa ya kweli ya kikombolewa ni YESU PEKEE.
Yesu anaweza yote hata kurudisha misukule iliyofichwa na wachawi/waganga/mizimu /mapepo /majini/manabii wq uongo wa maguta ya upako.
Yesu ni kiboko ya yote ,Yesu anaponya anasaidia,anarudisha nyota yako iloyoibwq anagungua nyota yako iliyokamatwa na adui ufalme wa giza.Muamini Yesu ,omba kupitia jina la Yesu,acha dhambi ukombelewe.Dhambi ni mbaya dhambi ni MAUTI.Dhambi inafungulia mlango adui kukuonea na kikutesa ni Mateso sababu ya dhambi tu.Ukiishi maisha ya dhambi ni sawa na kuchagua MAUTI.Rohi ya mauti ikufuatilie .Mungu ametukataza dhambi kwa faida yetu wenyewe.

Swali !?

Hapa Tanzania mazingira ya kufanikiwa ni magumu Sana wengi wanaambiwa wameibiwa nyota lakini ukiangalia sio kweli mkuu.
 
Kitu kinachoitwa nyota kwangu mimi siamini kabisa.... Ninachokijua kuna ile hali binadamu analazimisha kufanya kitu ambacho hawezi au hawezi kufanya kwa usahihi.
Mfano Mimi nimefanya intvyuu nyingi lakini sikupata hata moja badae nilikumbuka kitu ambacho nilikua napuuzia kiukweli kwa sasa naweza kusema ile kitu nimeifanya kwa usahihi imekua na iko vizuri kiasi kwamba naona nikifanya kazi ni kama nitajichanganya zaidi,..... Sasa baadhi ya watu wanachelewa kujua nini wafanye na wanasingizia nyota na wakienda kwa waganga njaa ndipo wanatapeliwa.

Pia unaweza kufanya vitu vingi na ukafanikiwa pia vilevile

Ulaya MTU mmoja anaweza kufanya Kazi hata kumi Kwa siku.
 
Swali !?

Hapa Tanzania mazingira ya kufanikiwa ni magumu Sana wengi wanaambiwa wameibiwa nyota lakini ukiangalia sio kweli mkuu.
mtu ambaye nyota yake imeibwa kabisa hawezi kuwa timamu anakuwa tahira au kichaa au msukule.
Kama wewe una akili timamu sio kichaa,sio tahira sio msukule nyota yako HAIJAIBWA IPO.
Ni kweli watu wengi wanadaganywa kuhusu nyota.
 
Back
Top Bottom