Ukisema kuwa all budgets are estimates unakuwa short. Kwa sababu budget nayo inakuwa estimated.
an estimate, often itemized, of expected income and expense for a given period in the future.
There is no reason why one should not be able to estimate future estimates, although that is highly hyperbolic.
Here is the first dictionary definition of the world budget according to www.dictionary.com.
Aliyekwambia kwamba entropy ni classical concept ni nani?
Entropy ina cut through, kuanzia quantum physics mpaka cosmology na cosmogony, ndiyo maana entropy ni fundamental katika physics. Ukisoma jinsi Einsterin alivyopata shida ku reconcile relativity na quantum physics unsuccessfully mpaka anakufa, ukisoma String Theory na jitihada za kutafuta a Grand Unified Theory" na matatizo yake utaona kwamba entropy iko underlying kila kitu.
Ndiyo maana nashangaa unavyosema entropy ni a classical concept wakati hata hiyo Uncertainty principle ni a product of entropy.Mimi napenda kwenda deep kwenye vyanzo kabisa vya hivi vitu, haitoshi kusema tu kuna uncertainty principle inayokataza absolute zero, au inayokataza tusijue momentum na position ya particles.
Swali linabakia, uncertainty principle hii inaletwa na nini?
Jibu, entropy.
Ndiyo maana nikakwambia kwamba, jibu lako lingeweza kuwa comprehensive zaidi na lika address mambo ina a more fundamental way kama ungeongelea entropy instead of Heisenberg's Uncertainty Principle.
You got it backwards, entropy si zao la Uncertainty Principle, Uncertainty Principle ni zao la entropy.
Uncertainity principle siyo zao la entropy.Nilizungumzia kuhusu application ya classical physics kwasababu uliwamention kina Newton ambao laws zao ni classical licha ya kwamba entropy is involved.
Quantum physics siyo classical na uncertainity principle ilikuja mara baada ya mvutano kati ya classical physics na quantum,classical inaprohibit particles from being somewhere at a "dissalowed orbit" (Bohr's assumption)wakati quantum physics mara baada ya kukubaliana na uncertainity principle,inasema kuwa there is a probability of it being there.Schrodinger akaja na wave theory ambayo basically ni ya ku calculate probabilities.
Mkuu this is too deep,na muda ni mfupi,hata hivyo hata hivyo hizi concept zote ni interrelated kwasababu kila moja ilikuja baada ya nyingine ku fail somewhere na ndio maana quantum physics haiwezi kuwa claimed na lets say Einstein peke yake,ama Schrodinger,de broglie,compton,Rutherford,ama hata Max Planck ambaye alikuja na quantum hypothesis,ie E=nhf.
Uncertainity principle siyo zao la entropy.Nilizungumzia kuhusu application ya classical physics kwasababu uliwamention kina Newton ambao laws zao ni classical licha ya kwamba entropy is involved.
Quantum physics siyo classical na uncertainity principle ilikuja mara baada ya mvutano kati ya classical physics na quantum,classical inaprohibit particles from being somewhere at a "dissalowed orbit" (Bohr's assumption)wakati quantum physics mara baada ya kukubaliana na uncertainity principle,inasema kuwa there is a probability of it being there.Schrodinger akaja na wave theory ambayo basically ni ya ku calculate probabilities.
Mkuu this is too deep,na muda ni mfupi,hata hivyo hata hivyo hizi concept zote ni interrelated kwasababu kila moja ilikuja baada ya nyingine ku fail somewhere na ndio maana quantum physics haiwezi kuwa claimed na lets say Einstein peke yake,ama Schrodinger,de broglie,compton,Rutherford,ama hata Max Planck ambaye alikuja na quantum hypothesis,ie E=nhf.
Nini kinasababisha uncertainty iliyo katika uncertainty principle?
Inategemea na how you apply the theory.Ni concept inayoweza kutumika hata kijamii na hata kibaiyolojia.
Kijamii kuna mambo ambayo tunayafanyia tathmini,lakini in the process,kile tunachokifania tahmini kinakuwa kimeshatoka kwenye ile original state yake.Kibaiolojia,kulifanyika tathmini,na mtu aliekuwa na headache akapewa dawa,lakini ilikuwa ni palecobo,wakamwuliza unajisikia vipi,akasema anajisikia vyema,mwili tayari ulikuwa kwenye state nyingine ya tofauti wakati alipoambiwa kuwa anapewa dawa,na ndio maana kuwa hatuwezi kujua everything exactly at the same time due to uncertainities.
Principle ya uncertainity ilitumika originally wakati wa kumeasure microscopic objects,Schrodinger alikuja na wave theory yake ambapo alisema electrons huwa zinaform "probability cloud" ambayo inasoround necleus,wave equation hii ya Schrodinger inafanya exactly kile ambacho laws za Newton zinafanya,sema ya Scrodinger ni kwa microscopic ama matter waves where as Newton ni for macroscopic objects(vinavyoonekana with naked eyes)
Kwa kifupi ni kwamba mwanga unaotumika kumeasure electron una mawimbi makubwa kiasi kwamba by the time ule mwanga unaporeflect kwenye macho yetu illi tuweze kuona,tayari object ile inakuwa in a different state,na when an atom changes state,it has a different set of quantum numbers and new probability density.Probability density ni the same as probability clound niliyoimention hapo nyuma ambayo huwa measured kwa kutumia Scrodinger's wave equation,na kwa hiyo inasema kuwa it is impossible to know excactly where the electron is at any particular time,ndio maana nikasema principle ya uncertainity haikutokana na entropy.
Kwa hiyo uncertainity iliyoko kwenye uncertainity principle inategemeana na what you're trying to observe.
You are looking at entropy in the eye and yet you cannot see it.Ungeelewa the underlying reasons za vitu, instead ya kukariri unachosoma, usingesema uncertainty principle ndiyo iliyozaa entropy na ungeona entropy ni more fundamental kuliko uncertainty primciple, na ndiyo inayosababisha uncertainty principle.
Ungejua kuwa entropy imekuwa imprinted in the arrow of time, na kila kitu kinacho exist katika dimension ya time ni subject ya entropy.
Teh teh teh!Yani kweli nyani haoni kundule!We umezaliwa unajuwa hivyo vibombastic unavyotoa hapa ama?mimi natoa maelezo in a simple way we unasema nimekariri?jibu hoja kwa hoja na uache za kusema eti nakaririDont put words on my mouth hakuna pahala nimesema uncertainity principle ndiyo ilizaa entropy,una makengeza ama?
Mimi nimekuelezea jinsi uncertainity principle ilivyokuwa applied kwenye quantum physics,nini usichoelewa unaanza ubishi usiokuwa na maana?Wapi nimezungumzia kipi kipo fundamental than the other?
Entropy is synnonym for disorder,Clausius ali introduce concept ya entropy kama quantity ambayo inaongezeka due to heat dissipation,na ofcourse according to the second law of thermodynamics,in any macroscopic mechanical process,some or all of the energy always gets dissipated as heat.And because heat is a random movements of individual paricles that make up the system,entropy then was interpreted as the amount of disorder the system contains.Swali simple, between entropy and uncertainty principle, which is more fundamental?
Entropy is synnonym for disorder,Clausius ali introduce concept ya entropy kama quantity ambayo inaongezeka due to heat dissipation,na ofcourse according to the second law of thermodynamics,in any macroscopic mechanical process,some or all of the energy always gets dissipated as heat.And because heat is a random movements of individual paricles that make up the system,entropy then was interpreted as the amount of disorder the system contains.
WHERE AS....
Heisenberg uncertainity principle ilianzia kwenye microscopic level,if you know the speed of a quantum particle,you can never know its exact location...Thats Quantum Physics.
HATA HIVYO...
In Quantum mechanics,Concept ya entropy ilikuja kuwa developed na John Von Neumann na iko reffered to as "Von Neumann Entropy"(Hii ni kwenye Quantum physics nasisitiza)ambayo basically ni S=kTrpljp.Kwa kifupi he simply extended the classical concept of entropy into the quantum domain.
Mwisho,entropy ni complex subject,inatumika for many different topics kuanzia math,life,economy, etc. Na kwenye physicall science,ndiyo the only quantity inayojulikana kama "Arrow of time" Kuna entropy applied to thermodinamics(ambayo ndiyo original)na entropy information theory.
Umesema mengi, hujajibu swali.
Kama huelewi basi tumeshindwa kuelewana,hujui nimezungumzia toka mwanzo kuhusu QM,na unaonekana hujui vizuri unachouliza,ebu jibu wewe tuone,sema wewe....Mbishi sana wewe ndugu yangu,nimekwambia how uncertainity principle came to the picture inQM and how entropy was incorpotated,swali lako wewe uliuliza ni ipi fundamental,sasa unataka utafuniwe halafu umezewe?Nimekuonyesha relationship kati ya entropy and principle of uncertainity kama ilivyokuja kuwa introduced na Von Neumann,sasa kipi huelewi ama ni ubishi tu?
This is exactly the major point ya hii thread, preciseness.
Umeongea historia nyingi na nuances, lakini hujajibu swali directly na precisely kwa kusema kati ya entropy na quantum physics, hiki ndicho fundamental na hiki kinafuatia.
Nakuuliza ujibu specifically ili huko mbele usije kuruka maneno kama ulivyofanya hapo juu.
Jmushi1:
Mbona wote unaotaja ni wazungu tu. Yuko wapi mpemba?
Hiyo preciseness imekufa kabla hata haijaanza...Whats precission in this matter?swali gani kutoka kwa mtu unayejiita bluray?unataka kujua kipi ni fundamental in wich ways?scientifically ama?we mgumu sana kuelewa ama mbishi sana,hata hivyo twende hoja kwa hoja....Swali lako ni la kipuuzi...Inaonyesha kuna pahala hujaelewa ama una mix,entropy ni complex rudi kwenye vitabu vyako.
Halafu uache kutwist bila mpango,mambo yote unayouliza mara mbili mbili kama ungekuwa unasoma posting kwa makini ungeelewa,halafu how can you be precise on everything?
Paka Jimmy anakwambia whoever is an expert in everything knows nothing,Heisenberg is back,yani just lots of fun.
Teh teh teh!Yani kweli nyani haoni kundule!We umezaliwa unajuwa hivyo vibombastic unavyotoa hapa ama?mimi natoa maelezo in a simple way we unasema nimekariri?jibu hoja kwa hoja na uache za kusema eti nakaririDont put words on my mouth hakuna pahala nimesema uncertainity principle ndiyo ilizaa entropy,una makengeza ama?
Mimi nimekuelezea jinsi uncertainity principle ilivyokuwa applied kwenye quantum physics,nini usichoelewa unaanza ubishi usiokuwa na maana?Wapi nimezungumzia kipi kipo fundamental than the other?
Duh! Mangi umenichekesha kweli leo! Sikujua kuwa una comebacks kali hivyo.
Tatizo tunakumbatia vitu substandard kiasi kwamba mtu akija na kitu cha kawaida tu anaonekana anaongea vibombastic.
Halafu tunakuja na hii inferiority complex iliyovikwa joho la aggressive comebacks, tunaijua tu, hata ikivishwa taji la kifalme.
Taratibu faza, hakuna mwenye inferiority complex hapa labda wewe ndio unayo na unai-project kwa kuwalabel wengine kuwa wana inferiority complex. La sivyo kwa nini unapenda sana kutaja taja inferiority complex? Kila kitu inferiority complex.....inferiority complex itoke wapi? Kwa sababu unatumia so called "bombastic" maneno? Come on now..
1,2,3......wuuuuuusaaaaaaa