BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

Mmiliki wa gari lolote lile liwe la Ulaya au la Japan anaweza kushindwa kumudu gharama za matengenezo na kulitelekeza garage.

Idadi ya magari ya mjapani yaliyotelekezwa kwenye magarage ni mengi mno ukilinganisha na idadi ya magari ya Ulaya yaliyotelekezwa.

Wote tunachemka.
 
Arifu, ebu nifafanulie hilo neno 'mswaki'. Uwa nalisikia sana, ila kiukweli sielewi maana yake.
 
du pole sana ndugu kuna fundi umeme mmoja anaitwa Makofia karibu na kwa kakobe na Omary wa magomeni wamelaza benzi za watu zaidi ya 100 kisa magonjwa ya uongo na kutoyajulua na sisis tunawaamini , ningekuwa na muda kwa kweli nataka na nafikiria kufanya biashara ya garage ya magari magumu ya europe tu bongo
 
Lakin kwa upepo unavyovuma ni vyema zaid kuyajulia magari ya umeme na gesi.
Mfano kwa sasa gesi inaleta miss sana huenda plugs feki/hafifu ndo zilikuwa sokon.
Magari ya ulaya yataingia sana kwa kipindi cha mpito hiki wakati yanadampiwa kupisha mabadiriko kwao hasa 2030. Ndo maana discovery 4 na bmw 3 series na x series zinashindana na rumion mjin!
Kuna had mashoga wameingiza range rover kama iphone, hasa evogue!
 
Upo sahihi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…