BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

Mmiliki wa gari lolote lile liwe la Ulaya au la Japan anaweza kushindwa kumudu gharama za matengenezo na kulitelekeza garage.

Idadi ya magari ya mjapani yaliyotelekezwa kwenye magarage ni mengi mno ukilinganisha na idadi ya magari ya Ulaya yaliyotelekezwa.

Wote tunachemka.
 
Sasa ukipanda passo na ukipanda hilo dude huwezi kufeel the same.

BMW X1 ya Cc1990 unaweza ukanunua hata kwa 10M, Ikitokea gari imezingua engine uwe na 15M kama utanunua engine hapa.

Na hata kama ni kuagiza mswaki utaupata kwa 5M roughly.

Kama ulinunua kwa hela ya mawazo kwanini usilipaki?
Arifu, ebu nifafanulie hilo neno 'mswaki'. Uwa nalisikia sana, ila kiukweli sielewi maana yake.
 
uko sahihi. Tanzania tuna tatizo la mafundi si magari yenyewe. Na ni Tz tu tulioingizwa kwenye maisha ya toyota mno tangia uwepo wetu. Hata Burundi wanatuzid kuyaelewa haya magari.
Lakin ukweli ni kuwa huwezi linganisha ubora na raha ya eurocars dhidi ya Toyota.
Nina kisa kama chako. Jamaa aliniuzia x3 m9 kisa haitengenezeki kwa tatizo la nguvu na dashboard inawaka kama yote. Fundi yule yule wa mazoea ya kifamilia.
Sasa nikahangaika nayo ikafkisha m4 nanunulishwa kila spare za kuagiza tena mwenyewe kila wakipima ni mfumo wa hewa mara air mass, mara censors, had nikajua kila part ya injini.
Ndipo fund wa 7 akaja kugundua ni exhaust tu zimeziba eneo la masega (haitumii unga). At 30km/h inazima. No power. Ndo ikapona kwa 120k nimeshatumia zaid ya 4m.
Ndo nikajua wap tunakwama. Mafund wetu si proffessional na hawana vitendea kaz vya kisasa kugundua hitilaf. Lakin kwa sasa kuna improvements.
Mwaka 2012 horn ya benz E class iliacha kufanya kazi niko mkoan. Pengine kote ikiwa nzima kabsa. Fund akaloop tu na ikapiga. Ajab gari haikutoka had leo. Haikuwaka had kustart. Inalia tu. Mara ooh control box imeshot. Mara censor ya mafuta inaachia yote. Ilipofika m3 nikaachana nayo mana nilishauriwa kuweka injini ingine au ya toyota 3s.
du pole sana ndugu kuna fundi umeme mmoja anaitwa Makofia karibu na kwa kakobe na Omary wa magomeni wamelaza benzi za watu zaidi ya 100 kisa magonjwa ya uongo na kutoyajulua na sisis tunawaamini , ningekuwa na muda kwa kweli nataka na nafikiria kufanya biashara ya garage ya magari magumu ya europe tu bongo
 
du pole sana ndugu kuna fundi umeme mmoja anaitwa Makofia karibu na kwa kakobe na Omary wa magomeni wamelaza benzi za watu zaidi ya 100 kisa magonjwa ya uongo na kutoyajulua na sisis tunawaamini , ningekuwa na muda kwa kweli nataka na nafikiria kufanya biashara ya garage ya magari magumu ya europe tu bongo
Lakin kwa upepo unavyovuma ni vyema zaid kuyajulia magari ya umeme na gesi.
Mfano kwa sasa gesi inaleta miss sana huenda plugs feki/hafifu ndo zilikuwa sokon.
Magari ya ulaya yataingia sana kwa kipindi cha mpito hiki wakati yanadampiwa kupisha mabadiriko kwao hasa 2030. Ndo maana discovery 4 na bmw 3 series na x series zinashindana na rumion mjin!
Kuna had mashoga wameingiza range rover kama iphone, hasa evogue!
 
Lakin kwa upepo unavyovuma ni vyema zaid kuyajulia magari ya umeme na gesi.
Mfano kwa sasa gesi inaleta miss sana huenda plugs feki/hafifu ndo zilikuwa sokon.
Magari ya ulaya yataingia sana kwa kipindi cha mpito hiki wakati yanadampiwa kupisha mabadiriko kwao hasa 2030. Ndo maana discovery 4 na bmw 3 series na x series zinashindana na rumion mjin!
Kuna had mashoga wameingiza range rover kama iphone, hasa evogue!
Upo sahihi sana
 
Back
Top Bottom