Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ni unyama sana.Duh .....
Apo ni
1. Madeni
2. Mke/demu/msichana wa mtu mwingine
3. Wizi
4. Etc
Ni unyama sana aisee.Aisee
Hakukatwa na wezi. Alikatwa hospitalini baada ya kukaa kwa muda mrefu na kuoza.Hiki ni kisasi. Maana hawakutaka kumuua bali kumkomoa. 70% ni ishu ya mwanamke.
Edit: kichwa cha habari kinapotosha.
True detective.Hiki ni kisasi. Maana hawakutaka kumuua bali kumkomoa. 70% ni ishu ya mwanamke.
Edit: kichwa cha habari kinapotosha.
Mwandishi ametia chumvi kwenye kichwa cha habari. Siyo hao wezi walimkata. Alikatwa hospital baada ya kufungwa kamba na kukaa nazo kwa muda mrefu hivyo akaoza.Ni unyama sana aisee.
Aiwez kuwa wizi iyo ni visa either wake za watu?
ishu ya mwanamke umfanyie hivyoo utakata wa ngapi? kama mwanamke ni malaya ataliwa tuu.Hiki ni kisasi. Maana hawakutaka kumuua bali kumkomoa. 70% ni ishu ya mwanamke.
True detective asiyefanya uchunguzi? Angejipa muda kuangalia clip asingesema hivyo.True detective.
Wezi hawana muda uo.
Hakukatwa na wezi. Alikatwa hospitalini baada ya kukaa kwa muda mrefu na kuoza.
Kweli mkuu. Kosa sio la mwanaume ni Demu wako aliemkubalia unakuta uyo kijana ndo alikuwa nategemewa na familia saiv ndo anaitegemea kwa kila kitu.ishu ya mwanamke umfanyie hivyoo utakata wa ngapi? kama mwanamke ni malaya ataliwa tuu.
kwa upande wangu ata mke wangu akifanya ujinga siwezi kumtendea mwanaume mwenzangu hayoo.
hapoo jamaa hamna kitu anaweza kufanya ata toilet kujiswafi kuoga kula kutumia simu yani hapo anategemea msaada wa kudumu.
Sishani kama ni wanawake.......dogokuna vitu inabidi Atubu tu na kuweka wazi.ishu ya mwanamke umfanyie hivyoo utakata wa ngapi? kama mwanamke ni malaya ataliwa tuu.
kwa upande wangu ata mke wangu akifanya ujinga siwezi kumtendea mwanaume mwenzangu hayoo.
hapoo jamaa hamna kitu anaweza kufanya ata toilet kujiswafi kuoga kula kutumia simu yani hapo anategemea msaada wa kudumu.
Yani walimfungia sehemu?Hakukatwa na wezi. Alikatwa hospitalini baada ya kukaa kwa muda mrefu na kuoza.