Bodaboda za CCM zenye "chata" ya Samia ziko mtaani

Bodaboda za CCM zenye "chata" ya Samia ziko mtaani

Chadema wakiweka picha ya Lissu polisi watakurupuka usiku wa manane na bukta wakiita press conference kupiga marufuku.
Hahahaha KWELI Ndugu yangu
JamiiForums296353816_720x720.jpg
 
Kampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.

CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863
Kwa tume huru ya uchaguzi sa100 hawezi kushinda uchaguzi labda Jecha afufuke kuusimamia
 
Kampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.

CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863
Lakini halitasalia jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomolewa.
 
Kampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.

CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863

Hiyo picha na hiyo bendera ingekuwa ya chama fulani, ungesikia tume ya uchaguzi /msajili wa vyama anawahita ofisini kujieleza kwa nini wameanza kampeni mapema kabla ya wakati kufika.
Lakini wao wakifanya hivyo, watasema wanatekeleza ilani ya chama chao
 
Hiyo pichana hiyo bendera ingekuwa ya chama fulani, ungesikia tume ya uchaguzi /msajili wa vyama anawahita ofisini kujieleza kwa nini wameanza kampeni mapema kabla ya wakati kufika.
Lakini wao wakifanya hivyo, watasema wanatekeleza ilani ya chama chao
Mungu anawaona
 
Kampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.

CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863
Ongeeni mtavyoongea nyie chadema kuchukua nchi msahau pwagu nyie
 
Kampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.

CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863
Haya sasa.

Hii nayo ni kali kivyake.

Kwa hiyo anapeleka taarifa kuwa ni yeye hapo 2025?

Asipofika huko je? Haya mapikipiki yote yatapelekwa wapi?

Hivi kweli kuna la muhimu sana la kuwatangazia waTanzania hadi uhitaji wa mapiki yote haya yagharimiwe na (nani)?
 
Back
Top Bottom