Bodaboda za CCM zenye "chata" ya Samia ziko mtaani

Bodaboda za CCM zenye "chata" ya Samia ziko mtaani

Kampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.

CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863

Kitu cha kijani

Hizi ni kwa mtanzania yoyote atakayekidhi vigezo
 
Kampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.

CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863
DP World washafanya yao
 
Chadema wakiweka picha ya Lissu polisi watakurupuka usiku wa manane na bukta wakiita press conference kupiga marufuku.

Hebu waweke tuone kama polisi watakurupuka
 
Kampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.

CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863
Hizi siyo za makatibu Kata kweli wa CCM na makatibu ya Umoja wa Wazazi!!?
 
Mbinu ya huyu mama ni kushika boda boda, kushika timu za mipira, na kushika waarabu.
Ili kipindi cha kampeni atumie washabiki wa timu kumpatia huruma ya ushindi.

2. Kushika boda boda ili wamuonee huruma wakati wa kampeni.

3. Waarabu wamwagwe pesa..

Watanganyika kuweni makini na huyu mama, ndiye anayejua kilichompata Jiwe.

Ndio ameanzia huko, hata wewe atakushika tuu
Maendeleo hayana vyama
 
Kila la Kheri Rais makini, Rais Mtulivu Dr Samia Suluhu Hassan

moja ya sifa kuu ya Kiongozi ni kutokuwa mkurupukaji na hilo amejaaliwa Rais wetu
Mwendazake alikua mkurupukaji??
Naomba jibu Mzee wangu najua wewe ni mtu mzima sana
 
Nadhani kuna mchezo unachezwa ndio wakati Ule mzee Mwinyi Ruksa akasema " maji yamekorogeka unaweka Picha za nini?"

Mama awe makini na Siasa za CCM Maslahi!
20220526_044455.jpg
 
Kampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.

CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863
Hizi bodaboda zimeletwa na mwarabu kama kishika uchumba cha bandari
 
Back
Top Bottom