Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.
CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863
DP World washafanya yaoKampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.
CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863
Chadema wakiweka picha ya Lissu polisi watakurupuka usiku wa manane na bukta wakiita press conference kupiga marufuku.
Hizi siyo za makatibu Kata kweli wa CCM na makatibu ya Umoja wa Wazazi!!?Kampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.
CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863
Mbinu ya huyu mama ni kushika boda boda, kushika timu za mipira, na kushika waarabu.
Ili kipindi cha kampeni atumie washabiki wa timu kumpatia huruma ya ushindi.
2. Kushika boda boda ili wamuonee huruma wakati wa kampeni.
3. Waarabu wamwagwe pesa..
Watanganyika kuweni makini na huyu mama, ndiye anayejua kilichompata Jiwe.
Mwendazake alikua mkurupukaji??Kila la Kheri Rais makini, Rais Mtulivu Dr Samia Suluhu Hassan
moja ya sifa kuu ya Kiongozi ni kutokuwa mkurupukaji na hilo amejaaliwa Rais wetu
Products za chama chako vp umewageuka tena??Tusizipande hizo makitu.
Tukiziona tukae nazo mbali.
Hicho ni kichaka tuHizi siyo za makatibu Kata kweli wa CCM na makatibu ya Umoja wa Wazazi!!?
T-shirt za Get well Lissu zilipigwa marufuku sembuse pikipiki zenye picha yake.Hebu waweke tuone kama polisi watakurupuka
🙂Hawa ccm wanauza nchi ili wanunue bodaboda?
T-shirt za Get well Lissu zilipigwa marufuku sembuse pikipiki zenye picha yake.
Nadhani kuna mchezo unachezwa ndio wakati Ule mzee Mwinyi Ruksa akasema " maji yamekorogeka unaweka Picha za nini?"
Mama awe makini na Siasa za CCM Maslahi!
Ndiyo maana katiba mpya hadi baada ya uchaguzi 2025. Hakuna mtu anayependa kujikaanga kwa mafuta yake. Ili kwamba akipata baada ya hapo ndipo aweke mizani sawa. Jamani ni mawazo yangu tu.Alikozaliwa mama hawautaki muungano yeye yuko bara anataka Urais
Hizi bodaboda zimeletwa na mwarabu kama kishika uchumba cha bandariKampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.
CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863
Huyu mama tumepigwa. Na kwa mwendo huu katiba mpya na tume huru ya uchaguzi tusahau
hao bodaboda wamepewa mikopo pia wapo wasanii kwa ajili ya kampeni ya 2025 kwa akili nyepesi badala ya kumshugulikia nchi yeye anawaza kuendelea kukaa ikulu
MBONA MAMA ANA UPIGA NWINGI KAMPENI ZA MAPEMA ZA NINI?
Asante kwa kukosoa kwa staha. Ndivyo alivyoshauri. Acha lawama tuzipeleke kwa washauri.Mama amekosa washauri!!