Bodi ya Ligi kama mmepanga Yanga awe bingwa Mara Mia msisumbue watu

Bodi ya Ligi kama mmepanga Yanga awe bingwa Mara Mia msisumbue watu

Mtoa mada hizo timu ni za CCM ,zinatumika kukupumbaza wewe na watoto wako,uliona wapi Chelsea na Arsenal zinaenda kuchezea Mechi zao SCOTLAND?Uliona wapi timu ya malindi na mlandege zimecheza manungu?Ukiona wapi timu inaviporoooooo saba ?Yaani
 
Lile ni bao dhahiri, kama Yanga ndio wangefungwa halaf ndio kichwa kile wamepiga wao lazima ngoma ingewekwa kati, Yanga wasifungwe au kutoa sare wao nani
Mivichwa samaki tayari mmeanza kulia Lia kama kawaida yenu...! Mpira ujae halafu urudi wenyewe uwanjani?. Kwa sababu ni YANGA ndio sheria ivunjwe,ilazimishwe liwe goli ksbb yeye nani?
 
AChana na ndoto za mwendawazimu na kama ni bao basi peleka mpira kati.wanasimba kwa nini mnaiogopa sana yanga?naona hamlali mkisikia yanga inacheza.kila sekunde wanasimba wanaitaja yanga kweli yanga inatisha sana.
 
Imagine anayebishana na huyu jamaa huko mtaani anakua ana hali gani. Kama kinachoonekana wazi kabisa je kisipoonekana?
Tuliza akili zako hiyo ni teknolojia tu italipa taabu sana.Kunywa maji ulale nro
 
Back
Top Bottom