Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duniani since 1979 lkn akili bado kama wa 2010Lile ni bao dhahiri, kama Yanga ndio wangefungwa halaf ndio kichwa kile wamepiga wao lazima ngoma ingewekwa kati, Yanga wasifungwe au kutoa sare wao nani
Kama mpira ulivuka mstari kwa asilimia 100 imekuwaje ukapitiliza hadi nguzo ya pili pasipo hata kuigusa hiyo nguzo wala nyavu? Hilo swali la msingiYani si goli kwa sababu mpira ulitoka nje?Ndiyo utetezi gani huo?[emoji23][emoji23][emoji23]