Lile ni bao dhahiri, kama Yanga ndio wangefungwa halaf ndio kichwa kile wamepiga wao lazima ngoma ingewekwa kati, Yanga wasifungwe au kutoa sare wao nani
rejea mameload vs young na jkt tanzania vs yanga, yanga walifunga(kwa mtindo huohuo na mnabariki kuwa goli) magoli lakini yalikataliwa,tuambieni je yalikuwa halali ama la?