Naona kabisa bodi ya ligi imetengeneza tatizo juu ya tatizo,,bodi ya ligi ilitakiwa isimamie Sheria na kanuni walizoziweka zinazoendesha ligi na sio busara!
Kanuni ziko wazi kwa timu inayogomea mechi na kanuni ziko wazi kwa timu iliyozuiliwa kufanya mazoezi aikuwepo haja yoyote ya kutumia ata dk 10 kuamua hili jambo kwakuwa kanuni zinajieleza!
Bodi imeahirisha mechi kuwaridhisha Simba sasa iyo mechi watayopanga Simba atacheza na nani? Yanga washatoa statement yao Iko very clear awatocheza mchezo mwingine zaidi ya huu wa Leo kwakuwa akuna sababu za msingi zilizopelekea mechi kuahirishwa!
Sababu zinazoweza kufanya mechi iahirishwe zinajulikana ambazo zinakuwa nje ya uwezo wa kibinadamu na sio timu kugomea mechi kwasababu imezuiwa kufanya mazoezi!
Yanga na wao awatopeleka timu uwanjani mpaka bodi iwaambie ni kanuni ipi waliitumia kuahirisha mchezo wa kwanza usifanyike!
Tatizo liko hapo na bodi aitokuwa na maelezo yanayoeleweka!
Bodi ya ligi walitakiwa kuchukua hatua bila kucheka na kima ili kukomesha Aya mambo lakini wamegeuka kusigina kanuni zao walizotunga wenyewe!
Vipi ingekuwa ni kengold au Namungo ndio wamegoma kwa stahili hii bodi ya ligi wangeahirisha mechi?
Sasa wametengeneza tatizo jingine na yanga awatocheza mechi nyingine ili tuone ni hatua gani watachukua kwakuwa washayakanyaga!
Kanuni ziko wazi kwa timu inayogomea mechi na kanuni ziko wazi kwa timu iliyozuiliwa kufanya mazoezi aikuwepo haja yoyote ya kutumia ata dk 10 kuamua hili jambo kwakuwa kanuni zinajieleza!
Bodi imeahirisha mechi kuwaridhisha Simba sasa iyo mechi watayopanga Simba atacheza na nani? Yanga washatoa statement yao Iko very clear awatocheza mchezo mwingine zaidi ya huu wa Leo kwakuwa akuna sababu za msingi zilizopelekea mechi kuahirishwa!
Sababu zinazoweza kufanya mechi iahirishwe zinajulikana ambazo zinakuwa nje ya uwezo wa kibinadamu na sio timu kugomea mechi kwasababu imezuiwa kufanya mazoezi!
Yanga na wao awatopeleka timu uwanjani mpaka bodi iwaambie ni kanuni ipi waliitumia kuahirisha mchezo wa kwanza usifanyike!
Tatizo liko hapo na bodi aitokuwa na maelezo yanayoeleweka!
Bodi ya ligi walitakiwa kuchukua hatua bila kucheka na kima ili kukomesha Aya mambo lakini wamegeuka kusigina kanuni zao walizotunga wenyewe!
Vipi ingekuwa ni kengold au Namungo ndio wamegoma kwa stahili hii bodi ya ligi wangeahirisha mechi?
Sasa wametengeneza tatizo jingine na yanga awatocheza mechi nyingine ili tuone ni hatua gani watachukua kwakuwa washayakanyaga!