Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) yaja na 'Kampeni ya Fichua' kuwasaka wadaiwa sugu

Kuna mtu nafanya nae kazi dada yake anafanya huko Bodi ya mikopo akaniambia niandae laki 4 jina langu lifutwe nikazembea aloo msako ukaninasa nikalipa hela zote nimeshamaliza ila yeye hata sumni hakatwi nikajiona mjinga mimi
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Mie nilimwambia magu kuwa hawa sio wakuwaongezea percent ya kulioa. Hawa ilikuwa unakamata na kunyonga tuu
 
Au watupeleke mahakamani!
 
Kazini wako kama wa-4 hawakatwi , mimi naona Safi tu, mlikopeshana wenyewe mtafutane wenyewe… snitches get stitches
 
Mimi nilipata boom baada ya kunji........ Nitafutene mpaka mnioate. Vinginevyo tukutane kwenye clearance ya kustaafu 2030
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…