CHOKAMBOVU
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 836
- 563
Tulie tu mimi nililipa lump sum mwezi uliofuata wakakata kuwadai wakasema walikuwa wananidai.Shida tupu
Na tunaoidai bodi tufanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na tunaoidai bodi tufanyaje?
Kwahiyo kila anayeongea hapa unaijua status yake ya maisha?, huko ulikojiajiri unafanya kutokana na ulichokisoma?.Mm nmemaliza degree na nkajiajiri na wala sifikirii kuajiriwa ss we kaa hapo usubiri ajira za serikali ije ikuletee hebu jiongeze kijana ww n wa kiume bora ungekuwa wa kike nisingesema sn ila ww wa kiume na umri unaenda utasubir ajira mpk ln
Ukisikia ule msemo wa mfa maji haachi kutapatapa, ndiyo huu sasa! Kwa hiyo huu ufichuaji unakuja baada ya kuwabambikia mikopo mipya baadhi ya wanufaika wa hiyo Bodi siyo!!Bila kulipa wengine hawata pata mikopo
View attachment 3031540
Muwe na siku njema ,Kuwa hero wa Madogo .
WA kwanza baba yako na chawa wa ccmBila kulipa wengine hawata pata mikopo
View attachment 3031540
Muwe na siku njema ,Kuwa hero wa Madogo .
Uliifanyia nini hiyo bodiNa tunaoidai bodi tufanyaje?
Huyo unaemshauri mwenyewe ndie anastahili kutimuliwa ndio wengine wafuateUshauri wa bure kwa Raisi Samia
Wizara ya Elimu ndie Msimamizi wa bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu mwite Professor Mkenda mwambie kitu kimoja tu kuwa akuletee list ya wadaiwa wote ,majina yao na vyuo walivyosoma na course walizosoma na miaka waliyomaliza na madeni wanayodaiwa
Wakuletee ndani ya wiki moja mpe wiki moja tu yaani siku saba za kazi asije kuwa msabato au katoliki kuwa umemnyima uhuru wa kuabudu jumamosi au jumapili
Asipoleta mtimue uwaziri na hata ubunge asirudi chama kisimpe nafasi na uvunje bodi yote ya HESLB na Mkrugenzi mkuu mtimue na usimpe cheo chochote na wa chini watendaji waham8shie hata halmashauri za Tandahimba huko uchunguzi ukiendelea vyombo vyote vya dola
😆😆😆WA kwanza baba yako na chawa wa ccm
Ahahahaha daaah aiseee tumefika huku sasaBila kulipa wengine hawata pata mikopo
View attachment 3031540
Muwe na siku njema ,Kuwa hero wa Madogo .
Tuma majina mkuuAhahahaha daaah aiseee tumefika huku sasa
🤣🤣. Acha upuuz kijana
😂😂😂😂😂😂😂Kuwa hero wa madogo ,mimi nishatuma la Lucas Mwashambwa
Hata nikishikiwa binduki mkuu hii haiwezekani aiseeeTuma majina mkuu
Kubabake, kimeumana.Bila kulipa wengine hawata pata mikopo
View attachment 3031540
Muwe na siku njema ,Kuwa hero wa Madogo .
😆😆😆Kubabake, kimeumana.
Nina Ex wangu ana mtonyo wa maana wa kudangia subiri nimchome.