Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
Njoo uwape taarifa zangu Niko njiro Arusha... Afu nikukoboe kisamvi.Sawa mrembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo uwape taarifa zangu Niko njiro Arusha... Afu nikukoboe kisamvi.Sawa mrembo
Yaani haiweki hata takwimu za wadaiwa kuwa ni akina nani walisoma chuo gani,walisoma nini walimaliza mwaka gani na wanadaiwa shilingi ngapi? Eti wanasubiri mfichuaji huo ni uhuni wa mtu kujifanya yuko busy na serious kufuatilia madeni kumbe hamna kituKwahiyo kanzidata ya helsb kwishnei. Haina maajabu Yani
Hakuna wenye akili hapo kuanzia mkuu wa HESLB hadi wa chini yake kwa hilo tangazo lao la hovyo na liko below standardsHii nayo ni taasisi yenye watu wenye akili ?
Hii roho mbaya sasa!,hebu kausha.Tunaomba zawadi kazi ifanyike fasta
Kuwa mzalendo basiJina 1 sh ngapi? Vya bure watukome
Serikali ilikuwa inajua inaelimisha mwenye elim hata ispomuajiri atajkajiri na kulipa deni lao kumbe walikuwa wanasomesha kiande ss isipokupa iho ajira ndo utakaa ivo ivo bila ajira miaka yoteWaliotoa ndio hawana akili.... Unawezaje kuinvest 12m kwa mtu ambaye unajua atakuja kuwa jobless mtaani?.
Kwa ujuzi gani waliotoa?, ww umejiajiri? Au upo kwenye kundi la chawa wanaodhani kujiajiri hata kuuza karanga ni kujiajiri!!. Punguzeni mihemko ya kipuuzi ....Serikali ilikuwa inajua inaelimisha mwenye elim hata ispomuajiri atajkajiri na kulipa deni lao kumbe walikuwa wanasomesha kiande ss isipokupa iho ajira ndo utakaa ivo ivo bila ajira miaka yote
Mm nmemaliza degree na nkajiajiri na wala sifikirii kuajiriwa ss we kaa hapo usubiri ajira za serikali ije ikuletee hebu jiongeze kijana ww n wa kiume bora ungekuwa wa kike nisingesema sn ila ww wa kiume na umri unaenda utasubir ajira mpk lnKwa ujuzi gani waliotoa?, ww umejiajiri? Au upo kwenye kundi la chawa wanaodhani kujiajiri hata kuuza karanga ni kujiajiri!!. Punguzeni mihemko ya kipuuzi ....
Sitaki 😁Kuwa mzalendo basi
Wengi hawana ajiraBila kulipa wengine hawata pata mikopo
View attachment 3031540
Muwe na siku njema ,Kuwa hero wa Madogo .
Na tunaoidai bodi tufanyaje?Bila kulipa wengine hawata pata mikopo
View attachment 3031540
Muwe na siku njema ,Kuwa hero wa Madogo .
Nawashauriii wekeni Zawadi Kwa watakaofanikishaa ili kuwamotivate watu zaidiBila kulipa wengine hawata pata mikopo
View attachment 3031540
Muwe na siku njema ,Kuwa hero wa Madogo .
punguzeni makato kwanza iwe asilimia 7 sio 15...Bila kulipa wengine hawata pata mikopo
View attachment 3031540
Muwe na siku njema ,Kuwa hero wa Madogo .