Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zawadi mbona hamjaweka.......
Asante kwa TaarifaKwani tumejifucha?, mm nipo Arusha njiro.... Kama wananitaka waje..
.. yaani wanatuuzia makaratasi kw 12m?, kama wataweza kychukua hiki cheti waje chapu.
Wakati unachukua hayo makaratasi ulikuwa huna akili, afu ety una degree labla degree ya chooniKwani tumejifucha?, mm nipo Arusha njiro.... Kama wananitaka waje..
.. yaani wanatuuzia makaratasi kw 12m?, kama wataweza kychukua hiki cheti waje chapu.
Kuwa hero wa madogo ,mimi nishatuma la Lucas MwashambwaTunaomba zawadi kazi ifanyike fasta
Na majina hawajaweka waweke majina ya hao wadaiwa sugu na mwaka waliomaliza na chuo walichosoma na digrii walizosomaZawadi mbona hamjaweka.......
Waliotoa ndio hawana akili.... Unawezaje kuinvest 12m kwa mtu ambaye unajua atakuja kuwa jobless mtaani?.Wakati unachukua hayo makaratasi ulikuwa huna akili, afu ety una degree labla degree ya chooni
Acha kupenda kitonga mtoto wa kiume utapakatwa....Watangaze posho, kazi ya u-snitch sio kazi nyepesi
Sawa mremboAcha kupenda kitonga mtoto wa kiume utapakatwa....