😆😆😆😆Kuna mtu nafanya nae kazi dada yake anafanya huko Bodi ya mikopo akaniambia niandae laki 4 jina langu lifutwe nikazembea aloo msako ukaninasa nikalipa hela zote nimeshamaliza ila yeye hata sumni hakatwi nikajiona mjinga mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆Kuna mtu nafanya nae kazi dada yake anafanya huko Bodi ya mikopo akaniambia niandae laki 4 jina langu lifutwe nikazembea aloo msako ukaninasa nikalipa hela zote nimeshamaliza ila yeye hata sumni hakatwi nikajiona mjinga mimi
Ahahahaha ety tuanze kufichuana ili iweje...Hahahaha sawa mkuu unakwamisha zoezi la ufichuaji
Wangesema kila Taasisi ipeleke details za staff waoAhahahaha ety tuanze kufichuana ili iweje...
Alafu wana mambo ya hovyo hawa mafaza huko HSBL
Au kila MuajiriAhahahaha ety tuanze kufichuana ili iweje...
Alafu wana mambo ya hovyo hawa mafaza huko HSBL
Mkuu uwezi ukaingia kwa taasisi kwa sasa bila hao jamaa kupitisha kono lao...(Kono la nya)Wangesema kila Taasisi ipeleke details za staff wao
Daaah hapo watakua wametukamata vibayaAu kila Muajiri
Wengine tunasubiri kusamehewa ili mnune mliomalizaUkimaliza deni lao walau unapumua lo!
Wasio na kazi/ ajira sijui watawafanyeje!
Au watupeleke mahakamani!Na majina hawajaweka waweke majina ya hao wadaiwa sugu na mwaka waliomaliza na chuo walichosoma na digrii walizosoma
Kuna taarifa kuwa walikuwa wakitoa mikopo hewa kwa wakopaji hewa zikiingia mifukoni mwao
Waweke list ya hayo majina na kiasi wanachodaiwa na ilete total ya hiyo pesa wanadai.Sababu kila jina na kiasi anadaiwa ukijumlisha lazima ilete hiyo jumla
Hawaweki sababu wanajua wana majina hewa wali create na kuyapa mikopo iliyoingia mifukoni mwao
Kusema tu watu wafichue ni utapeli
Wanaogopa nini kuweka wazi taarifa zao zote ? Vyombo vya habari ikiwemo website yao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuwa hero wa madogo ,mimi nishatuma la Lucas Mwashambwa
😆😆😆Mie nilimwambia magu kuwa hawa sio wakuwaongezea percent ya kulioa. Hawa ilikuwa unakamata na kunyonga tuu
baada ya kufanikiwa ndiyo unatoa maneno mbofu mbofu. Kweli fadhili ya punda ni mashuziKwani tumejificha?, mm nipo Arusha njiro.... Kama wananitaka waje..
.. yaani wanatuuzia makaratasi kw 12m?, kama wataweza kychukua hiki cheti waje chapu.
Umeona eeh...hawa ilikuwa kuwakamata na kunyonga tuubaada ya kufanikiwa ndiyo unatoa maneno mbofu mbofu. Kweli fadhili ya punda ni mashuzi
Wasipopewa kelele nyingibaada ya kufanikiwa ndiyo unatoa maneno mbofu mbofu. Kweli fadhili ya punda ni mashuzi
Kufanikiwa kununua karatasi kwa 12m?. Kama cheti nikufanikiwa basi waje wachukue cheti chao wauze hata 100m ziwe zao.baada ya kufanikiwa ndiyo unatoa maneno mbofu mbofu. Kweli fadhili ya punda ni mashuzi