Bodi ya Nyama yasema Polisi waliteketeza nyama yote iliyokamatwa ila miguu ilichelewa kuungua ndio maana Meya wa Jiji aliikuta

Bodi ya Nyama yasema Polisi waliteketeza nyama yote iliyokamatwa ila miguu ilichelewa kuungua ndio maana Meya wa Jiji aliikuta

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Bodi ya nyama nchini imesema siyo kweli kwamba polisi waligawana nyama iliyokamatwa vingunguti bali nyama yote iliteketezwa.

Mtendaji wa bodi ya nyama amesema wao ndio walioteketeza nyama hiyo pale kituo cha polisi Buguruni.

Kilichotokea ni kwamba nyama laini iliungua kwa haraka na miguu ambayo huchukua saa sita kuungua ilichelewa na alipofika Meya wa Jiji kuchungulia akaona kuna miguu tupu bila minofu na kidali ambayo ilishateketea.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwanini hawakwenda na wale wafanyabiashara wa nyama kushuhudia? hii issue imewakalia vibaya sana, shuhuda mmoja alisema aliwaona askari wakigawana nyama kituoni, na kwa njaa ya askari wetu kubambikia watu kesi mpaka wapewe chochote nakubaliana na shuhuda.
 
Kwanini hawakwenda na wale wafanyabiashara wa nyama kushuhudia? hii issue imewakalia vibaya sana, shuhuda mmoja alisema aliwaona askari wakigawana nyama kituoni, na kwa njaa ya askari wetu kubambikia watu kesi mpaka wapewe chochote nakubaliana na shuhuda.
Kama Jiwe aliwapora wakulima korosho zao na pia kuwapora wafanyabiashara fedha kwenye Bureau de Change, Polisi watashindwa nn kupora nyama??
 
Back
Top Bottom