Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hujala supu ya kongoro Buguruni juzi?how do I believe these hyenas?
These people are hyenas kabisa!
Itakuwa waliuza, eti miguu haiwezi kuwaka moto, inamaana sisi hatuchomi nyama? waongo wakubwa haoAibu sana hii,
Kama kuna askari anasoma comment basi aone aibu kwenye nafsi yake, huwezi kulisha familia nyama ya dhuluma, aibu kubwa hii.
Bodi ya nyama mnaingia kwenye aibu, je nyama hiyo ilikuwa hatari kiafya? Kama jibu ni ndio je mlipima saa ngapi na kujua ni hatari kiafya? Kama haikuwa hatari kiafya kuna utaratibu wa kuteketeza kitu kisichokuwa hatari kiafya? Hicho kinapaswa kugawiwa kwa wananchi wa kawaida, vituo vya watoto yatima, shule, magereza n.k
Polisi oneni aibu hiyo laana ya kudhulumu watu haitawaacha salama.
Bodi ya nyama hakikisheni mnakula kile kilichohalali yenu msile vya dhuluma hamtakuwa tofauti na polisi kwenye kustaafu.
Utaratibu wa kuteketeza chakula au bidhaa zisizofaa kwa matumizi ya binadamu zikoje? Tuanzie hapo.....Bodi ya nyama nchini imesema siyo kweli kwamba polisi waligawana nyama iliyokamatwa vingunguti bali nyama yote iliteketezwa.
Mtendaji wa bodi ya nyama amesema wao ndio walioteketeza nyama hiyo pale kituo cha polisi Buguruni.
Kilichotokea ni kwamba nyama laini iliungua kwa haraka na miguu ambayo huchukua saa sita kuungua ilichelewa na alipofika Meya wa Jiji kuchungulia akaona kuna miguu tupu bila minofu na kidali ambayo ilishateketea.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
😆😆😆😆Bodi ya nyama nchini imesema siyo kweli kwamba polisi waligawana nyama iliyokamatwa vingunguti bali nyama yote iliteketezwa.
Mtendaji wa bodi ya nyama amesema wao ndio walioteketeza nyama hiyo pale kituo cha polisi Buguruni.
Kilichotokea ni kwamba nyama laini iliungua kwa haraka na miguu ambayo huchukua saa sita kuungua ilichelewa na alipofika Meya wa Jiji kuchungulia akaona kuna miguu tupu bila minofu na kidali ambayo ilishateketea.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!