Bodi ya Nyama yasema Polisi waliteketeza nyama yote iliyokamatwa ila miguu ilichelewa kuungua ndio maana Meya wa Jiji aliikuta

Mi nashauri kwa hatua ya uongo tuliofikia tusiendelee kuhoji ili waongee tu uongo wao wenyewe ili wafurahi.

Yaani Watz tumefika sehemu tunaonekana malofa kabisa na tuliowapa dhamana kwa kweli, inaudhi na kukera.
 
Mi nashauri kwa hatua ya uongo tuliofikia tusiendelee kuhoji ili waongee tu uongo wao wenyewe ili wafurahi.

Yaani Watz tumefika sehemu tunaonekana malofa kabisa na tuliowapa dhamana kwa kweli, inaudhi na kukera.
Wewe ndiyo lofa usiwasemee watz wote!!
 
Mi ningekua polisi ningekua mzinzi tu naunda makoloni kama kumi hivi ya night workers nakua nawazungukia from time to time.

Kwenye hivi vikesi sijui vya nyama, rushwa, kushuti jambazi kimakosa haunikuti kabisa.
 
Lingine lilikuwa linaweka vipande vya nyama kwenye mifuko ya suruali na shati.Miongoni mwa makundi pumbavu polisi wapo
 
Mi nashauri kwa hatua ya uongo tuliofikia tusiendelee kuhoji ili waongee tu uongo wao wenyewe ili wafurahi.

Yaani Watz tumefika sehemu tunaonekana malofa kabisa na tuliowapa dhamana kwa kweli, inaudhi na kukera.
Naunga mkono hoja, wanaona watanzania ni mamburula mavi yao
 
Mi ningekua polisi ningekua mzinzi tu naunda makoloni kama kumi hivi ya night workers nakua nawazungukia from time to time.

Kwenye hivi vikesi sijui vya nyama, rushwa, kushuti jambazi kimakosa haunikuti kabisa.
Umechagua fungu jema,kula mbususu mpaka unukie mbususu
 
Polisi wameteketeza nyama matumboni mwao! Hii ni aibu Sana Kwa jeshi la polisi na kama hiyo nyama ingekuwa na sumu nahisi tungeokota mizoga ya polisi barabaran
Polisi wetu wana njaa sana.Badala hasira zao kumaliza kwa watawala,wanamalizia hasira zao kwa upinzani!
 
Tena na video ninayo,Kama una namba ya whasap nipe pm nikutumie,Kama unaitaka
 
Bodi ya Nyama haijui kwamba kuna clips zinasambaa zikionesha jinsi nyama 'ilivyokuwa ikiteketezwa' hadi 'wateketezaji' wengine walikimbilia sokoni kununua mifuko ya rambo kubebea hizo nyama kwenda 'kuteketeza' nyumbani

Kwa hiyo zile fine walizotoza wale wauza nyama zilikuwa za 'kuteketezea'nyama?


Kuna Yule Mdhulumiwa alitahadharisha kuwa siku nyingine wataweka sumu kwny Nyama ili na 'wateketezaji' nao 'wateketee'
 
Police General Orders PGO inasemaje kwenye uteketezaji wa Mali kama hiyo!!??
Je wanayo mamlaka!
 
Ungepata wapi pesa za kuwazinzi hao Wanawake kama huli rushwa?

Au unadhan kigezo cha kuwa na nyumba ndogo ni uume pekee?
Mi ningekua polisi ningekua mzinzi tu naunda makoloni kama kumi hivi ya night workers nakua nawazungukia from time to time.

Kwenye hivi vikesi sijui vya nyama, rushwa, kushuti jambazi kimakosa haunikuti kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…