Bodi ya Nyama yasema Polisi waliteketeza nyama yote iliyokamatwa ila miguu ilichelewa kuungua ndio maana Meya wa Jiji aliikuta

Ni aibu. Inabidi wazitapike kupitia kwenye matundu yote saba.
 
Itakuwa waliuza, eti miguu haiwezi kuwaka moto, inamaana sisi hatuchomi nyama? waongo wakubwa hao
 
ipo siku waungwana wataitia dawa ya kuharisha ndipo tutajua huwa inateketezwa au la
 
Utaratibu wa kuteketeza chakula au bidhaa zisizofaa kwa matumizi ya binadamu zikoje? Tuanzie hapo.....
 
IGP ana kazi kubwa sana ya kuimarisha kesho lake, na hapo atumbuliwi mtu mpaka bwana mkubwa atakapotoka huko alipo
 
Kazi yao kubambikizia kesi wananchi wa kawaida, ingekuwa maselule tu wakitaa tungenyea mbingu
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…