Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Siyo favour, zilikuwa zinalipiwa na wqkati mikataba ikisainiwa walikuwa wanaita press.Wajinga kama wewe ndio wamejaa kwenye mpira wa Tanzania, zile Mo extra kwenye jezi siyo favour?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo favour, zilikuwa zinalipiwa na wqkati mikataba ikisainiwa walikuwa wanaita press.Wajinga kama wewe ndio wamejaa kwenye mpira wa Tanzania, zile Mo extra kwenye jezi siyo favour?
Hao washajichanganya wanaenda kuaibika vibaya mno bora wangekaa kimya tu
na huo ndiyo ukweliGharama ya uendeshaji wa timu kwa mwaka ni kiasi gani kuanzia usajili wa wachezaji na wafanyakazi mpaka kuwalipa mishahara na posho, usafiri maradhi?
Je hizo pesa za matangaza zinatosha kuendesha timu kwa mwaka mzima?
simba imefika hapo kwa pesa za mo tusidanganyane
hakika bodi watolewe kwanza wapumbavu wakubwa hao.Yes Bodi wana makosa yao , nayo ni kukaa kimya kwa Muda.
Lakini hili HALIONDOI KOSA LA MSINGI la Mo kuwa na ubabaishaji.
Washughulikiwe waru wa bodi kisha Wanachama warudi kwa Mo awaeleze vyema hizi tuhuma.
Kuna wa silent ocean na yeye anatajwaAu ndo ile ya mzee wa maji ya uhai
Yaani wanataka wamtoe tajiri namba moja nchini walete mhuni Fulani wa mjini ?Inaonekana kabisa kuna mtu anataka kuingia kwenye uwekezaji badala ya mo na ndio maana hawa wapuuzi wameanza ngonjera ili womtoe muhindi kwenye reli
Sasa hivi mchakato upo upande wa wanachama Mo alishamaliza kila kitu upande wake.Mo ni bepari ambaye anawaza kujinufaisha zaidi kuliko wengi wafikirivyo.
Tukiulizana yale matangazo yaliyojaa kila sehemu ya jezi na kwenye social media angekuwa analipia kiasi kinacholingana na ukubwa wa timu?.
Utakuta analipia labda 200M kwa tangazo moja wakati wapo washindani wenzake wanaotaka walipie tangazo lao moja tu kwa 2B, sasa Mo hataki kuruhusu habari za hivyo, mbona hatusikii watu wakilalamika juu ya tabia hiyo ya Mo?.
Lakini MO alipata wapi jeuri ya kuiita Simba ni mali yake binafsi wakati hajakamilisha mchakato wa umiliki? .
Kila siku MO analia eti timu inamtia hasara, mbona haachii wengine ili asiendelee kupata hasara?.
Mwambieni MO janja janja yake wenzake wameichoka.
Huo muda wa kuzitafta nyaraka na mchakato wa mabadiliko tunautoa wapi wakati uhakika wa kula bado tete?Jielemishe, acha kujivunia uelewa hafifu.
Sisi tulio nje ya buyu la asali hatuwezi kujua kila kitu kinachoendelea ndani, ndomana hizi pande mbili zinatuweka njia pandaUnaposema nyinyi mashabiki wenye uelewa hafifu unamaanisha nini?mashabiki mbumbumbu, au! Aisee poleni sana.
Wakati unatoa taarifa wengi walikupibga lakini muda umejibu.Mo akichomoka hili zengwe la sasa hivi nitamvulia kofia.
Wengine tulishawapa hizi taarifa tokea April, kuna wapuuzi wakarusha mafumbo baada ya mjumbe mmoja kujiuzulu.
Shukuruni hata mnafahamishwa, chanzo sio pumzi kila mmoja anavuta bure.
Wao wanalipwa mtandaoni kumtetea mo hawatumii akili zaoWajinga kama wewe ndio wamejaa kwenye mpira wa Tanzania, zile Mo extra kwenye jezi siyo favour?
Dah! Naona Mwasibu umeamua kutema nyongo yote kwa Mwasibu mwenzako!! Kihasibu imekaaje hii!! CPA {×} CPA=∆ 😁Hii ndio CPA uchwara sasa. Hawa kenge walikuwa kimya wakila hela ya mwekezaji na sajili zao uchwara. Mwekezaji kashtuka wanaanza kukenua. Tokaaaaa
Ndo makubaliano ya kimkataba ayo? Walikubaliana kwamba ukifinance miaka 7 ndio zinabadilishwa kuwa mtaji wa b.20? Ebu acha ujinga basi, aonyeshe bilioni 20 alikoziweka mengine yaendelee!ame finance 20 billion for 7 years.