Bodi ya Simba upande wa mashabiki wanataka kumtapeli Mo Simba yake

Bodi ya Simba upande wa mashabiki wanataka kumtapeli Mo Simba yake

D62AE57A-3E6D-4953-89CF-0E51724309BA.jpeg


2C259A20-7856-429B-A78C-5A892B60F1A7.jpeg
 
Niliwahii kuandika mada moja hukoo nyumaa mhindi hajawahi kufanya biashara ya hasaraaaa kama anakupa sadaka

Nkasema ukiona mhindi anakuoa helaa tu anakupa hela unafurahiaaa ipo siku utazitapika kwenye tundu lolotee

Mjumbe mmoja kasema ati mo alikuwa anawapa kama msaadaaa

Nimemsikiliza nkahisi huyu bwana ana akili zote kweli??

Ati alimpa bil 4 kusaidiaa xyz

Baadae akatoa bil 5 kusaidia

Abc


Nk


Ushawahi kuona mhindi anakupa msaada wa bilions umekuwa mamayake ama baba yakeee??

Yaaan mlikuwa mbapokea kwasababu hamuulzwi matumizi mkajua msaadaaa imekuwa sadaka ya harambeee

Mnalooo zile hela mtazitapikaaaa motoo umewaka hukoo
 
NILIWAHII KUANDIKA MADA MOJA HUKOO NYUMAA MHINDI HAJAWAHI KUFANYA BIASHARA YA HASARAAAA KAMA ANAKUPA SADAKA

NKASEMA UKIONA MHINDI ANAKUOA HELAA TU ANAKUPA HELA UNAFURAHIAAA IPO SIKU UTAZITAPIKA KWENYE TUNDU LOLOTEE

MJUMBE MMOJA KASEMA ATI MO ALIKUWA ANAWAPA KAMA MSAADAAA

NIMEMSIKILIZA NKAHISI HUYU BWANA ANA AKILI ZOTE KWELI??

ATI ALIMPA BIL 4 KUSAIDIAA XYZ

BAADAE AKATOA BIL 5 KUSAIDIA
ABC

NK

USHAWAHI KUONA MHINDI ANAKUPA MSAADA WA BILIONS UMEKUWA MAMAYAKE AMA BABA YAKEEE??

YAAAN MLIKUWA MBAPOKEA KWASABABU HAMUULZWI MATUMIZI MKAJUA MSAADAAA IMEKUWA SADAKA YA HARAMBEEE

MNALOOO ZILE HELA MTAZITAPIKAAAA MOTOO UMEWAKA HUKOO
Muhindi analipa mfanyakazi mshahara wa 150,000/- aache bilioni 😂😂😂
 
CPA alijua akifanya direct attack kwa Mo basi wanachama watakuwa upande wake ila mambo yamegeuka, Wanachama wanamtaka Mo, hawataki mambo mengine.
 
Yaani wanataka wamtoe tajiri namba moja nchini walete mhuni Fulani wa mjini ?

Kuna kipindi timu hadi ilidhaminiwa na Malkia Nyuki baada ya mashabiki kuendelea kusikiliza upumbavu wa Rage.
Wasubirie mchakato wa mabadiliko ukamilike wanunue hisa zilizo salia kama wanachama lakini kuna watu ndani ya timu ni ndumila kuwili ndio wanao chelewesha mchakato wa mabadiliko
 
Wasubirie mchakato wa mabadiliko ukamilike wanunue hisa zilizo salia kama wanachama lakini kuna watu ndani ya timu ni ndumila kuwili ndio wanao chelewesha mchakato wa mabadiliko
Kwanza mchakato kwa sasa umekwamishwa na upande wa wanachama na wahusika na ni hao hao kina Mangungu na hao kina cpa kwa upande wa wanachama.

Kama wajumbe wa bodi upande wa wanachama wameshindwa kusimamia maslahi ya wanachama halafu wanaenda kulia kwenye media.

Mbona hawajasema pesa za kuendesha club wanatoa wapi ?
 
Mo akichomoka hili zengwe la sasa hivi nitamvulia kofia.

Wengine tulishawapa hizi taarifa tokea April, kuna wapuuzi wakarusha mafumbo baada ya mjumbe mmoja kujiuzulu.

Shukuruni hata mnafahamishwa, chanzo sio pumzi kila mmoja anavuta bure.
Hawezi kuchomoka
 
Ngoja waje madunduka maana hawana jibu la maana hapo wameingizwa mkenge
 
Hata GSM pia ni suala la mda tu siku akiacha kulipa wanahabari wamsifie kila kitu kitaibuka kule ndio kuna umafia kuliko simba sema kwasababu yanga inafanya vizuri hakuna atakayeamini hata simba kipindi inafanya vizuri ilikuwa hvyo.
 
Tatizo tajiri hatoi pesa anakuwa mchungu wachezaji wakuokota okota uwezo mdogo kwa hilo hatuwezi kushindana na Yanga
 
MNAWEZA KUONA MO KAWA KIMY

BAADA YA MJUMBE KUSEMA HELA ZA MSAADA KAZIDAI ZIINGIZWE KWENYE BIL 20 ALIZOSEMA ANAWEKEZA

KIAKIOI AININGIII KUSIKIA MJUMBE WA BODI ANASEMA ATI MO ALITOA BIL 4 MARA 5 KWA WATU FLAN KAMA MSAADA

KWELI AWAPE MSAADA HAMKUSHTUKAA??

TUNASUBIRI MH MO ASEME HIZI HELA ALIWAPA NANI NA NANI NA KWA AJILI GAN

ASEME WAKIOCHUKUA ZIMEFANYIA NN

ASEME KAMA ALIWASAINISHA AMA ALIWAPA KAMA SADAKA WANAVYOSEMA WAJUMBE WA BODI UPANDE WA WANACHAMAA

MWISHOOO HAIÌSHI MPAKA IISHEEE

....INAENDELEA.......WAITING U MO
 
Back
Top Bottom