Bodi ya Simba upande wa mashabiki wanataka kumtapeli Mo Simba yake

Bodi ya Simba upande wa mashabiki wanataka kumtapeli Mo Simba yake

Wajumbe wa bodi wanaitisha mkutano na waandishi barabarani mbele ya maduka ya watu..
Kwa Hilo tu hata Kama walikua na hoja nawaona wajinga.

Kumbuka mchakato wa mabadiliko ndani ya Simba ulikuwa haujakamilika hivyo zile fedha ziliwekwa 'escrow account'..
Sasa watu haohao upande wa wanachama kwa makusudi kabisa wamechelewesha na kukwamisha mchakato na Mo ameendelea kutoa fedha nje ya zile billioni 20 mpaka zimezidi tena billion 20 nyingine..

Kama uliwasikia vizuri hoja zao hao wajumbe wa bodi, wanataka Mo aendelee kutoa hela ila asizisimamie wala kuzitolea maamuzi. Wanataka wapewe wao ndio wafanye maamuzi..
Wapumbavu kweli na njaa ndio zinazowaongoza.

Yani wewe hutoi hata mia, ila unataka Mimi nitoe hela uzisimamie wewe, Tena unaongea kwa uchungu kwelikweli..shenzi type!
Ok! Wanachama wanna 51%, bebeni basi budget ya msimu huu..
Partnership maana yake uwajibike kutokana na asilimia zako zilivyo.

Sasa wewe unatoka nyumbani kwako na nauli ya boda unasema, Mo akisajili kocha hatafundisha Simba, mpaka wewe upewe pesa ndio usajili...kitunguu, nyanya, ndizi, embe, parachichi..kwanza tikiti maji wahed
 
Mgogoro mkubwa sana unanukia Simba.

Naona ni kama mgogoro wa Glazer Family na Man Utd. Mtu kashikilia timu hela hatoi, timu mafanikio yanadorora kila siku, na kuiachia hataki sababu kupitia timu biashara zake zinaenda.
Ukiangalia Mo anaonewa, haya mamtu yenye njaa yameungana ni shida.

Mo hela anatoa ila shida ni kwamba kwakua mchakato haujakamilika haijulikani hizi hela zinakaaje..
Na hawa wachumia tumbo wanapenda hali iendelee ili waendelee kuzila hizo hela..
Sasa Mo akizijumlisha, zinazidi Bil 20. Akiangalia na kule kwenye Escrow ameweka billion 20

Mamtu yenyewe yanataka hela zitolewetu, ila hawataki kusikia zikiitwa mkopo, au mtaji sehemu ya hisa. Wao wanataka tu Mo awakabidhi hela yeye akae pembeni wao wapige 'show'.

Uwekezaji gani huo?
Huo si ufala!
Halafu yanatishia eti "tukiwaita wanachama hapatakalika", pumbavu!
Kwanini pasikalike?
 
Kwenye suala kama hili nilikuwa namkubali sanaJPM (RIP). Saa hizi vyombo vya dola vingekuwa saa nyingi vimeshatimba pale Simba na kuondoka na watu bila kuwaangalia usoni na kuwatupa nyuma ya nondo. Hizi sarakasi zote kwenye media ni kupotezeana muda mwisho wa siku ukweli hautajulikana na baadae mbele ya safari sio ajabu wote wanaozodoana wakarudi na kukaa meza moja biashara ikawa imeishia hapo.
 
Ufadhili ghafla ukageuka kuwa uwekezaji!! Tatizo lilianzia hapo. Uwekezaji ulitakiwa ujulikane ni lini umeanza na kwa taratibu zipi. Kuanza kudai ufadhili wako wa siku za nyuma si sawa. Vp kina hans pope nao familia zao zikadai ufadhili waliowahi kuufanya simba?
 
Anaandika Mhe. Hamisi Kigwangwala

✍️ “Kama ni kudaiana tu, tena bila mikataba, basi na sisi wana @SimbaSCTanzania tunamdai mwekezaji pesa nyingi sana!”

“Tulimtaka aweke bilioni 20 kwenye account yetu ili tununue bonds, kumbe hakuweka! Kama angeweka tungenunua bonds za miaka 25, at a coupon rate of 15.95% tungepata faida ya bilioni 3.19 kila mwaka. Kwa miaka 7 aliyotuzubaisha bila mafanikio yoyote yale, tungevuna bilioni 22.33!

“Deni la pili: ni pesa alizotukosesha kutokana na ufadhili wa Azam - bilioni ngapi? Kwa mwaka ni bilioni 3. Kwa miaka 7 ni bilioni 21!

“Na yeye matangazo yake alikuwa analipia ufadhili kiasi gani?

“Tayari kwa haya mawili tu, tunamdai mwekezaji Glezabhai zaidi ya bilioni 43.33! Taja na wewe madeni mengine tunayomdai Glezabhai ili twende sawa!

“Halafu, Wajumbe wa Bodi waliokurupuka leo kutoka usingizini tuna jambo nao: watuambie walimpa Glezabhai mamlaka ya kumiliki timu yetu kwa msingi upi? Maana hakufuata prospectus ya mchakato wa transformation wa kampuni inavyotaka.

“Nimemuona Ndugu Issa akitumia Memorandum ya kampuni…how? Kama mchakato wa kulipia hisa haujakamilika hiyo document haina nguvu yoyote ile, ile bodi yao waliyokuwa wanakaa haina maana yoyote ile. Na wala Simba Sports Club haijauzwa na wala haidaiwi na mtu - kimsingi tumerudi GROUND ZERO!

“Ile bodi ilikuwa genge la watu walioiteka tu timu yetu kinyemela. Kwa taarifa za Ndg. Issa, maana yake Glezabhai hana haki wala mamlaka yoyote yale kisheria kwenye Simba. Simba SC ni club ya wanachama kwa asilimia 100.

“Wanachama tunamtaka Ndg. Mangungu aitishe mkutano mkuu haraka tuamue hatma ya club yetu. Kwenye mkutano huo aandae hesabu za mapato na matumizi ya Simba….kuanzia viingilio vya getini siku za mechi, mikataba ya mauzo ya bidhaa, mikataba ya mauzo ya haki za matangazo (ikiwemo ya bidhaa za Glezabhai, mbet nk), mapato ya CAF (robo fainali zote), n.k.

“Ndg. Mangungu na Kamati Tendaji wakishindwa kufanya hivi, tutaingilia kati kwa kuunda ‘kikosi kazi’ maalum (task force) cha kuiokoa club yetu.”
 
Anaandika Mhe. Hamisi Kigwangwala

✍️ “Kama ni kudaiana tu, tena bila mikataba, basi na sisi wana @SimbaSCTanzania tunamdai mwekezaji pesa nyingi sana!”

“Tulimtaka aweke bilioni 20 kwenye account yetu ili tununue bonds, kumbe hakuweka! Kama angeweka tungenunua bonds za miaka 25, at a coupon rate of 15.95% tungepata faida ya bilioni 3.19 kila mwaka. Kwa miaka 7 aliyotuzubaisha bila mafanikio yoyote yale, tungevuna bilioni 22.33!

“Deni la pili: ni pesa alizotukosesha kutokana na ufadhili wa Azam - bilioni ngapi? Kwa mwaka ni bilioni 3. Kwa miaka 7 ni bilioni 21!

“Na yeye matangazo yake alikuwa analipia ufadhili kiasi gani?

“Tayari kwa haya mawili tu, tunamdai mwekezaji Glezabhai zaidi ya bilioni 43.33! Taja na wewe madeni mengine tunayomdai Glezabhai ili twende sawa!

“Halafu, Wajumbe wa Bodi waliokurupuka leo kutoka usingizini tuna jambo nao: watuambie walimpa Glezabhai mamlaka ya kumiliki timu yetu kwa msingi upi? Maana hakufuata prospectus ya mchakato wa transformation wa kampuni inavyotaka.

“Nimemuona Ndugu Issa akitumia Memorandum ya kampuni…how? Kama mchakato wa kulipia hisa haujakamilika hiyo document haina nguvu yoyote ile, ile bodi yao waliyokuwa wanakaa haina maana yoyote ile. Na wala Simba Sports Club haijauzwa na wala haidaiwi na mtu - kimsingi tumerudi GROUND ZERO!

“Ile bodi ilikuwa genge la watu walioiteka tu timu yetu kinyemela. Kwa taarifa za Ndg. Issa, maana yake Glezabhai hana haki wala mamlaka yoyote yale kisheria kwenye Simba. Simba SC ni club ya wanachama kwa asilimia 100.

“Wanachama tunamtaka Ndg. Mangungu aitishe mkutano mkuu haraka tuamue hatma ya club yetu. Kwenye mkutano huo aandae hesabu za mapato na matumizi ya Simba….kuanzia viingilio vya getini siku za mechi, mikataba ya mauzo ya bidhaa, mikataba ya mauzo ya haki za matangazo (ikiwemo ya bidhaa za Glezabhai, mbet nk), mapato ya CAF (robo fainali zote), n.k.

“Ndg. Mangungu na Kamati Tendaji wakishindwa kufanya hivi, tutaingilia kati kwa kuunda ‘kikosi kazi’ maalum (task force) cha kuiokoa club yetu.”
 
Kigwangala ni mtu mkubwa kumbe kichwani akili haina akili...
Mmeambiwa kamilisheni mchakato, Fedha iko escrow ihamishiwe kwenye account ya club, mchakato hamkamilishi halafu wewe unadai projected income za kufikirika.!!??

Unadai mpaka 'opportunity cost', hizo za Azam ulisha forego ndio maana ukaenda na Mo.

Unasema timu ni ya wanachama kwa 100%..kichwa yako ina maji ndani yake..
Gharama za uendeshaji za team ulikuwa unatoaga wewe??
Kimsingi Mo hahitaji kuwapa tena zile 20bil zilizopo Escrow...

Huyo Issa mwenyewe anasema, hapa katikati walikua wanachukua mara bil 4 mara 5.. Eti ulikuwa msaada!! Shubamit!! Walikuwa na ulemavu, au walipewa na taasisi ya charty ya Mo..
Acheni utapeli na uselausela! Sasa Mo ndio ameshajumlisha hiyo 'misaada' imezidi 20bil..

Hamumdai senti kipande, shubamit waizi wakubwa!
Kwanza wewe Kigwangala mtu akichukua milioni tu kwako lazima umloge..!!
Ni aibu sana kwa watu wanaodhaniwa kuwa na heshima katika nchi hii kufikiria Kama wewe...
 
Kwanza kitu ambacho naweza kuwa na uhakika nacho kuwa nipo sahihi kwa asilimia kubwa ni kuwa hakuna shabiki wa Yanga yeyote ambaye anaweza kuionbea Simba mazuri.

Kwasababu imekuwa kama utamaduni wetu kuwa migogoro ya majirani basi upande wa pili ni sherehe.

Ukifanya rational reasoning utaona hakuna shabiki wa Yanga yeyote ambaye anasapoti bodi ya Simba ivunjwe.

Badala yake utaona wengi wanataka Mo asepe.

Let's talk reality

Hakuna mtu yeyote asiyeipenda Simba akawa na mtazamo chanya wa kutoa mchango wowote wa kimawazo ili kuijenga Simba.

Hilo nina hakika nalo.

Kwa hiyo inapotokea mgogoro ndani ya Simba wenye kuhisisha makundi mawili kati ya mwekezaji na viongozi halafu ukaona watu wa Yanga wamesimama upande wa viongozi basi ujue hapo ndio tatizo lilipo.
 
Mo ni bepari ambaye anawaza kujinufaisha zaidi kuliko wengi wafikirivyo.

Tukiulizana yale matangazo yaliyojaa kila sehemu ya jezi na kwenye social media angekuwa analipia kiasi kinacholingana na ukubwa wa timu?.

Utakuta analipia labda 200M kwa tangazo moja wakati wapo washindani wenzake wanaotaka walipie tangazo lao moja tu kwa 2B, sasa Mo hataki kuruhusu habari za hivyo, mbona hatusikii watu wakilalamika juu ya tabia hiyo ya Mo?.

Lakini MO alipata wapi jeuri ya kuiita Simba ni mali yake binafsi wakati hajakamilisha mchakato wa umiliki? .

Kila siku MO analia eti timu inamtia hasara, mbona haachii wengine ili asiendelee kupata hasara?.

Mwambieni MO janja janja yake wenzake wameichoka.
Hao washindani ni kama mademu wa bar wanaofata meza yenye bia nyingi.

Hao washindani walikuwa wapi kuiona hiyo fursa miaka yote kabla ya MO kuja kuwekeza?

Au hao matajiri wako wameiona hiyo fursa baada ya MO kuitengeneza kupitia hela zake?
 
Kitu unachopaswa kujuwa hakuna CPA ya heshima kama udaktari.

Hapo CPA imeongea anaelewa vizuri sana hesabu, Mo aoneshe Billion 20 ziko wapi hiyo siyo hisani msiendekeze hawa matapeli wa Kihindi.
Acha kutetea ujinga huyo unayemuita CPA zipo rekodi zake akikiri wazi kabisa kuwa bilion 20 zipo.

Wewe huwezi kuwa na mawazo mazuri dhidi ya Simba na sikulaumu kwa hilo kwasababu hata mimi ningefanya the same kwenye ishu ya Yanga
 
Kaeni chini mmalize tofauti zenu vinginevyo timu inazama.
Siku zote Gentamycine amekuwa akiongea Mambo kama haya lkn anaishia kuitwa Popoma.
Ninachoona viongozi wamekuwa wakificha Mambo mengi bila kujua wanafunika Moto chini ya zulia.
Kujifanya Hakuna tatizo huku mkijua Wazi kuna shida kubwa kwenye uendeshaji wa timu ni kujidanganya. Viongozi hamjawatendea haki wanachama Kwa kuwasomea Taarifa zilizopakwa poda huku mkijua siyo Uhalisia.
Ebu fanya tafakuri fupi kwanza.

Aliposepa uchebe aliacha meseji kuwa viongozi wa Simba ni tatizo.

Che Malone juzi naye kasema kuwa tatizo ni uongozi wa Simba.

Cadena naye jana kaja kashindilia msumari kuwa viongozi ni tatizo na kaenda directly kwa kuelezea jinsi alivyokuwa akiingiliwa majukumu yake.

Cadena amesema hayuko tayari kuongeza mkataba mpya labda kama ikitokea viongozi wabadilishwe kitu ambacho amekiona ni ngumu kuwezekana.

Hao viongozi wenyewe ambao wametajwa kama ni tatizo wame flip mjadala kwa kumgeuka mwekezaji.

Ni hatari sana huku tunakoelekea
 
Sio mhindi tuu, mtu yoyote aweze toa hela nyingi hivyo kwa msaada tuu.
Huyo CPA imeonyesha jinsi gani ni bogus, wa kwanza kutimuliwa alitakiwa awe yeye.
Sanakakaqaaa yaana nawaza alipataje jio cpa itakuwa cpz
 
Kwanza kitu ambacho naweza kuwa na uhakika nacho kuwa nipo sahihi kwa asilimia kubwa ni kuwa hakuna shabiki wa Yanga yeyote ambaye anaweza kuionbea Simba mazuri.

Kwasababu imekuwa kama utamaduni wetu kuwa migogoro ya majirani basi upande wa pili ni sherehe.

Ukifanya rational reasoning utaona hakuna shabiki wa Yanga yeyote ambaye anasapoti bodi ya Simba ivunjwe.

Badala yake utaona wengi wanataka Mo asepe.

Let's talk reality

Hakuna mtu yeyote asiyeipenda Simba akawa na mtazamo chanya wa kutoa mchango wowote wa kimawazo ili kuijenga Simba.

Hilo nina hakika nalo.

Kwa hiyo inapotokea mgogoro ndani ya Simba wenye kuhisisha makundi mawili kati ya mwekezaji na viongozi halafu ukaona watu wa Yanga wamesimama upande wa viongozi basi ujue hapo ndio tatizo lilipo.
Mo anaonewa na wahuni
 
Back
Top Bottom