Boeing wamefeli tena. Safari ya siku 8 imekuwa ya miezi 8

Boeing wamefeli tena. Safari ya siku 8 imekuwa ya miezi 8

Mbabe wa anga za mbali ni mrusi ns hapo nasa
Nilikuwa nasubiri comment kama hii anyways, sijawahi kuona ukiwa positive linapokuja suala la tech ya mrusi.
Watu wasichojua pale NASA wamejaa wanaanga na wanasayansi wa kirusi na kimarekani ila magwiji kabisa ni warusi na ndo ambao hamna mission yao ya kwenda anga la juu iliyo fail urusi ndo taifa pekee linaweza kutoa msaada maana teknolojia ya anga za juu wanaijua sana sasa watu wakiangalia movie za Hollywood wanafikiri marekani inaweza wazidi warusi kwenye hizo mambo
 
It looks like those two American astronauts stuck in the ISS are not in good health, especially Suni Williams.🤔

20241101_204905.png
 
Back
Top Bottom