Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
- #81
Umesema vyemaMwenye wivu ni huyu aliyemnanga mwenzake asiwe kwenye space program
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema vyemaMwenye wivu ni huyu aliyemnanga mwenzake asiwe kwenye space program
Kuidhinishwa siyo kuhidhinishwa. maana umeirudia mara mbili -wahidhinishaji (waidhinishaji). Ila sie tunaendelea kuwasomaWakihidhinishwa wanaweza, tatizo wahidhinishaji wenyewe nao wamefeli kuwarudisha astronauts wao 🤣
Yeye China space station yake amemleta nani pale? Naye tuseme ana wivu?Mwenye wivu ni huyu aliyemnanga mwenzake asiwe kwenye space program
Ya kwao imeanza lini na ya Marekani & Russia imeanza lini?Unaringia kudock ilihali wenzako wana ISS ya kisasa utafikiri upo hotel Verde zanzibar
"Wakihidhinishwa...."Wakihidhinishwa wanaweza, tatizo wahidhinishaji wenyewe nao wamefeli kuwarudisha astronauts wao 🤣
Space visits sio kama bodaboda yako ya Kichina unapiga kiki unaendesha.Acha tuone T14 Armata anakwamba Marekani hawashindwi kuwarudisha hata kesho wakitaka ila wataachwa huko hadi Feb, 2025 kwa sababu za kiusalama
"Wakihidhinishwa...."
Wachina hawahitajiki, mbona mna kisebengo na kujipendekeza kwa Marekani. Kila kitu mnafanya kumfurahisha ili muitwe. Hamuhitajiki, hamtoitwa.
Hayakuhusu.Ni habari yenye kuhuzunisha masaa kadhaa yaliyopita Boeing Starliner imeshindwa kuwarudisha duniani wanaanga wawili waliopelekwa kwenye Kituo cha Kimataifa cha Anga za Juu, International Space Station (ISS)
Ikumbukwe kuwa wanaanga hawa Barry Wilmore (M) na Sunita Williams (F) walienda na Boeing Starliner June 6, 2024 na ilikuwa ni safari ya siku 8 tu.
Lakini mpaka kufikia sasa Boeing na NASA wameshindwa kuwarudisha kwa sababu ya hitilifu (technical issues) kwenye chombo hicho.
View attachment 3089234
Boeing Starliner Space Capsule jana imerudi duniani bila wanaanga iliowapeleka
Kwa sasa Boeing na NASA zinashirikiana na SpaceX ya Elon Musk kuona jinsi ya kuwanasua wanaanga hao wawili. Ambapo inasemekana huenda kufikia February 2025 wataweza kuwarudisha. Safari ya wiki moja yawa ya miezi 8.
Boeing imekuwa na technical issues kwenye ndege zake na sasa hata kwenye spacecraft.
Je, ifike wakati NASA na Boeing waombe kushirikiana na China kuwanasua wanaanga wao?
tatiba ya kuwarudisha hawa wawili ilikuwa ya hii Boeing na capsule ilirudi vizuri bila shida yoyote. Ingeweza kuwaleta vizuri tu ila hakuna uharaka.
Hayakuhusu.
Jifunze kwanza kusuka ndondo za nchi 24 na kumwaga zege la barabara ili usimwite Mchina akujengee njia ya mwendo kasi.
Mwafrika, mvivu wa kujifanyia vitu wenyewe, tuna kamasi vichwani, tunaanza anzaje kukosoa ufundi wa BOEING ?
As always China ni kama mbwa anayemfuata bwana wake lazima atanguliwe kila kitu na Marekani.Ni suala la muda tu project iko tayari na mwanzo ni mzuri satellites zimeshatumwa soon Spacesail inakuja kumpa ushindani Starlink
We jamaa yani ya mmarekani uniita takataka hujui kila kitu happ sio screpa kila kitu kina kazi yake huo mdude ISS una kilo 450,0000Sasa China ajiunge kwenye ISS ya nini wakati wana ya kwao TSSView attachment 3089818
Picha ya juu mwonekano wa ndani wa Space station ya Mchina. Picha ya chini ya Marekani na washirika wake
Kuna moja hapo kama upo dampo la takataka
Vyote hivi kavifanya baada ya Marekani kumtangulia, kaiga kwa Marekani.Mchina hajawahi kujipendekeza kwa Mmarekani ndio maana ana version zake za kila tech.
Badala ya GPS ana BeiDou, badala ya google ana Baidu, badala ya google map ana Baidu Map,badala ya ISS ana TSS, badala ya Amazon ana Alibaba
Hiyo ni mifano michache tu
As always China ni kama mbwa anayemfuata bwana wake lazima atanguliwe kila kitu na Marekani.
Kwenda kwenye mwezi Marekani kaenda 1969, China anaenda 2030s. Gap la miaka zaidi ya 60.
Kujenga space station US, Russia na washirika 1998. China 2021 hapo tofauti ya miaka 23.
Sasa na hapa unakuja na kauli za "soon". Soon nini bwana, China haina hiyo kitu usilete future tense.
Warusi waliopo sasa hivi wamekaa mwaka mzima, mbona husemi wana uharaka?Hakuna uharaka sio? Kwani lengo la safari yao ilikuwa wakae huko kwa muda gani? Lengo lilikuwa ni siku 8 tu utasemaje hawana uharaka
Warusi waliopo sasa hivi wamekaa mwaka mzima, mbona husemi wana uharaka?
Warusi waliwahi kukaa zaidi ya mwaka ilikuwa 2023, hukuona uharaka?
Hawa Americans walienda kutest capsule mpya ya Boeing ili warudi nayo kutoa technical analysis. Hawajarudi nayo imekuja na autopilot, wao uharaka unauona wapi. NASA waseme hawana haraka, wewe na makoti yako vichochoroni udai wana haraka?
Bado unaendelea kujipa umuhimu bodi ya NASA.
Lengo la uzi lilikuwa ni hilo kwenye paragraph ya mwisho kabisaNi habari yenye kuhuzunisha masaa kadhaa yaliyopita Boeing Starliner imeshindwa kuwarudisha duniani wanaanga wawili waliopelekwa kwenye Kituo cha Kimataifa cha Anga za Juu, International Space Station (ISS)View attachment 3089246
Ikumbukwe kuwa wanaanga hawa Barry Wilmore (M) na Sunita Williams (F) walienda na Boeing Starliner June 6, 2024 na ilikuwa ni safari ya siku 8 tu.
Lakini mpaka kufikia sasa Boeing na NASA wameshindwa kuwarudisha kwa sababu ya hitilifu (technical issues) kwenye chombo hicho.
View attachment 3089234
Boeing Starliner Space Capsule jana imerudi duniani bila wanaanga iliowapeleka
Kwa sasa Boeing na NASA zinashirikiana na SpaceX ya Elon Musk kuona jinsi ya kuwanasua wanaanga hao wawili. Ambapo inasemekana huenda kufikia February 2025 wataweza kuwarudisha. Safari ya wiki moja yawa ya miezi 8.
Boeing imekuwa na technical issues kwenye ndege zake na sasa hata kwenye spacecraft.
Mwaka 2011 Marekani iliizuia China isijiunge kwenye Kituo hicho cha Kimataifa cha Anga za Juu cha ISS na China ikaamua kuanzisha rasmi kituo chake cha anga za juu kinachoitwa Tiangong Space Station.
Kwa sasa kuna vituo viwili tu vya anga za juu cha Kimataifa na cha China.
Wanaanga wa China wakifurahia kwenye Tiangong Space Station hawana wasiwasi wa kutorudi duniani
Je, ifike wakati NASA na Boeing waombe kushirikiana na China kuwanasua wanaanga wao?