Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
- #101
Hawa Americans walienda kutest capsule mpya ya Boeing ili warudi nayo kutoa technical analysis. Hawajarudi nayo imekuja na autopilot, wao uharaka unauona wapi. NASA waseme hawana haraka, wewe na makoti yako vichochoroni udai wana haraka?
Kwa nini Boeing Starline na haijarudi na astronauts wao ambao walienda mwezi June na walitakiwa wakae huko kwa siku 8 tu na sasa tuko September?
Shida iko wapi semaji la NASA?
Kwa nini Boeing na NASA waende kuomba msaada kwa SpaceX?
Kwako semaji la NASA
Shida iko wapi semaji la NASA?
Kwa nini Boeing na NASA waende kuomba msaada kwa SpaceX?
Kwako semaji la NASA