fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Uvamizi ule ulibarikiwa na baraza la usalama la umoja wa mataifa ambalo baraza hilo lilikuwa likiundwa na nchi sita likisimamiwa na USA kipindi kile. Wanachama wa baraza hilo ni USA, CHINA, UK, FRANCE, GERMANY na URUSI. Mgogoro ulikuwa mkali maana Urusi alikuwa hajabariki hapo mwanzo na kwa sheria za UNSC mwanachama mmoja akipinga hilo azimio halipitishwi, ndipo ikaundwa timu ya wachunguzi wa siraha za maangamizi na za kibiolojia. Baada ya report ya hiyo tume ndipo Urusi nae akaunga mkono uvamizi ule. So itoshe watu kuelewe roles na utofauti wa NATO na UNSCaaaaah