Bondia Hassan Mwakinyo arusha jiwe gizani, aponda mabondia wanaolipwa Sh milioni 5

Bondia Hassan Mwakinyo arusha jiwe gizani, aponda mabondia wanaolipwa Sh milioni 5

Yeye kaanzia Hizo Dolla
Yeye hakuanzia dollar alianzia hizo mil 1 na 2 na kwa wakati huo hatukumsikia wala kumjua sasa hivi ni wakati wake anavuta mpunga na ndio anawashangaa hao wanaovuta mil 2 sasa hivi wanapata wapi nguvu ya kuvimba kwa ushindi gan wa maana au kwa pesa gani ya maana kufikia level ya kujicompare na 'Champez'
 
ukweli usemwe alianzisha afande sele ila watu wa tanga kwa taarabu hawajambo hapo ni mipasho mwanzo mwisho
Hata kama afande sele ndie alieanzisha,ilibidi aongee kispoti kwamba yuko tayari kupigana na twaha at any place and any time,hii mipasho inaonyesha ni jinsi gani hataki kupigana na mabondia wa kitanzania
 
Hapa nae kaleta uswahili, ukiwa professional mambo kama haya hayatakiwi, mie nilikiwa namsapoti hili la kugoma kucheza na kiduku, lakini kwa haya maneno ya khanga, wapigane tuone huyu wa milioni 3 na yeye wa dola yupi bora.

Asichokijua mwakinyo au nadhani nae anajua ndio maana anamkwepa kiduku, yeye ile kushinda kule Uingereza ni zali la mtende na ndio kilichomuibua, hii ipo saana kwenye michezo tofauti hadi kwenye mziki kina J.I walibahatisha kidato kimoja kisha kimyaaa, ili uonekane bora inabidi uwe unagonga saana vitu vya maana, yeye mwakinyo kilichompa mpunga ni ile bahat ya Uingereza na ndio anatembea nayo, ila uwezo wake akikutana na kiduku yoyote anawezq poteza na hiki ndio anakikwepa akipigwa na kiduku basi kampa shavu kiduku nae ndio anaweza kuanza kuporomoka.

Katika ndondi kadri unavyofanya vizuri ndio mpunga unaingiza, alivymbahatisha yule mzungu ndio kaanza kula mpunga so anamuogopa kiduku anaweza akaanza kukosa mashavu ikitokea kachezea kipigo.
haya maneno ya shombo yapo kwa myweather... na ktk bondia ni kitu cha kawaida kuonesha tambo ili kuvutia jambo fulani na kupandisha thamani ya jambo hilo...

tanua wigo wa akili kaka...
 
Hicho alichokiongea mwakinyo kimemfelisha vipi kwenye career yake ya ngumi? Fafanua kidogo tuelewe
Binafsi mimi nilikiwa shabiki wake na kama tungepiga kura basi ningepiga asipigane na kiduku.

Kauli hii unadhani kapoteza mashabiki wangapi, unadhani bila mashabiki unapata matangazo ya kibiashara. Masupastaa wangapi wamefelishwa na kauli za hovyo?
 
haya maneno ya shombo yapo kwa myweather... na ktk bondia ni kitu cha kawaida kuonesha tambo ili kuvutia jambo fulani na kupandisha thamani ya jambo hilo...

tanua wigo wa akili kaka...
Acha kufananisha mbingu na nchi, Mayweather hakufika pale kwa zari mzee, ndugu yangu kafika pale kwa zari, yeye mwenyewe naimani anaogopa kucheza na kiduku akihofia lolote kutokea, akipokea kipigo pale anapoteza vingi.

Mchezo wa ngumi na mingi mingi mpunga unakuja kwa kufanya vizuri zaidi na zaidi.

Soma upya unielewe.
 
Hata kama afande sele ndie alieanzisha,ilibidi aongee kispoti kwamba yuko tayari kupigana na twaha at any place and any time,hii mipasho inaonyesha ni jinsi gani hataki kupigana na mabondia wa kitanzania
kwani lazima umesikia alichoongea afande sele kama mtu hataki kupigana unaforce nn ulisikia wapi khabib kupigana na usman kamar tatizo hmna elimu na hayo mambo izo ni kujenga pesa huyo mwakinyo kwa ukorofi ni namba moja wanae kaa nae wanamjua anavyopenda ugomvi kumbuka yule aliyemfuata usiku kwao wakapigana unajua alitaka kufungiwa walikuwa uzito tofauti jamaa aliforce wapigane wala hajui boxer alipigwa mpaka kaomba ,msamaha

kingine washamba kama afande sele anacholeta yeye kutaka mkoa wao uwe juu kitu impossible wote ni watanzania unachotakiwa kujua ukweli kupigana ni pesa mtu anashika parefu leo uje kumpa 5 mil kwa pambano

moro wana mikwara ya ajabu kama mandonga kapigwa moja chini🤣🤣🤣
 
Acha kufananisha mbingu na nchi, Mayweather hakufika pale kwa zari mzee, ndugu yangu kafika pale kwa zari, yeye mwenyewe naimani anaogopa kucheza na kiduku akihofia lolote kutokea, akipokea kipigo pale anapoteza vingi.

Mchezo wa ngumi na mingi mingi mpunga unakuja kwa kufanya vizuri zaidi na zaidi.

Soma upya unielewe.
we ushamba unakusumbua na wala hujui ngumi bro tunaofuatilia mpaka UFC tunajua mfano adesanya anaongea dharau bila chenga mpaka kukejeli ,conor ndo usiseme ,ukija mywearther ndo hatar watu wanajisifu wana pesa public

tatizo nyie wabaguzi mpaka bondia atokee mkoa wenu jueni kule kwa kina mwakinyo hawana haja ya kusoma elimu wana vipaji kila kona ndo maana plan za viwanja vya kuibua vipaji wamechagua kujenga kule
 
we ushamba unakusumbua na wala hujui ngumi bro tunaofuatilia mpaka UFC tunajua mfano adesanya anaongea dharau bila chenga mpaka kukejeli ,conor ndo usiseme ,ukija mywearther ndo hatar watu wanajisifu wana pesa public

tatizo nyie wabaguzi mpaka bondia atokee mkoa wenu jueni kule kwa kina mwakinyo hawana haja ya kusoma elimu wana vipaji kila kona ndo maana plan za viwanja vya kuibua vipaji wamechagua kujenga kule
Haya ahsante mzee.
 
Haya ahsante mzee.
ebu fuatilia mjadala wa umsan kamar kupigana na adesanya utajua kama wale wenzetu wako smart uliibuka juzi fuatilia uje useme na wale wa uzito tofauti usman kamar yeye yuko juu kataja dau analotaka sasa sikilizia upande wa kina dana white hao mapromoter kwani hawataki pesa na lilaleta mvuto mkubwa ni kitu imposible

basi chukua mywearther kwa jeuri zote akapigane na wilder then jiulize huyo wilder ana pesa ya kumzidi mywearther japo ana uzito wa juu wakipigana ujue sio boxer ni ugomvi na huyo mwakinyo anapigana sana na watu wazima izo ngumi za ugomvi kama anatka amfuate kwao aone
 
ebu fuatilia mjadala wa umsan kamar kupigana na adesanya utajua kama wale wenzetu wako smart uliibuka juzi fuatilia uje useme na wale wa uzito tofauti usman kamar yeye yuko juu kataja dau analotaka sasa sikilizia upande wa kina dana white hao mapromoter kwani hawataki pesa na lilaleta mvuto mkubwa ni kitu imposible

basi chukua mywearther kwa jeuri zote akapigane na wilder then jiulize huyo wilder ana pesa ya kumzidi mywearther japo ana uzito wa juu wakipigana ujue sio boxer ni ugomvi na huyo mwakinyo anapigana sana na watu wazima izo ngumi za ugomvi kama anatka amfuate kwao aone
Hujanielewa na huwezi kunielewa mkuu.
 
Najua ni maneno aliyosema ila yale ilikuwa kujipoza kasikilize afande sele kaongea nn utajua jamaa kawa na hasira sana ndo maana kaandika vile
Kuna kipindi inabidi uweze kutuliza hasira zako tu, siku zote mimi namsapoti mwakinyo kugoma kupigana na kiduku, ngumi ni maisha lile zari alilopata kumpiga errington lazima atengenezee pesa, anapigana kwa malengo sio ngumi za kutaka sifa, alichoniangusha ni hii kauli, inabidi utizame mashabiki wako ni watu wa aina gani.

Mie najua mwakinyo anachojaribu kukitengeneza na sikipingi. Kama kweli ni hasira basi azitulize, sio leo wala jana watu kutaka apigane na kiduku, ni kawaida wabongo wakikuona unafanya vizuri walete zogo, yamewakuta kina samata kina diamond nae lazima yamkute.

Kiduku anataka kutengenea pesa kwa mwakinyo na hana cha kupoteza akipigwa sio kesi akishinda kapata, ila mwakinyo akipigwa kuna sehemu atakuwa kapoteza.
 
Kuna kipindi inabidi uweze kutuliza hasira zako tu, siku zote mimi namsapoti mwakinyo kugoma kupigana na kiduku, ngumi ni maisha lile zari alilopata kumpiga errington lazima atengenezee pesa, anapigana kwa malengo sio ngumi za kutaka sifa, alichoniangusha ni hii kauli, inabidi utizame mashabiki wako ni watu wa aina gani.

Mie najua mwakinyo anachojaribu kukitengeneza na sikipingi. Kama kweli ni hasira basi azitulize, sio leo wala jana watu kutaka apigane na kiduku, ni kawaida wabongo wakikuona unafanya vizuri walete zogo, yamewakuta kina samata kina diamond nae lazima yamkute.

Kiduku anataka kutengenea pesa kwa mwakinyo na hana cha kupoteza akipigwa sio kesi akishinda kapata, ila mwakinyo akipigwa kuna sehemu atakuwa kapoteza.
yeap kuteneza pesa lakini nikakupa mfano wa usman kamar na adesanya .usman kachukulia advantage ya pesa na yuko juu kiuzito ishu ni kwamba haiwezekani utakuwa ni ugomvi na mtu kama afande sele analeta ubinafsi kam ubaguzi unamsemaje mtu live live kam vile

mi nikipind mwakinyo anaanza kupigana sikujua kuna msela nilikuwa niko nae chuo anakaa nae huko kwao tanga sijui makorora anasema huyo jamaa ni mgovi anapigana na watu wazima ukiachana na boxer jamaa anapend ngumi sana maneno kidogo kashavimba
 
Back
Top Bottom