Bondia Hassan Mwakinyo arusha jiwe gizani, aponda mabondia wanaolipwa Sh milioni 5

Bondia Hassan Mwakinyo arusha jiwe gizani, aponda mabondia wanaolipwa Sh milioni 5

Hata kama afande sele ndie alieanzisha,ilibidi aongee kispoti kwamba yuko tayari kupigana na twaha at any place and any time,hii mipasho inaonyesha ni jinsi gani hataki kupigana na mabondia wa kitanzania
Fuatilia interviews za mabondia dunuani utakuja gundua Mwakinyo anaongea kistaarabu sana.
 
Binafsi mimi nilikiwa shabiki wake na kama tungepiga kura basi ningepiga asipigane na kiduku.

Kauli hii unadhani kapoteza mashabiki wangapi, unadhani bila mashabiki unapata matangazo ya kibiashara. Masupastaa wangapi wamefelishwa na kauli za hovyo?
Thamani ya alichokiongea Mwakinyo utaiona siku likiandaliwa pambano.
 
Acha tantalila,bondia wa kweli uwa hana mipasho,kama bondia anataka tuweke mnaweka ndio msemo wa mabondia weka tuweke,mwakinyo kama anajiamini apigane na twaha au mfaume kama hataki akae kimya sio kuongea shombo,mpiganaji achagui wa kupigana nae
Hizi ngumi za kama wewe mwanaume kweli puma wanapigana sana Masela wa Manzese.
 
Hapa nae kaleta uswahili, ukiwa professional mambo kama haya hayatakiwi, mie nilikiwa namsapoti hili la kugoma kucheza na kiduku, lakini kwa haya maneno ya khanga, wapigane tuone huyu wa milioni 3 na yeye wa dola yupi bora.

Asichokijua mwakinyo au nadhani nae anajua ndio maana anamkwepa kiduku, yeye ile kushinda kule Uingereza ni zali la mtende na ndio kilichomuibua, hii ipo saana kwenye michezo tofauti hadi kwenye mziki kina J.I walibahatisha kidato kimoja kisha kimyaaa, ili uonekane bora inabidi uwe unagonga saana vitu vya maana, yeye mwakinyo kilichompa mpunga ni ile bahat ya Uingereza na ndio anatembea nayo, ila uwezo wake akikutana na kiduku yoyote anawezq poteza na hiki ndio anakikwepa akipigwa na kiduku basi kampa shavu kiduku nae ndio anaweza kuanza kuporomoka.

Katika ndondi kadri unavyofanya vizuri ndio mpunga unaingiza, alivymbahatisha yule mzungu ndio kaanza kula mpunga so anamuogopa kiduku anaweza akaanza kukosa mashavu ikitokea kachezea kipigo.
Mwakinyo yupo sahihi kutopigana na Kiduku, inabidii ajikite kwenye mapambano huko huko nje ili azidi kujijenga zaidi.
 
its all about the money n legacy..
 
Mwakinyo kasema ukweli ifahamike hivyo na ndio hivyo. Twaha kama anajua ngumi atoke nje ya Tanzania akapigane hata game 3 kwa kuanzia
 
Hata hiyo dollar 10,000 kwa kazi ya kupigana inayohatarisha afya mbona hela mbuzi tu?

Mimi natengeneza zaidi ya hiyo, kila mwezi, bila kupigana.

Kila mtemi ana mtemi wake.
Mkuu na ww hauko nyuma ,umekuja kutuvimbia [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Watu wengi wanajua mwakinyo anamkimbia twaha tu,but kiukweli mwakinyo anamkimbia mfaume mfaume na dogo m1 anaitwa ibrahim maonwa,mwaki hataki kuwasikia hao watu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] wana balaa eeh
 
Binafsi namkubali mwakinyo...
 
Mdigo wa uko Digo jirihini kwa misifa hao watu wahaya watasubiri kdgo
 
Acha tantalila,bondia wa kweli uwa hana mipasho,kama bondia anataka tuweke mnaweka ndio msemo wa mabondia weka tuweke,mwakinyo kama anajiamini apigane na twaha au mfaume kama hataki akae kimya sio kuongea shombo,mpiganaji achagui wa kupigana nae
Unazungumzia ugomvi au boxing?
 
Back
Top Bottom