Bondia Hassan Mwakinyo arusha jiwe gizani, aponda mabondia wanaolipwa Sh milioni 5

Bondia Hassan Mwakinyo arusha jiwe gizani, aponda mabondia wanaolipwa Sh milioni 5

kwani lazima umesikia alichoongea afande sele kama mtu hataki kupigana unaforce nn ulisikia wapi khabib kupigana na usman kamar tatizo hmna elimu na hayo mambo izo ni kujenga pesa huyo mwakinyo kwa ukorofi ni namba moja wanae kaa nae wanamjua anavyopenda ugomvi kumbuka yule aliyemfuata usiku kwao wakapigana unajua alitaka kufungiwa walikuwa uzito tofauti jamaa aliforce wapigane wala hajui boxer alipigwa mpaka kaomba ,msamaha

kingine washamba kama afande sele anacholeta yeye kutaka mkoa wao uwe juu kitu impossible wote ni watanzania unachotakiwa kujua ukweli kupigana ni pesa mtu anashika parefu leo uje kumpa 5 mil kwa pambano

moro wana mikwara ya ajabu kama mandonga kapigwa moja chini🤣🤣🤣
Acha tantalila,bondia wa kweli uwa hana mipasho,kama bondia anataka tuweke mnaweka ndio msemo wa mabondia weka tuweke,mwakinyo kama anajiamini apigane na twaha au mfaume kama hataki akae kimya sio kuongea shombo,mpiganaji achagui wa kupigana nae
 
Washindani wake wa kweli wapo Duniani. Tunataka kumuona huko na si kuwabeza mabondia wenzake wa ndani, hata yeye alianzia huko. Tunategemeana aanzishe Taasisi yake binafsi ya kuwapromote chipukizi wanaokuja na kutengeneza soko la nje la ushindani.
Bondia Hassan Mwakinyo ametoa kauli ambayo ni wazi inaonyesha anarusha ‘dongo’ sehemu.

Wale mnaojua someni hapa kisha muone kijembe hiki kinamuhusu nani?

“Bongo bwana Boxer unajulikana mikoa 5 tu Tanzania umeshaanza kuvimba mabega!! Eti unajiona kila mtu Una muweza ikipigwa hesabu yako tangu. Uanze ngumi hujashika hata milion 10 mapambano yako milion 3. Milion 5 Gademn🤑🤑 kazeni nanyi mlipwe dolar,” – Hassan Mwakinyo.

View attachment 2171511
 
yeap kuteneza pesa lakini nikakupa mfano wa usman kamar na adesanya .usman kachukulia advantage ya pesa na yuko juu kiuzito ishu ni kwamba haiwezekani utakuwa ni ugomvi na mtu kama afande sele analeta ubinafsi kam ubaguzi unamsemaje mtu live live kam vile

mi nikipind mwakinyo anaanza kupigana sikujua kuna msela nilikuwa niko nae chuo anakaa nae huko kwao tanga sijui makorora anasema huyo jamaa ni mgovi anapigana na watu wazima ukiachana na boxer jamaa anapend ngumi sana maneno kidogo kashavimba
Sijaisikia ishu ya afande, hebu nipasie niweke mzani sawa, ila katika watu wa kupuuza basi mmoja wapo ni afande sele, kawa chizi mnoo, mtu akishaanza kujiona anajua saana badi ndio kaanza ujinga hapo.
 
Sijaisikia ishu ya afande, hebu nipasie niweke mzani sawa, ila katika watu wa kupuuza basi mmoja wapo ni afande sele, kawa chizi mnoo, mtu akishaanza kujiona anajua saana badi ndio kaanza ujinga hapo.
kuna video anahojiwa kuhusu twaha kiduku kishinda anaanza kumponda mwakinyo
 
Hapa nae kaleta uswahili, ukiwa professional mambo kama haya hayatakiwi, mie nilikiwa namsapoti hili la kugoma kucheza na kiduku, lakini kwa haya maneno ya khanga, wapigane tuone huyu wa milioni 3 na yeye wa dola yupi bora.

Asichokijua mwakinyo au nadhani nae anajua ndio maana anamkwepa kiduku, yeye ile kushinda kule Uingereza ni zali la mtende na ndio kilichomuibua, hii ipo saana kwenye michezo tofauti hadi kwenye mziki kina J.I walibahatisha kidato kimoja kisha kimyaaa, ili uonekane bora inabidi uwe unagonga saana vitu vya maana, yeye mwakinyo kilichompa mpunga ni ile bahat ya Uingereza na ndio anatembea nayo, ila uwezo wake akikutana na kiduku yoyote anawezq poteza na hiki ndio anakikwepa akipigwa na kiduku basi kampa shavu kiduku nae ndio anaweza kuanza kuporomoka.

Katika ndondi kadri unavyofanya vizuri ndio mpunga unaingiza, alivymbahatisha yule mzungu ndio kaanza kula mpunga so anamuogopa kiduku anaweza akaanza kukosa mashavu ikitokea kachezea kipigo.
Twaha Kiduku lazma amdunde tu kwa hasira😂
 
Sijaisikia ishu ya afande, hebu nipasie niweke mzani sawa, ila katika watu wa kupuuza basi mmoja wapo ni afande sele, kawa chizi mnoo, mtu akishaanza kujiona anajua saana badi ndio kaanza ujinga hapo.
 

Attachments

  • Kiukweli mimi ni binadamu pia nimecheka labda anibahatishe na kifo hiko iwe ni siku Yangu tu i...mp4
    3.5 MB
Huyo mtoto anti mwakinyo anaongea pumba gani kutaka kujifanya kama sio mmbongo!

Mshamba sana dogo, yani amepata umaarufu na kaela kidogo anawaona wenzie wa local wakati alikuwa anapigana na matairi ya magari hapo michungwani!
 
Huyo mtoto anti mwakinyo anaongea pumba gani kutaka kujifanya kama sio mmbongo!

Mshamba sana dogo, yani amepata umaarufu na kaela kidogo anawaona wenzie wa local wakati alikuwa anapigana na matairi ya magari hapo michungwani!
sitahdi ufike level zile hakuna ambaye hakuanzia chini , hata bill gates leo na kina jack ma wameanzia chini ndo maana wako pale ila washapta wanachofanya mpaka vitabu vyao mnanunua kuwasoma mbona hamuachi kununua kwa vile walikuwa wa mchangani

mwakinyo ameshafika juu wacha aongee anachotaka wivu mbaya sana
 
Hivi mwakinyo anajikutaga nani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]...


Bwana Bendera Chuma mlingoti Chuma Show Show
 
Njia aliyopitia mpaka kuwa maarufu ndio imemfanya aandike hvyo.
 
Bondia Hassan Mwakinyo ametoa kauli ambayo ni wazi inaonyesha anarusha ‘dongo’ sehemu.

Wale mnaojua someni hapa kisha muone kijembe hiki kinamuhusu nani?

“Bongo bwana Boxer unajulikana mikoa 5 tu Tanzania umeshaanza kuvimba mabega!! Eti unajiona kila mtu Una muweza ikipigwa hesabu yako tangu. Uanze ngumi hujashika hata milion 10 mapambano yako milion 3. Milion 5 Gademn🤑🤑 kazeni nanyi mlipwe dolar,” – Hassan Mwakinyo.

View attachment 2171511
Sasa huyu jamaa anatesekaje kwa mafanikio ya kiduku?? Watu wa pwani shida sana
 
Kwa mtu muungwana hakutakiwa kuandika maneno hayo.Uwezo na njia za kumfikisha hapo hajajipa yeye kapewa na Mungu alitakiwa wape changamoto za kupambana zaidi lakini siyo kuwarushia madongo.Nani ajuaye kesho? Mwakinyo mwenyewe anaweza kujikuta kesho hawezi kupigana Tena halafu aliwadharau wakapanda zaidi yake.
 
Back
Top Bottom