Bondia Hassan Mwakinyo arusha jiwe gizani, aponda mabondia wanaolipwa Sh milioni 5

Hata kama afande sele ndie alieanzisha,ilibidi aongee kispoti kwamba yuko tayari kupigana na twaha at any place and any time,hii mipasho inaonyesha ni jinsi gani hataki kupigana na mabondia wa kitanzania
Fuatilia interviews za mabondia dunuani utakuja gundua Mwakinyo anaongea kistaarabu sana.
 
Binafsi mimi nilikiwa shabiki wake na kama tungepiga kura basi ningepiga asipigane na kiduku.

Kauli hii unadhani kapoteza mashabiki wangapi, unadhani bila mashabiki unapata matangazo ya kibiashara. Masupastaa wangapi wamefelishwa na kauli za hovyo?
Thamani ya alichokiongea Mwakinyo utaiona siku likiandaliwa pambano.
 
Acha tantalila,bondia wa kweli uwa hana mipasho,kama bondia anataka tuweke mnaweka ndio msemo wa mabondia weka tuweke,mwakinyo kama anajiamini apigane na twaha au mfaume kama hataki akae kimya sio kuongea shombo,mpiganaji achagui wa kupigana nae
Hizi ngumi za kama wewe mwanaume kweli puma wanapigana sana Masela wa Manzese.
 
Mwakinyo yupo sahihi kutopigana na Kiduku, inabidii ajikite kwenye mapambano huko huko nje ili azidi kujijenga zaidi.
 
its all about the money n legacy..
 
Mwakinyo kasema ukweli ifahamike hivyo na ndio hivyo. Twaha kama anajua ngumi atoke nje ya Tanzania akapigane hata game 3 kwa kuanzia
 
Hata hiyo dollar 10,000 kwa kazi ya kupigana inayohatarisha afya mbona hela mbuzi tu?

Mimi natengeneza zaidi ya hiyo, kila mwezi, bila kupigana.

Kila mtemi ana mtemi wake.
Mkuu na ww hauko nyuma ,umekuja kutuvimbia [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Watu wengi wanajua mwakinyo anamkimbia twaha tu,but kiukweli mwakinyo anamkimbia mfaume mfaume na dogo m1 anaitwa ibrahim maonwa,mwaki hataki kuwasikia hao watu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] wana balaa eeh
 
Binafsi namkubali mwakinyo...
 
Mdigo wa uko Digo jirihini kwa misifa hao watu wahaya watasubiri kdgo
 
Acha tantalila,bondia wa kweli uwa hana mipasho,kama bondia anataka tuweke mnaweka ndio msemo wa mabondia weka tuweke,mwakinyo kama anajiamini apigane na twaha au mfaume kama hataki akae kimya sio kuongea shombo,mpiganaji achagui wa kupigana nae
Unazungumzia ugomvi au boxing?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…