Bondia Mwakinyo hajui anachosimamia! Amegeuka Tena.

Bondia Mwakinyo hajui anachosimamia! Amegeuka Tena.

Unaona ulivyo vurugwa.

Wewe Kwa akili yako ndogo tuu! Wanaingia pale kwenye kutazama hii michezo ya masumbwi wanafikisha hiyo pesa, hata wanaodhamini matangazo wakati onyesho linaendelea unafikiri ndio itamfanya yeye apewe hizo 100m?

Tatizo Lenu mnadhani bongo ni Ulaya!

Hata nikikuuliza wewe ulishawahi kuingia na kulipia ticket uangalie hayo masumbwi si ajabu hujawahi na huna mpango!

Mchezo wa masumbwi upo chini Sana Kwa wafuasi, sanasana wakilipwa pesa kubwa ni milioni 15
Mwambie twaha afanye kiingirio laki moja kama watakuja watu
 
Unaona ulivyo vurugwa.

Wewe Kwa akili yako ndogo tuu! Wanaingia pale kwenye kutazama hii michezo ya masumbwi wanafikisha hiyo pesa, hata wanaodhamini matangazo wakati onyesho linaendelea unafikiri ndio itamfanya yeye apewe hizo 100m?

Tatizo Lenu mnadhani bongo ni Ulaya!

Hata nikikuuliza wewe ulishawahi kuingia na kulipia ticket uangalie hayo masumbwi si ajabu hujawahi na huna mpango!

Mchezo wa masumbwi upo chini Sana Kwa wafuasi, sanasana wakilipwa pesa kubwa ni milioni 15
Azam tv huwa anatoa ngapi?
 
mnamchokoza akiwajibu ndio mnasema anadharau hebu acheni uzwazwa,kwa hadhi yake apigane na nani tanzania ni sawa umpambanishe diomond na harmonize
So mabondia wa nchi kama marekani (kwa mfano) hawapigani na wenzao wa marekani?.
 
mnamchokoza akiwajibu ndio mnasema anadharau hebu acheni uzwazwa,kwa hadhi yake apigane na nani tanzania ni sawa umpambanishe diomond na harmonize
Unaonekana huna nia nae njema ikiwa utaupinga ushauri huu kwa sababu kuhusu umasikini Mwakinyo hana hela hata inayofika nusu ya pesa ya Kijana kama Samagoal kwa hyo acheni nyege zenu pigeni kazi sio kuleta mipasho ya Kishoga aje Kwanza Moro au sie tuje tuchapane watu tuelekeze game mbele tumechelewa sana hatustahili kuwa na bondia asie mzalendo kama hyo Msambaa

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Mwakinyo aliamka tu asubuhi akaanza kudharau mikanda na hela ndogo? Au kuna kitu alifanywa mpaka akaongea yote hayo.?? Nyie watu mnao ona makosa ya watu jaribuni kuangalia chanzo cha hayo mambo pia. Unajua afande sele alichosema kuhusu mwakinyo na watu wa tanga kwa ujumla baada ya pambano la twaha kiduku ???? Au unaropoka tu kutoa ushauri kwa mwakinyo bila kujua chanzo....? ???? Hizi ni mbinu chafu za vijana wenye bundle kujifanya wajuvi wa mambo ya watu bila kuangalia source na baadae kutoa huku bila kubalance stories......

Pua ......pua.....pua.....pua........
Weka hadharani afande alisema nn?

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Hata Diamond platinum alijipa dhamani ndo akawa kama alivo saivi kwa makwinyo simlaumu na huo ushauri wako ningemshauli asiuchukue maana una dalili za kumfanya awe cheap
 
Unaonekana huna nia nae njema ikiwa utaupinga ushauri huu kwa sababu kuhusu umasikini Mwakinyo hana hela hata inayofika nusu ya pesa ya Kijana kama Samagoal kwa hyo acheni nyege zenu pigeni kazi sio kuleta mipasho ya Kishoga aje Kwanza Moro au sie tuje tuchapane watu tuelekeze game mbele tumechelewa sana hatustahili kuwa na bondia asie mzalendo kama hyo Msambaa

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Waluguru sifa yao ubishi na uchawi tu
 
Hata Diamond platinum alijipa dhamani ndo akawa kama alivo saivi kwa makwinyo simlaumu na huo ushauri wako ningemshauli asiuchukue maana una dalili za kumfanya awe cheap
Diaomond alijitangaza bila hela kiasi kadhaa hafanyi show ndio maana mpaka leo tajiri,hao mabondia wajinga waache wapiganie carina za milion2 huku haki zao wanazikosa
 
Nilishangaa jamaa alipokataa millioni 50 kwamba adhahi yake ni Millioni 100 huo mkanda sijui ataupatia wapi tena
 
Nilishangaa jamaa alipokataa millioni 50 kwamba adhahi yake ni Millioni 100 huo mkanda sijui ataupatia wapi tena
Hiyo ndiyo misimamo huwezi kupewa hela ya mbuzi ikiwa hadhi yako kubwa
 
Hata Diamond platinum alijipa dhamani ndo akawa kama alivo saivi kwa makwinyo simlaumu na huo ushauri wako ningemshauli asiuchukue maana una dalili za kumfanya awe cheap

Diamond ni baada ya kulitumikia taifa Kwa miaka zaidi ya Saba ndipo akajipa hiyo thamani!
Hata hivyo Diamond tayari alikuta Game iko pazuri kidogo.

Diamond wa 2008-2015 alikuwa ni mtumishi tuu wa kuhakikisha anaijenga Tasnia,
Baada ya hapo ndipo akaanza kuji-value ingawaje naye hapaswi kupuuza mambo ya ndani ya nchi yake
 
Mimi sioni shida, hapigani kufurahisha watu anapigana akiona maslahi yapo yanayomfaa.
Ukiendekeza kufurahisha watu utapigana mpaka unazeeka huna kitu cha maana. Anajivalue ndio maana hapigani kila pambano.
Hata Diamond Show kibao za nchini hapigi maana mpunga hautoshi. Kila mtu anakula urefu wa kamba yake.
 
Yaani kuna watu wanashangaza mno!

Kwa bongo Bondia kupewa Crown ni zawadi kubwa mno.
Crown bei yake ikiwa mpya zinaanzia 12m kulingana na mwaka.

Na hiyo ni usiku mmoja tuu!

Mabondia wengi hupewa posho tuu! Wengine milioni 2, wengine laki tano, wengine laki 2 basi ilimradi.

Mchezo bado upo chini alafu unataka maslahi makuubwa Kama mtu usiyeelewa biashara. Usiyeelewa nchi yako ipoje bhana
Usiku mmoja tena kwa dk 30
 
Mimi sioni shida, hapigani kufurahisha watu anapigana akiona maslahi yapo yanayomfaa.
Ukiendekeza kufurahisha watu utapigana mpaka unazeeka huna kitu cha maana. Anajivalue ndio maana hapigani kila pambano.
Hata Diamond Show kibao za nchini hapigi maana mpunga hautoshi. Kila mtu anakula urefu wa kamba yake.
Lakini Diamond hajawahi kubeza wanaofanya show za ndani📌
 
Back
Top Bottom