Bondia Mwakinyo hajui anachosimamia! Amegeuka Tena.

Bondia Mwakinyo hajui anachosimamia! Amegeuka Tena.

Lakini Diamond hajawahi kubeza wanaofanya show za ndani📌
Hujawahi sikiliza interviews zake anasema asilinganishwe na wasanii wa hapa ndani na hizo tuzo ndoaana hashiriki. Haima tofauti na mwakinyo hataki pigana na mabondia wa haa ambao hawajafika level zake na mpunga haba.
Hata angekuwa mimi, watu wanapigana kwa maslahi wakati wananchi wanataka tu mtu apigane tu kama ugomvi wa mtaani.
Mimi nilimwelewa niliposikiliza interview yake aliyofanya na salama.
Alisema unakuta bondia anataka kupigana naye hana kitu cha kupoteza, hata akimdunda hakuna cha zaidi atakachopata ila yeye akidundwa atapoteza zaidi.
Akasema basi kwanza mtu naye atafute apate kitu ndo waje wapigane ili akimdunda apate kitu akidundwa apoteze kitu.
 
Unajua ngumi ikitua inatua mwilini mwake acha kujiona mshauri acha atake kiasi atakacho sababu ngumi hazina of side

🤣🤣🤣

Hakuna aliyemtuma apigane, Sisi ndio tunampa pesa
Lazima afuate tunachokitaka
 
mnamchokoza akiwajibu ndio mnasema anadharau hebu acheni uzwazwa,kwa hadhi yake apigane na nani tanzania ni sawa umpambanishe diomond na harmonize
Hicho anachojidai hadhi muda si mrefu kitakuwa hedhi.
 
ACHENI ATAMBE KWANI KUNA MTU AU TAASISI ILICHANGIA MAFANIKIO YAKE?? YANI MTU ANAJIVUNIA VYAKE WANAOUMIA WENYE HUSUDA.

KAMA HUYI TWAHA ANAJIWEZA KWANINI ASIPAMBANE KWANZA AFIKE PALE JUU WAKUTANE???
 
.

Mwakinyo kujishaua na kukataa baadhi ya mapambano ndani ya nchi yake ni Dalili ya kuonyesha hayupo Sirius, na haijui nchi yake, na hajui vizuri watu wa nchi yake.
Hayupo sirius au siyo?
 
Tatizo watanzania ni wabishi sana....

Acha tujipe muda..,, Wakati utasema kuwa ulishauri sahihi au Mwakinyo alikuwa sahihi..

Tujipe miaka mitatu tu mbele kama pilot.
 
Sema Sasa mtu unayemshauri sijui kama anaweza kufika hili jukwaa na sijui kama anauwezo wakusoma aya zote ulizoandika akaelewa naimani akisoma Aya ya kwanza akifika Aya ya tatu anasahau juu uliandika nini kwaiyo msamehe

Tupeleke watoto shule wapate uelewa japo kipaji kipo, tunaona vijana wanaobahatika kupata umarufu bila kuwa na elimu wanavyokengeuka na umarufu at the end maneno yao yanawacost wanarudi walipotoka
Hujasikia Nape Mnauye kasemaje kuhusu kutumia helicopter kuangalia vibao vya anwani za makazi? Si ni msomi tena waziri kabisa?
 
Hujasikia Nape Mnauye kasemaje kuhusu kutumia helicopter kuangalia vibao vya anwani za makazi? Si ni msomi tena waziri kabisa?
Kauli yake imenisikitisha sana aisee. Hakuna cha uzalendo hata mimi nikipata mwanya napga tu maana wao wanatumbua pesa ya nchi nawe ukipata tumbua tu
 
Hata Diamond alivyotangaza Hapigi show Hadi alipwe milion 10 watu wengi walimbeza ila Hadi leo humpanishi Diamond jukwaani kwa vimilion 10.


Kila mtu ana namma Yake ya kujibrand Kama unaona mwakinyo anakosea kukataa hayo mapambano hujakatazwa kuvaa gloves ukapambane uzichukue hizo hela

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Natabiri:Mwakinyo atakuja kupotea hata hatutajua kafariki au kahama nchi
 
Lazima mkubali mwakinyo level zake sio crown!! wapeni hizo dili kina Mandonga!
Watu wa Tanga nawajua vizuri hivyo sishangai, labda angekuwa mwengine pengine ningejaribu kumuelewa ila sio kwa huyo jamaa.
 
Hata Diamond alivyotangaza Hapigi show Hadi alipwe milion 10 watu wengi walimbeza ila Hadi leo humpanishi Diamond jukwaani kwa vimilion 10.


Kila mtu ana namma Yake ya kujibrand Kama unaona mwakinyo anakosea kukataa hayo mapambano hujakatazwa kuvaa gloves ukapambane uzichukue hizo hela

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Kama anaona hiyo hela ipo na inawezekana kama ambavyo ilivyo kwenye Bongo fleva basi sawa akomae nae.
 
Go champ mwakinyo.....
Uzuri aliweka wazi hakuna aliyemjua, njia alizopita mpaka anaenda kumpiga Sam pale kwa malkia.
Kwa hiyo wasimpangie, na hataki unafki wetu wabongo...
Wanafki ni hawa hapa wameanza kujitokeza.
Yeye kajipa Value yake, anajijua na anaujua mchezo wa ngumi.
Ni sehemu ya kurisk maisha pia, sio mchezo kama bao kwamba ni burudani tu.
Anacheza mchezo ambao mwili wake ( zingatia hili mwili wake) utakuwa subjected to maumivu na pengine more than maumivu, unaweza kufa pia.

Asa kwanini tunamlazimisha mtu apitie hayo kwa vipimo vyetu sisi, kwamba kwake kupitia hayo ni sawa kwa tsh million 40.
Aliwadunda watu akachukua mikanda ( Huu ni uwezo) ameporwa mkanda sababu hawezi pigana kwa chini ya million 90 ( Anajipa thamani). Kwa kukubali kuachia mkanda hakuna promota atamfuata mwakinyo na hela mbuzi tena.
Huwezi ukaendelea kumuita maskini mtu ambaye anapata ofa za million 40 na anazipiga chini.
Mwacheni mwakinyo aamue anavyoona msimpangie, ni career yake na ana mashabiki wake.
Hongera Champez....
waulize kilicho mkuta kijana mdogo kabisa wa matumla baada ya kupigwa na kupoteza fahamu, na akashauliwa asicheze tena huo mchezo. na ndoto zake ktk huo mchezo zikaishia hpoooo...

Diamond kwa mara ya kwanza alishauliwa na marehmu ruge asifanye onyesho kwa kipindi fulani na akirejea aje kufanya show ya kiingilio cha maana pale mlimani na ikawa safari ya mabadiliko...

kila mtu anavyo angalia wapi afike... mfatilie mwakinyo ROBERT HERIEL ukiweza tafuta interview yake na salama utapata kitu hasa ukimfatilia kwa makini ktk hayo maojiano...

leo kaenda kuweka kambi pale US, unazani sababu ni nini? mabondia wengi wa nigeria, drc, nchi za kiarab hata amerika ya kusini huwa wana ondoka ktk nchi zao kwenda ktk nchi zilizo imarika ktk mchezo wa ngumi?

pia usisahau kuwa mchezo wa ngumi majigambo ndio sehemu ya mchezo wenyewe, na hasa kuongeza thamani ya mchezo na kuvutia wawekezaji kuweka pesa...

piganeni au pigeni kelele serikali iweke pesa kuboresha au kuweka mazingira mazuri ktk michezo mbalimbali ili vijana wenu waje wanufaike...


JARIBU KUPITIA MAKALA YA EDO KUMWEMBE LABDA UNA WEZA ONGEZA KITU KATIKA HILI... TAFUTA NA MAKALA ALIYO ANDIKA AKIWA NA YANGA KULE NIGERIA UTAPATA KUONGEZA KITU KICHWANI, VITAKUJA KUKUSAIDIA HATA BAADAE
 
Back
Top Bottom