Bondia Mwakinyo hajui anachosimamia! Amegeuka Tena.

Bondia Mwakinyo hajui anachosimamia! Amegeuka Tena.

Kaamua kuchagua njia yake,basi apite anapoona inafaa naamini management yake inaona vizuri...
 
Wadigo kwa kuwa sii kabila kubwa sana hapa bongo na kwakuwa sijawahi kuishi Tanga, nilikuwa nawasikia redioni kuhusu majivuno na ujuaji kuwa mhaya anasubiri, siku nilipokuja kupata jirani mdigo ndio nikawajua hawa mabwana
 
Kasemaje?
Kasema eti yeye kutumia chopper kwenye ukaguzi wa maendeleo ya mradi wa anwani za makazi imewafanya watu wamseme saaaana! " Hii helicopter inatoa mungurumo ambao unasaidia kuwaamsha watu waliolala ili waamke wakachape kazi" Nape Mnauye (MB) Waziri wa Habari
 
Kasema eti yeye kutumia chopper kwenye ukaguzi wa maendeleo ya mradi wa anwani za makazi imewafanya watu wamseme saaaana! " Hii helicopter inatoa mungurumo ambao unasaidia kuwaamsha watu waliolala ili waamke wakachape kazi" Nape Mnauye (MB) Waziri wa Habari
Mwana siasa uyo muache
 
Yaani kuna watu wanashangaza mno!

Kwa bongo Bondia kupewa Crown ni zawadi kubwa mno.
Crown bei yake ikiwa mpya zinaanzia 12m kulingana na mwaka.

Na hiyo ni usiku mmoja tuu!

Mabondia wengi hupewa posho tuu! Wengine milioni 2, wengine laki tano, wengine laki 2 basi ilimradi.

Mchezo bado upo chini alafu unataka maslahi makuubwa Kama mtu usiyeelewa biashara. Usiyeelewa nchi yako ipoje bhana
Mkuu Mimi nacheza mchezo wa ngum uku mbeya uwa nashilik had kombe la mbuz ili2 nikuze jina!! asa jamaa naona nyodo nyinyi u Star umemlevya
 
Huyu jamaa mdomo wake unanuka..anachokitoa mdomoni ndo kinachotoka kichwani. Maana yake kichwa kimeoza
 
Habari Wakuu!

Mwakinyoni mpiganaji mzuri lakini moja ya udhaifu wake ni majivuno ambayo hayana manaa yoyote kwenye kazi yake. Kwenye masumbwi yapo majivuno yenye maana katika ubondia lakini Kwa mwakinyo majivuno yake nayaona Kama hayana maana kwani hayamsaidii lolote.

Siku za nyuma Mwakinyo aliwahi kuponda mabondia wenzake akimlenga zaidi Twaha kiduku, Kwa kupigana kisa Gari Aina ya Crown, alisema yeye ni mpiganaji Mkubwa wakimataifa ambaye anapigana kupata mikanda na sio vizawadi mshenzi Kama vigari.
Alijitamba kuwa yeye anamagari mengi na mazuri hiyo hana uhitaji tena wa magari.


Nilimuelewa lakini kama ningeambiwa nimshauri ningemshauri vinginevyo!


Mwakinyo katoka Familia Masikini,
Mwakinyo yupo nchi Masikini!
Mwakinyo yupo kwenye Fani ambayo bado ipo chini na bado inaumasikini Mkubwa wa wafuasi.

Mwakinyo kujishaua na kukataa baadhi ya mapambano ndani ya nchi yake ni Dalili ya kuonyesha hayupo Sirius, na haijui nchi yake, na hajui vizuri watu wa nchi yake.

Hapa Tanzania Sanaa na mchezo wenye wafuasi wengi ni Muziki wa bongo Fleva, Hiphop kidogo na Muziki wa injili.
Mpira nao unawafuasi wengi hasa kwenye timu ya Simba, Yanga, na Azam.

Mchezo wa Masumbwi hauna wafuasi wengi hapa nchini kumaanisha bado sio biashara nzuri Kwa wawekezaji. Hilo lazima mwakinyo alijue.

Kama angekuwa analijua hilo asingejifanya kutaka dau kubwa lisiloendana na uhalisia wa Biashara ya mchezo wa Masumbwi hapa nchini.


Unataka milioni 100 wakati Pambano likiitishwa watu watakaoingia hawafikishi hiyo milioni Mia moja unategemea nini hapo.

Mwakinyo aache kujilinganisha na mabondia wa nchi za nje zilizojijenga katika mchezo huo.

Ni Sawa na Mchezaji wa mpira wa Tanzania achezaye Simba au Yanga stake kulipwa Sawa na mchezaji wa Mpira wa Mamelody ya Afrika Kusini. Hiyo ataonekana hamnazo!

Sasa Mwakinyo amegeuke tena! Anasema Mkanda ni zawadi tuu haumuongezee chochote, baada ya kunyang'anywa, anachotaka ni pesa. Inashangaza Sana.

Mwakinyo ninakushauri, jua umetoka familia Masikini, upo nchi Masikini, na upo kwenye mchezo wenye umasikini WA wafuasi.
Kiufupi wewe na wenzako bado mnajenga msingi wa mchezo wa masumbwi hivyo msitarajie makuuubwa Sana kama wenzenu wa BongoFleva!

Lazima muongeze wafuasi katika mchezo wenu huo ili ifikie hatua Pambano likitangazwa basi uwanja wa taifa unajaa au nusu ya uwanja kukaa!

Embu jiulize Mwakinyo, hivi Pambano lako likitangazwa unauwezo wa kujaza uwanja wa taifa au nusu yake?
Au hata vile viwanja vya mpira vya jamhuri Kama Morogoro, CCM kirumba ya Mwanza, au Sokoine ya Mbeya?

Jina linaweza kuwa kubwa lakini lisiwe biashara yenye faida kubwa!

Mfano, Sanaa ya stand comedy ndio Kwanza ni changa, inavijana wadogo Masikini, kwenye nchi Masikini, yenye umasikini WA wafuasi bao ndio wateja.
Kijana Kama Coy Mzungu ajifanye anataka malipo makubwa ilhali hana wafuasi wengi wanaoweza kutoa pesa kupata Huduma yake.
Ndio maana Coy yeye anapambana kuhakikisha anajenga msingi na kuimarisha wapenzi wa Sanaa hiyo.

Mwakinyo anawadharau Vijana wenzake wanaopigana mapambano mpaka ya Mbuzi asijue wenzake ndio wanajenga msingi wa mchezo wao ndani ya nchi.

Hawawezi kujidanganya kuwa wao ni Masikini Kama ulivyo wewe, wengi wenu elimu zenu ni duni katika nchi Masikini, mchezo wenu bado haujakubalika kivile ndani ya jamii hivyo ni jukumu Lenu kuifanya jamii iukubali. Na sio kulilia maslahi!

Mwisho, Mwakinyo unapaswa ujifunze pia Mazingira zaidi ya mchezo wenu, wafuasi wako, sio uishie kujifunza Kucheza Ringi pekeake!

Kuwa kama Diamond, hajaishia kujikita kwenye kuimba tuu studio na Jukwaani Bali amejifunza Mazingira ya nchi yetu, watu wake wakoje na wanapenda nini hasa Vijana, ambao ndio wateja wake.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Hataki kupigwa yeye anataka awe bingwa sasa ache aisome namba ya msoto
 
Habari Wakuu!

Mwakinyoni mpiganaji mzuri lakini moja ya udhaifu wake ni majivuno ambayo hayana manaa yoyote kwenye kazi yake. Kwenye masumbwi yapo majivuno yenye maana katika ubondia lakini Kwa mwakinyo majivuno yake nayaona Kama hayana maana kwani hayamsaidii lolote.

Siku za nyuma Mwakinyo aliwahi kuponda mabondia wenzake akimlenga zaidi Twaha kiduku, Kwa kupigana kisa Gari Aina ya Crown, alisema yeye ni mpiganaji Mkubwa wakimataifa ambaye anapigana kupata mikanda na sio vizawadi mshenzi Kama vigari.
Alijitamba kuwa yeye anamagari mengi na mazuri hiyo hana uhitaji tena wa magari.


Nilimuelewa lakini kama ningeambiwa nimshauri ningemshauri vinginevyo!


Mwakinyo katoka Familia Masikini,
Mwakinyo yupo nchi Masikini!
Mwakinyo yupo kwenye Fani ambayo bado ipo chini na bado inaumasikini Mkubwa wa wafuasi.

Mwakinyo kujishaua na kukataa baadhi ya mapambano ndani ya nchi yake ni Dalili ya kuonyesha hayupo Sirius, na haijui nchi yake, na hajui vizuri watu wa nchi yake.

Hapa Tanzania Sanaa na mchezo wenye wafuasi wengi ni Muziki wa bongo Fleva, Hiphop kidogo na Muziki wa injili.
Mpira nao unawafuasi wengi hasa kwenye timu ya Simba, Yanga, na Azam.

Mchezo wa Masumbwi hauna wafuasi wengi hapa nchini kumaanisha bado sio biashara nzuri Kwa wawekezaji. Hilo lazima mwakinyo alijue.

Kama angekuwa analijua hilo asingejifanya kutaka dau kubwa lisiloendana na uhalisia wa Biashara ya mchezo wa Masumbwi hapa nchini.


Unataka milioni 100 wakati Pambano likiitishwa watu watakaoingia hawafikishi hiyo milioni Mia moja unategemea nini hapo.

Mwakinyo aache kujilinganisha na mabondia wa nchi za nje zilizojijenga katika mchezo huo.

Ni Sawa na Mchezaji wa mpira wa Tanzania achezaye Simba au Yanga stake kulipwa Sawa na mchezaji wa Mpira wa Mamelody ya Afrika Kusini. Hiyo ataonekana hamnazo!

Sasa Mwakinyo amegeuke tena! Anasema Mkanda ni zawadi tuu haumuongezee chochote, baada ya kunyang'anywa, anachotaka ni pesa. Inashangaza Sana.

Mwakinyo ninakushauri, jua umetoka familia Masikini, upo nchi Masikini, na upo kwenye mchezo wenye umasikini WA wafuasi.
Kiufupi wewe na wenzako bado mnajenga msingi wa mchezo wa masumbwi hivyo msitarajie makuuubwa Sana kama wenzenu wa BongoFleva!

Lazima muongeze wafuasi katika mchezo wenu huo ili ifikie hatua Pambano likitangazwa basi uwanja wa taifa unajaa au nusu ya uwanja kukaa!

Embu jiulize Mwakinyo, hivi Pambano lako likitangazwa unauwezo wa kujaza uwanja wa taifa au nusu yake?
Au hata vile viwanja vya mpira vya jamhuri Kama Morogoro, CCM kirumba ya Mwanza, au Sokoine ya Mbeya?

Jina linaweza kuwa kubwa lakini lisiwe biashara yenye faida kubwa!

Mfano, Sanaa ya stand comedy ndio Kwanza ni changa, inavijana wadogo Masikini, kwenye nchi Masikini, yenye umasikini WA wafuasi bao ndio wateja.
Kijana Kama Coy Mzungu ajifanye anataka malipo makubwa ilhali hana wafuasi wengi wanaoweza kutoa pesa kupata Huduma yake.
Ndio maana Coy yeye anapambana kuhakikisha anajenga msingi na kuimarisha wapenzi wa Sanaa hiyo.

Mwakinyo anawadharau Vijana wenzake wanaopigana mapambano mpaka ya Mbuzi asijue wenzake ndio wanajenga msingi wa mchezo wao ndani ya nchi.

Hawawezi kujidanganya kuwa wao ni Masikini Kama ulivyo wewe, wengi wenu elimu zenu ni duni katika nchi Masikini, mchezo wenu bado haujakubalika kivile ndani ya jamii hivyo ni jukumu Lenu kuifanya jamii iukubali. Na sio kulilia maslahi!

Mwisho, Mwakinyo unapaswa ujifunze pia Mazingira zaidi ya mchezo wenu, wafuasi wako, sio uishie kujifunza Kucheza Ringi pekeake!

Kuwa kama Diamond, hajaishia kujikita kwenye kuimba tuu studio na Jukwaani Bali amejifunza Mazingira ya nchi yetu, watu wake wakoje na wanapenda nini hasa Vijana, ambao ndio wateja wake.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Umeachieve kitu gani kwenye maisha yako mpaka ujipe cheo Cha ushauli juu ya Mambo binafsi ya mwakinyo?

Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
 
mi naona mwakinyo yuko sahh na anajitambua.haiwezekani eti upigane ukigombania mbuz,au gari ,we can't be serious.nani ataidhamini tashinia ya masumbwi Kama sio mabondia wenyewe!!? kwann mziki mtu alipwe pesa kibao ,na kwa nn isiwe masumbwi !!? Kama tutaendelea kugombania mapambano ya mbuz ,vigari basi masumbwi utaendelea kuwa ni mchezo usiodhaminiwa na uonekane ni mchezo wa kupotezea muda na sio kazi !!! Mwakinyo big up!!

Hata USA wasingeudhamini huu mchezo Basi mpaka Leo nao wangekuwa wakigombania mbuz,na vigari!! Don't expect people from abroad com and change our mentality abt boxing game ,it's ourself .we have to value it, respect it ,and make it payable ,even more than music !!
 
Habari Wakuu!

Mwakinyoni mpiganaji mzuri lakini moja ya udhaifu wake ni majivuno ambayo hayana manaa yoyote kwenye kazi yake. Kwenye masumbwi yapo majivuno yenye maana katika ubondia lakini Kwa mwakinyo majivuno yake nayaona Kama hayana maana kwani hayamsaidii lolote.

Siku za nyuma Mwakinyo aliwahi kuponda mabondia wenzake akimlenga zaidi Twaha kiduku, Kwa kupigana kisa Gari Aina ya Crown, alisema yeye ni mpiganaji Mkubwa wakimataifa ambaye anapigana kupata mikanda na sio vizawadi mshenzi Kama vigari.
Alijitamba kuwa yeye anamagari mengi na mazuri hiyo hana uhitaji tena wa magari.


Nilimuelewa lakini kama ningeambiwa nimshauri ningemshauri vinginevyo!


Mwakinyo katoka Familia Masikini,
Mwakinyo yupo nchi Masikini!
Mwakinyo yupo kwenye Fani ambayo bado ipo chini na bado inaumasikini Mkubwa wa wafuasi.

Mwakinyo kujishaua na kukataa baadhi ya mapambano ndani ya nchi yake ni Dalili ya kuonyesha hayupo Sirius, na haijui nchi yake, na hajui vizuri watu wa nchi yake.

Hapa Tanzania Sanaa na mchezo wenye wafuasi wengi ni Muziki wa bongo Fleva, Hiphop kidogo na Muziki wa injili.
Mpira nao unawafuasi wengi hasa kwenye timu ya Simba, Yanga, na Azam.

Mchezo wa Masumbwi hauna wafuasi wengi hapa nchini kumaanisha bado sio biashara nzuri Kwa wawekezaji. Hilo lazima mwakinyo alijue.

Kama angekuwa analijua hilo asingejifanya kutaka dau kubwa lisiloendana na uhalisia wa Biashara ya mchezo wa Masumbwi hapa nchini.


Unataka milioni 100 wakati Pambano likiitishwa watu watakaoingia hawafikishi hiyo milioni Mia moja unategemea nini hapo.

Mwakinyo aache kujilinganisha na mabondia wa nchi za nje zilizojijenga katika mchezo huo.

Ni Sawa na Mchezaji wa mpira wa Tanzania achezaye Simba au Yanga stake kulipwa Sawa na mchezaji wa Mpira wa Mamelody ya Afrika Kusini. Hiyo ataonekana hamnazo!

Sasa Mwakinyo amegeuke tena! Anasema Mkanda ni zawadi tuu haumuongezee chochote, baada ya kunyang'anywa, anachotaka ni pesa. Inashangaza Sana.

Mwakinyo ninakushauri, jua umetoka familia Masikini, upo nchi Masikini, na upo kwenye mchezo wenye umasikini WA wafuasi.
Kiufupi wewe na wenzako bado mnajenga msingi wa mchezo wa masumbwi hivyo msitarajie makuuubwa Sana kama wenzenu wa BongoFleva!

Lazima muongeze wafuasi katika mchezo wenu huo ili ifikie hatua Pambano likitangazwa basi uwanja wa taifa unajaa au nusu ya uwanja kukaa!

Embu jiulize Mwakinyo, hivi Pambano lako likitangazwa unauwezo wa kujaza uwanja wa taifa au nusu yake?
Au hata vile viwanja vya mpira vya jamhuri Kama Morogoro, CCM kirumba ya Mwanza, au Sokoine ya Mbeya?

Jina linaweza kuwa kubwa lakini lisiwe biashara yenye faida kubwa!

Mfano, Sanaa ya stand comedy ndio Kwanza ni changa, inavijana wadogo Masikini, kwenye nchi Masikini, yenye umasikini WA wafuasi bao ndio wateja.
Kijana Kama Coy Mzungu ajifanye anataka malipo makubwa ilhali hana wafuasi wengi wanaoweza kutoa pesa kupata Huduma yake.
Ndio maana Coy yeye anapambana kuhakikisha anajenga msingi na kuimarisha wapenzi wa Sanaa hiyo.

Mwakinyo anawadharau Vijana wenzake wanaopigana mapambano mpaka ya Mbuzi asijue wenzake ndio wanajenga msingi wa mchezo wao ndani ya nchi.

Hawawezi kujidanganya kuwa wao ni Masikini Kama ulivyo wewe, wengi wenu elimu zenu ni duni katika nchi Masikini, mchezo wenu bado haujakubalika kivile ndani ya jamii hivyo ni jukumu Lenu kuifanya jamii iukubali. Na sio kulilia maslahi!

Mwisho, Mwakinyo unapaswa ujifunze pia Mazingira zaidi ya mchezo wenu, wafuasi wako, sio uishie kujifunza Kucheza Ringi pekeake!

Kuwa kama Diamond, hajaishia kujikita kwenye kuimba tuu studio na Jukwaani Bali amejifunza Mazingira ya nchi yetu, watu wake wakoje na wanapenda nini hasa Vijana, ambao ndio wateja wake.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam


Umemaliza kila kitu.

Sina cha kuongeza tofauti na kuunga mkono ushauri huu
 
Hata diamond wakati anasema hataki show chini ya milion 10 tulimuoja wa ajabu kweli,kipindi mastar kina dully sykes,TID,Mr. Blue wanafanya show chini ya milion 1,ktk maisha kila mtu anavision yake kulngana na anavyojitazama,tusimkatishe tamaa,unajisikiaje kupigana kwa crown used ya milion 15 huku kuna bondia ambaye umemzidi kila kitu si ajabu nchi jirani tu pambano moja ananunua crown 4 hadi 5??mchezo wa ngumi una hela na wafuasi wengi,tatizo kwa muda mrwfu ulikuwa unasimamiwa na wahuni na unaendeshwa kihuni na wapiganaj wengi hawakuwa na uelewa na thaman halisi ya mchezo wa ngumi walikuwa wanapigana kwa sifa za mtaa,sasa kama mtu amejitokeza kuwajanjarua wengine lazima kizaz kile cha wasioona mbali kimshangae,tumwache tumjadili mwishoni akimaliza career yake kuhusu kauli zake,kama amezitekeleza au zilimshinda?
 
Hicho kijamaa mi nakionaga kishamba tu fuckn Mwakinioo
 
Hadhi yake ni ipi?

Hata Diamond Na Hamornize kwenye muziki wanapambanishwa mbona,

Hivi Kwa akili yako unafikiri Kwa hapa Tanzania hadhi ya Mwakinyo anapaswa alipwe kiasi gani kila akisimama kwenye Pambano?,
Fala mmoja tu Huyo jamaa
 
Back
Top Bottom