Nunua gari na ujenge uache majungu shekhe🤣Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam
Sio habaKi-bongobongo wametoboa
KabisaSio haba
I love your commentMkuu huyu ni tajiri nyumba ya 30 na gari ya 20m huyu ni class apart wa Tanzania wanao weza kumiliki mali ya 50 hawafiki 10% plz mkuu heshimu juhudi za watu, sio kila mtu anaweza kumiliki gari na nyumba.
Wanakopa bank na wanalipa kwa mateso tembea uonesio kila mtu anaweza kumiliki gari na nyumba.
Hakuna kitu hapo huyo ni masikini alijipaka rangi ya utajiri ambayo ukisugua inatoka na unaona rangi yake halisi tembea uoneI love your comment
Wew una wivu. binafsi nahitaji nifikie hapo niwe na nyumba na niwe na gari kama Toyota Prius au Subaru imprezaHakuna kitu hapo huyo ni masikini alijipaka rangi ya utajiri ambayo ukisugua inatoka na unaona rangi yake halisi tembea uone
Wanakopa bank na wanalipa kwa mateso makali mnooooooooo usimuone mtu yupo kwenye gari ukahisi ana furaha makato anayokatwa na bank wengine mpaka wanajuta kukopa, askari magereza kakopa M80 sasa anajenga kanunua na gari na mwezi huu anaenda kusoma mke mama wa nyumbaniI love your comment
Lakini c wanamaliza kulipa.Wanakopa bank na wanalipa kwa mateso tembea uone
Ndugu yangu mmoja alikua km wewe na akili za kindezi bi mkubwa akamuita chini akamshauri usiingie kwenye mikopo ndugu alivyo mjinga kasikiliza ushauri wa mkewe kadharau ushauri wa bi mkubwa kaenda bank katia saini M200 miezi 6 imekata yote nyumba kamaliza gari alikua anatembelea Alphard white ndio ilikua gari yake pendwa alienda kula mzinga k/koo gari ikafumuka mbele aliingia chini ya lori, bank kila mwisho wa mwezi wanakomba ½ na ¼ ya mshahara wake mpaka kichwa kikaanza kumuwaka moto watoto anasomeshwa shule za gharama mpaka akaanza kuwarudisha kayumba mmoja mmoja, usiombee yakukuteWew una wivu. binafsi nahitaji nifikie hapo niwe na nyumba na niwe na gari kama Toyota Prius au Subaru impreza
Siyo kweli kuwa wenye magari wote wamekopa.Ndugu yangu mmoja alikua km wewe na akili za kindezi bi mkubwa akamuita chini akamshauri usiingie kwenye mikopo ndugu alivyo mjinga kasikiliza ushauri wa mkewe kadharau ushauri wa bi mkubwa CRDB katia saini M200 miezi 6 imekata yote nyumba kamaliza gari alikua anatembelea Alphard white ndio ilikua gari yake pendwa alienda kula mzinga k/koo gari ikafumuka mbele aliingia chini ya lori, bank kila mwisho wa mwezi wanakomba ½ na ¼ ya mshahara wake mpaka kichwa kikaanza kumuwaka moto watoto anasomeshwa shule za gharama mpaka akaanza kuwarudisha kayumba mmoja mmoja, usiombee yakukute
Acha uzwazwa ninaishi na mzee mwenye magari ila namshangaa mara kwa mara kwanini anatembelea miguu na gari anazo zimepark nyumbani na mbaya zaidi muda mwingine anajichanganya kwenye usafiri wa umma na nyumbani kaacha magari yake hata watoto wake hawatembelei magari ni boda bajaji public transportation kila nikijiuliza kwanini yule mzee sipati majibugari ni kitu kizuri sana kwa maisha, linarahisisha kazi, linaharakisha utendaji kazi na utafutaji wako. lakini gari ni kitu hatari sana kwa afya yako. walionielewa wamenielewa. wengi wetu leo hii ukisema tutembee vituo viwili vya basi kwa mguu, au tupande daladala, inatuwia vigumu sana. kilichobaki ni kulipia gym na kuhangaika kujenga afya jambo ambalo yule anayepanda daladala na kutembea kwa mguu alipata bure kabisa. wanaotembea kwa mguu au daladala kwa shida wanapata afya njema sana ila wao tu hawajui.
Sijasema wote mkuu ila majority wanahemewa na mabank tembea uoneSiyo kweli kuwa wenye magari wote wamekopa.
Kibongo bongo kapunguza mishale mingi hapo ye anatafuta pesa kula na familia tuHuku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam
sasa mbona unanitukana wakati unaongea kile kile nilichokiongea mimi? kwanini mzee anaacha magari na kutembea kwa mguu? kutembea kwa mguu sio kitu rahisi kama umezoea gari ndugu, labda kama hauna experience hiyo. ndio maana mida ya jioni badala ya kuoga na kupumzika utakuta watu wanakimbia riadha au kutembea kwa mguu, wanacompensate kitu hicho, ama la afya yako inaweza haribika sana.Acha uzwazwa ninaishi na mzee mwenye magari ila namshangaa mara kwa mara kwanini anatembelea miguu na gari anazo zimepark nyumbani na mbaya zaidi muda mwingine anajichanganya kwenye usafiri wa umma na nyumbani kaacha magari yake hata watoto wake hawatembelei magari ni boda bajaji public transportation kila nikijiuliza kwanini yule mzee sipati majibu
😂 Puzzle ya maisha kila mtu ana ya kwake ambacho kinatakiwa ni kujaza jigsaw yako ili kufikia mafanikio.Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam
Mbona unatoa povu? Kwa hali ya kibongo kumiliki gari na nyumba si jambo rahis. Japokuwa hao sitowaita matajiri bado ni uchumi wa kati. Acha wajipokengeze kufikia hapo si kazi rahisiHuku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam