Bongo aliyenunua gari na kujenga nyumba anajiona ametoboa maisha

Bongo aliyenunua gari na kujenga nyumba anajiona ametoboa maisha

Ndugu yangu mmoja alikua km wewe na akili za kindezi bi mkubwa akamuita chini akamshauri usiingie kwenye mikopo ndugu alivyo mjinga kasikiliza ushauri wa mkewe kadharau ushauri wa bi mkubwa kaenda bank katia saini M200 miezi 6 imekata yote nyumba kamaliza gari alikua anatembelea Alphard white ndio ilikua gari yake pendwa alienda kula mzinga k/koo gari ikafumuka mbele aliingia chini ya lori, bank kila mwisho wa mwezi wanakomba ½ na ¼ ya mshahara wake mpaka kichwa kikaanza kumuwaka moto watoto anasomeshwa shule za gharama mpaka akaanza kuwarudisha kayumba mmoja mmoja, usiombee yakukute
Hapo kwenye kuchukua mkopo ndo alizingua mm siwezi kuchukua mkopo lazima nijenge na ninunue gari ila mkopo sichukui
 
Hapo kwenye kuchukua mkopo ndo alizingua mm siwezi kuchukua mkopo lazima nijenge na ninunue gari ila mkopo sichukui
Sasa ukiangalia kudunduliza itakuchukua miaka ndio hivyo kakutana na mwanamke standard 7 failure kampa ushauri katie saini bank tule maisha jamaa kaingia king kilichofuata ni mtiti imem-cost parefu almost miaka 10 na zaidi ku-recover mateso watoto kurudishwa nyumbani kisa karo haitoshi madeni mpaka anakimbiwa ogopa yasikukute
 
Sasa ukiangalia kudunduliza itakuchukua miaka ndio hivyo kakutana na mwanamke standard 7 failure kampa ushauri katie saini bank tule maisha jamaa kaingia king kilichofuata ni mtiti imem-cost parefu almost miaka 10 na zaidi ku-recover mateso watoto kurudishwa nyumbani kisa karo haitoshi madeni mpaka anakimbiwa ogopa yasikukute
Hiyo n kwel lakn ukifanikiwa kuwa na nyumba na gari na hauna mikopo mikubwa uta enjoy
 
Hiyo n kwel lakn ukifanikiwa kuwa na nyumba na gari na hauna mikopo mikubwa uta enjoy
Wewe umetoka nyumba ya tope unaambiwa kuna M200 pale ambayo itakuchukua miaka 15 mpaka 20 kuilipa uchukue ujenge nyumba ya kisasa na usafiri mzuri na uwe na kibiashara cha kuzugia maisha wewe utaacha au utachukua?
 
Kuwa na nyumba na gari Si kufanikiwa,

Hata ndege wa angani Wana nyumba na usafiri.

Kufanikiwa ni Jina lako kuandikwa katika KITABU Cha Uzima baada ya kumpa Yesu maisha Yako. Kufanikiwa ni Kuzaliwa UPYA na kuitwa mwana wa Mungu, unaishi milele.

Aamin!!
 
Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.

Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.

Right Marker
Dar es salaam​
Kwa east Africa Tz inamzidi Burundi tu,yaani hata Zimbabwe iliyokua kwenye vikwazo kwa miaka mingi inatuzidi mbali sana.........yes,ukiwa na hivo vitu kwenye nchi masikini kama Tz,unakua ni miongoni mwa wa Tz 2M,wenye ahueni na maisha kati ya 60M+
Screenshot_20241004-181724.png
 
Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.

Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.

Right Marker
Dar es salaam​
Sawa,haya sasa na wewe ni mambo gani ukifanya kwako unaona umetoboa

Ova
 
gari ni kitu kizuri sana kwa maisha, linarahisisha kazi, linaharakisha utendaji kazi na utafutaji wako. lakini gari ni kitu hatari sana kwa afya yako. walionielewa wamenielewa. wengi wetu leo hii ukisema tutembee vituo viwili vya basi kwa mguu, au tupande daladala, inatuwia vigumu sana. kilichobaki ni kulipia gym na kuhangaika kujenga afya jambo ambalo yule anayepanda daladala na kutembea kwa mguu alipata bure kabisa. wanaotembea kwa mguu au daladala kwa shida wanapata afya njema sana ila wao tu hawajui.
Mkuu huwezi kujaliwa kila kitu. Ni mara chache sana kumkuta mtu anausafiri halafu anapendelea kupanda daladala,hali kadhalika anayepanda daladala kila siku anatamani naye awe na gri siku moja. Ni mara chache sana mtu kujinyima kitu anachoweza ku- afford. Na pia huo ndio mtindo wa maisha, lazima tutegemeane ili dunia iendelee.
 
Labda mkuu utuambie pengine ili uhesabike umetoboa maisha unapaswa uwe na nini?
Pia tuambie ni nini maana ya mafanikio?

kwangu mimi huyo ni boss tiyari maana utakapo paki gari lako la m70 ama m100 na yeye atapaki palepale
Sensa ikipita ya wenye magari nayeye atahesabiwa kama wewe hata nyumba yake itahesabiwa vilevile.

Ni kama kumcheka mwenye Tecno,Itel na infinix kisa wewe una iphone
ni kutokujielewa kwako tu
 
Ndugu yangu mmoja alikua km wewe na akili za kindezi bi mkubwa akamuita chini akamshauri usiingie kwenye mikopo ndugu alivyo mjinga kasikiliza ushauri wa mkewe kadharau ushauri wa bi mkubwa kaenda bank katia saini M200 miezi 6 imekata yote nyumba kamaliza gari alikua anatembelea Alphard white ndio ilikua gari yake pendwa alienda kula mzinga k/koo gari ikafumuka mbele aliingia chini ya lori, bank kila mwisho wa mwezi wanakomba ½ na ¼ ya mshahara wake mpaka kichwa kikaanza kumuwaka moto watoto anasomeshwa shule za gharama mpaka akaanza kuwarudisha kayumba mmoja mmoja, usiombee yakukute
Hayo nimatokeo mtu yeyeto yanaweza kumpata. Tumeona maduka ya watu yakiungua moto nyumba,shule na hospital watu wanarudi moja kabisa. cha msingi ni uzima
 
gari ni kitu kizuri sana kwa maisha, linarahisisha kazi, linaharakisha utendaji kazi na utafutaji wako. lakini gari ni kitu hatari sana kwa afya yako. walionielewa wamenielewa. wengi wetu leo hii ukisema tutembee vituo viwili vya basi kwa mguu, au tupande daladala, inatuwia vigumu sana. kilichobaki ni kulipia gym na kuhangaika kujenga afya jambo ambalo yule anayepanda daladala na kutembea kwa mguu alipata bure kabisa. wanaotembea kwa mguu au daladala kwa shida wanapata afya njema sana ila wao tu hawajui.
Hizi ndiyo fikra zetu watz,mambo manyooonge tuayapa nafasi
 
Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.

Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.

Right Marker
Dar es salaam​
Nchi ya kimasikini
 
Back
Top Bottom