Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je unafikiri ni sahihi MTU anayetegemea mshahara tu akope anunue gari mkuuSina uhakika na huko kwingine maana sijawahi kufika
Utajua weweUkishanunua gari na Nyumba ndo umemaliza sio 🤔
Ni sahihi kutegemea kiasi cha mshahara anachopata. Siku hizi gari sio luxury..ni hitaji muhimu.Je unafikiri ni sahihi MTU anayetegemea mshahara tu akope anunue gari mkuu
Ardhi ni utajiri namba moja. Kama unamiliki kipande cha ardhi, elimu, afya ya mwili, akili na Roho inatosha kutamba mjini na vijijini.Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam
Je unafikiri ni sahihi MTU mwenye mshahara pekee kukopa kuanza kujenga nyumba ya gharama kubwa ya kuishiNyumba au gari sio sawa na makalio ambayo kila mmoja anayo. Kujenga ni sawa na kuzika hela ardhini na sio kila mmoja mwenye ujasiri huo.
Hakuna kitu kizuri kama kujihakikishia kuwa familia yako itakuwa na sehemu salama ya kuishi bila usumbufu siku ukitwaliwa katika huu Ulimwengu. Hela yangu ya kwanza kubwa kuipata sikufikiria mara 2 zaidi ya kujenga.
Sasa hivi i am happy kuwa familia yangu ina permanent address.
Mengine ni mapenzi ya Mungu
Tafuta hela kijana.Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam
Je unadhani Kutafuta hela ni kukopa na kununua gari au nyumba ya kuishi ya gharama kubwaTafuta hela kijana...ukibaki kudis dis maisha ya watu wakati bado unapanga utachelewa sana
Je Kama Mungu amekujalia watoto unafikiri watahitaji hiyo nyumba yako na Hilo gari ?Tafuta hela kijana.
Hayo mafanikio tosha kabisa.
Tatizo tunajiuliza MTU mwenye njia moja tu ya kipato kuongeza gari inayohitaji mafuta na services je unaweza kumwita tajiri huyo ?Kuna tatizo kwani?
Hii ndiyo inatulemaza wengi wakishapata hayo yote basi hawazi sanaa namna ya kuendelea juu zaidi, ni pombe na madem na jamii inaona sawa tu vile amejenga na ana gari.
fal kipi hapo kigumu kuelewaKwenda sheli Kila siku kunakuongezea kipato au kupunguza kipato ?
Tatizo tunajiuliza MTU mwenye njia moja tu ya kipato kuongeza gari inayohitaji mafuta na services je unaweza kumwita tajiri huyo ?
Husda kivipi mkuuWivu, husda bin uchawi!
Kama umewahi kushiriki social surveys, mfano unakwenda kwenye Kijiji au mtaa X kwa lengo la kujua hali za maisha za watu (wealth ranking) vigezo vikuu vya kubaini madaraja ya watu kiuchumi au levels za umasikini ni pamoja na umiliki wa mali/vitu mfano: mtu ana nyumba (ya aina gani? Ya tope na nyasi? Tofali na bati?), usafiri anao ( baiskeli, pikipiki, gari etc), ana redio,Tv, stuli, makochi? Ana shamba au anakodisha? Kama analo shamba ekari ngapi? Kiufupi umiliki wa mali ni indicators muhimu sana, na ndiyo maana hata benki ukikopa wataangalia una dhamana gani?? Mwisho kabisa kwa karne hii tuliyopo ilitakiwa walau watanzania asilimia 70 wawe wanamiliki walau gari ndogo. Sijawahi kujua ni kwa nini serikali haitaki watu wake wamiliki magari kwa kigezo cha kuweka ushuru mkubwa sana wa kuingiza magari.Mafanikio ni swala pana. So inategemea hali uliokua nayo awali na ulipo kwa wakati husika.
Kwa mfano unaweza kuta mtu kwao kakulia kwenye nyumba ya udongo na shule amesomea 2km umbali kutoka nyumbani na anaenda kwa miguu kila siku, sasa mtu kama huyo akijenga nyumba ya milion 30 na kagar ni mafaniko makubwa sana kwake ila kwa mtoto wa mengi au bakhresa kwao mafanikio ni vitu tofauti na hivyo.
Hizo ni pesa ndogo, we vip? Kuna kaya hata kupata 50k kwa mwezi hawawezi, kijiji kizima hamna anae miliki gari, kwa standarnd zetu hutu ni tajiri mkubwa anastaili heshima yakeYani 21k usd ndo tajiri