Bongo aliyenunua gari na kujenga nyumba anajiona ametoboa maisha

Bongo aliyenunua gari na kujenga nyumba anajiona ametoboa maisha

ww

fal kipi hapo kigumu kuelewa
Nafikiri umeelewa ndo maana umepaniki
Labda nikuongezea swali lingine

Hiyo Ist uliyonunua million 10 unafikiri baada ya miatano utaweza kuiuza hiyo Bei ?
Na unafikiri itakuwa imepanda thamani au imeshuka thamani ?

Kama imeshuka thamani , unafikiri umejiongezea utajiri au umaskini ?
 
Mimi nikijenga tuu imetosha wakuu, huku bongo tunachelewa kuanz maisha

Ukiwa na 30 ndio unawez panga chumba moja au mbili sasa unazan ni rahis kuleta mapinduz ya kiuchumi wakat ukoo mzm unakutegemea 😨😨
Unajua watanzania wengi wanamaliza kabisa shughuli za ujenzi wakiwa na miaka mingapi mkuu
 
Nafikiri umeelewa ndo maana umepaniki
Labda nikuongezea swali lingine

Hiyo Ist uliyonunua million 10 unafikiri baada ya miatano utaweza kuiuza hiyo Bei ?
Na unafikiri itakuwa imepanda thamani au imeshuka thamani ?

Kama imeshuka thamani , unafikiri umejiongezea utajiri au umaskini ?
Usiwe na fikra negative
 
Kama umewahi kushiriki social surveys, mfano unakwenda kwenye Kijiji au mtaa X kwa lengo la kujua hali za maisha za watu (wealth ranking) vigezo vikuu vya kubaini madaraja ya watu kiuchumi au levels za umasikini ni pamoja na umiliki wa mali/vitu mfano: mtu ana nyumba (ya aina gani? Ya tope na nyasi? Tofali na bati?), usafiri anao ( baiskeli, pikipiki, gari etc), ana redio,Tv, stuli, makochi? Ana shamba au anakodisha? Kama analo shamba ekari ngapi? Kiufupi umiliki wa mali ni indicators muhimu sana, na ndiyo maana hata benki ukikopa wataangalia una dhamana gani?? Mwisho kabisa kwa karne hii tuliyopo ilitakiwa walau watanzania asilimia 70 wawe wanamiliki walau gari ndogo. Sijawahi kujua ni kwa nini serikali haitaki watu wake wamiliki magari kwa kigezo cha kuweka ushuru mkubwa sana wa kuingiza magari.
Kumcha Mungu pamoja na kuridhika ni faida kubwa



Screenshot_20241004-213534_Biblia%20Takatifu.jpg
 
Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.

Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.

Right Marker
Dar es salaam​
nipe jina lako nikakuangalie kwenye list ya matajiri forbes top 1000
 
Back
Top Bottom