Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
Hadhi yake ni kubwaKubwa kivip mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadhi yake ni kubwaKubwa kivip mkuu.
Inashangaza sana mkuuPeople should just mind the business that pays them!
Kwa nini mnapenda kujishughulisha na mambo ya watu wasiowahusu?
Hakikanilkua nakula ugal maharage,mara paaap naanza kula nyama,huo ni utajiri wangu naridhika saaafi
Nafikiri umeelewa ndo maana umepanikiww
fal kipi hapo kigumu kuelewa
Fanya yako mkuu....kazana uende juu zaidiHii ndiyo inatulemaza wengi wakishapata hayo yote basi hawazi sanaa namna ya kuendelea juu zaidi, ni pombe na madem na jamii inaona sawa tu vile amejenga na ana gari.
Unajua watanzania wengi wanamaliza kabisa shughuli za ujenzi wakiwa na miaka mingapi mkuuMimi nikijenga tuu imetosha wakuu, huku bongo tunachelewa kuanz maisha
Ukiwa na 30 ndio unawez panga chumba moja au mbili sasa unazan ni rahis kuleta mapinduz ya kiuchumi wakat ukoo mzm unakutegemea 😨😨
Usiwe na fikra negativeNafikiri umeelewa ndo maana umepaniki
Labda nikuongezea swali lingine
Hiyo Ist uliyonunua million 10 unafikiri baada ya miatano utaweza kuiuza hiyo Bei ?
Na unafikiri itakuwa imepanda thamani au imeshuka thamani ?
Kama imeshuka thamani , unafikiri umejiongezea utajiri au umaskini ?
Kumcha Mungu pamoja na kuridhika ni faida kubwaKama umewahi kushiriki social surveys, mfano unakwenda kwenye Kijiji au mtaa X kwa lengo la kujua hali za maisha za watu (wealth ranking) vigezo vikuu vya kubaini madaraja ya watu kiuchumi au levels za umasikini ni pamoja na umiliki wa mali/vitu mfano: mtu ana nyumba (ya aina gani? Ya tope na nyasi? Tofali na bati?), usafiri anao ( baiskeli, pikipiki, gari etc), ana redio,Tv, stuli, makochi? Ana shamba au anakodisha? Kama analo shamba ekari ngapi? Kiufupi umiliki wa mali ni indicators muhimu sana, na ndiyo maana hata benki ukikopa wataangalia una dhamana gani?? Mwisho kabisa kwa karne hii tuliyopo ilitakiwa walau watanzania asilimia 70 wawe wanamiliki walau gari ndogo. Sijawahi kujua ni kwa nini serikali haitaki watu wake wamiliki magari kwa kigezo cha kuweka ushuru mkubwa sana wa kuingiza magari.
Ni vizuri tukasaidiana hata mawazo mkuuFanya yako mkuu....kazana uende juu zaidi
Sambaza ulichonacho tajiri,siye hivi tulivyonavyo vinatoshaNi vizuri tukasaidiana hata mawazo mkuu
Unajua umaskini wa wananchi ndo unaleta umaskini wa Jamii na taifa kwa jumla
nipe jina lako nikakuangalie kwenye list ya matajiri forbes top 1000Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam
Unalisemeaje na hili andiko mkuu
Ameelezea tu Hali halisi ya wabongo mkuu au sio kweli ?nipe jina lako nikakuangalie kwenye list ya matajiri forbes top 1000