Bongo aliyenunua gari na kujenga nyumba anajiona ametoboa maisha

Bongo aliyenunua gari na kujenga nyumba anajiona ametoboa maisha

gari ni kitu kizuri sana kwa maisha, linarahisisha kazi, linaharakisha utendaji kazi na utafutaji wako. lakini gari ni kitu hatari sana kwa afya yako. walionielewa wamenielewa. wengi wetu leo hii ukisema tutembee vituo viwili vya basi kwa mguu, au tupande daladala, inatuwia vigumu sana. kilichobaki ni kulipia gym na kuhangaika kujenga afya jambo ambalo yule anayepanda daladala na kutembea kwa mguu alipata bure kabisa. wanaotembea kwa mguu au daladala kwa shida wanapata afya njema sana ila wao tu hawajui.
Wewe ni mchungaji?
 
Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.

Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.

Right Marker
Dar es salaam​
Kutoboa ni maneno ya kihuni huni tu,ili maisha yawe yenye ustawi chakula,malazi hata kama umepanga,mavazi,usafiri (boda,gari,baiskeli) ni hatua muhimu hasa ukizingatia kuwa tulikotoka haikuwa hivyo.
Hayo ndio maendeleo.
Wenye vitu hivyo ni wazi walijinyima wakati ninyi mnaponda raha.
Vinginevyo ni wivi tu,hakuna jingine.
Credit kwako kwa Uzi wa kutakafari.
 
Bongo shida sana

Umewaza kama ninavyowazaga

Yani mtu ana kigali na kinyumba anavimba

Interesting

Nyumba na gari sio utajiri na hauwezi kuwa utajiri
Tushukuru kwa kila jambo pengine hao ndio wanatafsiri neno maendeleo,that why ukiwaona unadhani wanajidai kumbe wanakufundisha na wewe ukipata ufanye unavyotaka.
 
Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.

Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.

Right Marker
Dar es salaam​
Te he Te he
Dah🙌🏾

Mjue hawa tunaowabeza wana afadhali kuliko waaaale " matajiri" tunao linganishwa nao.

Ni dhahiri Watanzania wengi wana miliki nyumba na magari yao. Yaani hawana madeni kama ilivyo Tunaolinganishwa nao.

As a matter of fcat. Ukiwa na kiasi cha Shilingi elfu thelathini Mfukoni na huna deni, wewe ni tajiri kuliko asilimia 3% ya Wamarekani. Yaani ni kweli Watanzania wametoboa🤗😊😂😂😂😂🤸🏿‍♀️

Watanzania wengi hawana madeni ukiachilia mbali deni la Taifa; ama ukilinganishwa na Raia wengi wa Ulaya na Marekani.
 
Mafanikio ni swala pana. So inategemea hali uliokua nayo awali na ulipo kwa wakati husika.
Kwa mfano unaweza kuta mtu kwao kakulia kwenye nyumba ya udongo na shule amesomea 2km umbali kutoka nyumbani na anaenda kwa miguu kila siku, sasa mtu kama huyo akijenga nyumba ya milion 30 na kagar ni mafaniko makubwa sana kwake ila kwa mtoto wa mengi au bakhresa kwao mafanikio ni vitu tofauti na hivyo.
Kwa 2KM umbali huo ni mkubwa sana wakuu ?????😀😀😀.

Kumbe kuna watu tumepitia msoto alafu kumbe tukichukulia kawaida tuuu.

2km si ni umbali wa nyumvani na duka la nyanya thnaponunuaga viungo
 
Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.

Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.

Right Marker
Dar es salaam​
Hata hapa Japan hali ni hiyo hiyo.
 
Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.

Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.

Right Marker
Dar es salaam​
Wewe unataka nini zaidi ya hapo??
Ukishakuwa na nyumba Bora ya kulala na Carina lako au Mazda huku ukiwa unamudu ada ya Shule ya watoto na matibabu mengine ni anasa na kujitakia stress.
 
Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.

Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.

Right Marker
Dar es salaam​
Tumeaminishwa hivyo na social status zetu.
 
Back
Top Bottom