grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
maisha ili uyapatie inahitajika nini?Kujenga nyumba na kumiliki gari sio kwamba umeyapatia maisha mkuu jifunze kwa waliotangulia eeh watu mibichwa migumu kuelewa maezenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maisha ili uyapatie inahitajika nini?Kujenga nyumba na kumiliki gari sio kwamba umeyapatia maisha mkuu jifunze kwa waliotangulia eeh watu mibichwa migumu kuelewa maezenu
Sijawahi. Lakini sio wote wanaokopa mikopo hufilisiwa sio kweli. Nina watu ninao wajua wefanikiwa kupitia mikopo na wengine wengi wamefilisiwa.Nikakope ili niishi kwa msoto? Hivi unaelewa ninachozungumza au unachukulia juu juu? Ushawahi kufilisiwa kwa kushindwa kuilipa bank? Ushawahi pigwa mnada kijumba chako ulichojenga kwa pesa za bank?
Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam
Mafanikio kila mtu na anavyoyatafsirii kutokana na ndoto zake mfano mtu mwingine ndoto yake kubwa ilikuwa kujenga na kununua garii akishavitimiza hivyo basi huyo kafinikiwa ni same pia hata kwamweny ndoto yakumiliki baskelii vilevile akimilk basi kafanikiwa kutokana na ndoto zakeHuku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam
Zaidi ya nyumba na gari yaan hivyo vi nyumba na vi gari ni vitu vya kawaida mno ila watu kuwaelewesha ndio kazi sema nini kila mtu abakie na mtazamo wakemaisha ili uyapatie inahitajika nini?
I copy. Lakini mfano wa jamaa kuwa alipaya ajari ya gari aliyonunua Kwa mkopo ndo nilkuwa na jibu la mifano hiyo. Siyo kujitakia hiyo. Mtu yeyeto yule anayekopa mkopo Kwa ajili ya Bata lazima ajute tu.Kwa kujitakia au? Kuna mtu anajitakia nyumba au shule au hospitali iungue moto? Ila kuna watu wanajitakia kulimbikiza madeni bank ili nao waonekane wanaishi maisha ya kifahari copy that?
Kama nini na nini?Zaidi ya nyumba na gari yaan hivyo vi nyumba na vi gari ni vitu vya kawaida mno ila watu kuwaelewesha ndio kazi sema nini kila mtu abakie na mtazamo wake
Nishawahi ishi na mtu ana kila kitu unachokihitaji wewe to infinity anaenda popote kwenye dunia hii katembea nchi nyingi mno ila kitu kimoja tu hana furaha hana furaha sababu vyooote hivyo anavyo ila hana mtoto wa kumzaa na hana uwezo wa kuzaa ana magari anamiliki mahotel ya kifahari na majumba ya kifahari mpaka ulaya ila hana furaha pesa anazo bwelele ila hana furaha amani ipo ila furaha haipo mda mwingi baada ya kazi analewa sana kukata mawazo ya huzuni iliyomjaaMafanikio kila mtu na anavyoyatafsirii kutokana na ndoto zake mfano mtu mwingine ndoto yake kubwa ilikuwa kujenga na kununua garii akishavitimiza hivyo basi huyo kafinikiwa ni same pia hata kwamweny ndoto yakumiliki baskelii vilevile akimilk basi kafanikiwa kutokana na ndoto zake
Soma commentsKama nini na nini?
Mke anaye lakiniiNishawahi ishi na mtu ana kila kitu unachokihitaji wewe to infinity anaenda popote kwenye dunia hii katembea nchi nyingi mno ila kitu kimoja tu hana furaha hana furaha sababu vyooote hivyo anavyo ila hana mtoto wa kumzaa na hana uwezo wa kuzaa ana magari anamiliki mahotel ya kifahari na majumba ya kifahari mpaka ulaya ila hana furaha pesa anazo bwelele ila hana furaha amani ipo ila faraha haipo mda mwingi baada ya kazi analewa sana kukata mawazo ya huzuni iliyomjaa
"kutoboa" ndiyo nini?Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam
Asikwambie mtu dunia hii pesa zote hizi tunatafuta kwa ajirii ya wanawake naiman kusingekuwa nawanawake cjui tungeish vpNishawahi ishi na mtu ana kila kitu unachokihitaji wewe to infinity anaenda popote kwenye dunia hii katembea nchi nyingi mno ila kitu kimoja tu hana furaha hana furaha sababu vyooote hivyo anavyo ila hana mtoto wa kumzaa na hana uwezo wa kuzaa ana magari anamiliki mahotel ya kifahari na majumba ya kifahari mpaka ulaya ila hana furaha pesa anazo bwelele ila hana furaha amani ipo ila faraha haipo mda mwingi baada ya kazi analewa sana kukata mawazo ya huzuni iliyomjaa
Kwani uongo?Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam
Ni mwanamke sio mwanaume hajaolewa hana mtoto ila huo uchafu mnaodiscuss hapa anaona km ujinga tu sababu kwake yeye sio vitu vya ajabu ni vitu vya kawaida kwake kununua nyumba au gari ni sawa na kwenda sokoni kununua kitunguu au nyanya ila furaha hana, kuna kitu hujanielewa badoMke anaye lakinii
Soma tena vizuri nilichokiandika mkuu usikurupukeAsikwambie mtu dunia hii pesa zote hizi tunatafuta kwa ajirii ya wanawake naiman kusingekuwa nawanawake cjui tungeish vp
Hii ndiyo inatulemaza wengi wakishapata hayo yote basi hawazi sanaa namna ya kuendelea juu zaidi, ni pombe na madem na jamii inaona sawa tu vile amejenga na ana gari.
Mkuu kwa uchumi huu wa ccm kufika tu hapo ni mbinde, una hiari ya kuchaguaHii ndiyo inatulemaza wengi wakishapata hayo yote basi hawazi sanaa namna ya kuendelea juu zaidi, ni pombe na madem na jamii inaona sawa tu vile amejenga na ana gari.
Sikio linatobolewa pua inatobolewa"kutoboa" ndiyo nini?
Imebidi nicheke I'm outNadharia ya mafanikio hutofautiana baina ya mtu na mtu, so kwako ww hivyo vitu ulivyotaja hapo vinaweza kua vya kawaida sanaa ila kwa mwenzako ndo mafanikio yake hayo. Pole