St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
Mkuu mwenye nyumba wako kakuudhi nini tena..??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅Nunua gari na ujenge uache majungu shekhe🤣
🤣🤣🤣🤣🤣We mafanikio kwako si ni kuishi kwa shemeji yako na jioni kuzungukazunguka mtaani umevaa malapa na soksi huku umeweka earphones maskioni
We bwege Ili uwe tajiri unatakiwa uwe na nini sio unafokafoka hapa na hauorodheshi vitu vya kukufanya uwe tajiriKujenga nyumba na kumiliki gari sio kwamba umeyapatia maisha mkuu jifunze kwa waliotangulia eeh watu mibichwa migumu kuelewa maezenu
Huyu ndugu yenu hana akili ata mie namzidi🤣🤣🤣🤣🤣Ndugu yangu mmoja alikua km wewe na akili za kindezi bi mkubwa akamuita chini akamshauri usiingie kwenye mikopo ndugu alivyo mjinga kasikiliza ushauri wa mkewe kadharau ushauri wa bi mkubwa kaenda bank katia saini M200 miezi 6 imekata yote nyumba kamaliza gari alikua anatembelea Alphard white ndio ilikua gari yake pendwa alienda kula mzinga k/koo gari ikafumuka mbele aliingia chini ya lori, bank kila mwisho wa mwezi wanakomba ½ na ¼ ya mshahara wake mpaka kichwa kikaanza kumuwaka moto watoto anasomeshwa shule za gharama mpaka akaanza kuwarudisha kayumba mmoja mmoja, usiombee yakukute
We fanya vyovyote mradi upate hela.Je unadhani Kutafuta hela ni kukopa na kununua gari au nyumba ya kuishi ya gharama kubwa
Huku ukitegemea mshahara tu Kama njia ya kipato mkuu ??
Chuki na roho mbaya vinaeatesa wanataka kuona mafanikio ya wenzao si chochote wakati suala la mtu kujitegemea tu yani kuwa na gheto na ukamudu gharama za chakula na mavazi nk ni mafanikio makubwa sana kwa binadamuPeople should just mind the business that pays them!
Kwa nini mnapenda kujishughulisha na mambo ya watu wasiowahusu?
Ni kweli mafanikio ni relative term. Kila mtu na anavyoona yeye. Mwingine kuolewa au kuoa mtu sahihi ni amemaliza Yani ndo mafanikio yakeMafanikio ni swala pana. So inategemea hali uliokua nayo awali na ulipo kwa wakati husika.
Kwa mfano unaweza kuta mtu kwao kakulia kwenye nyumba ya udongo na shule amesomea 2km umbali kutoka nyumbani na anaenda kwa miguu kila siku, sasa mtu kama huyo akijenga nyumba ya milion 30 na kagar ni mafaniko makubwa sana kwake ila kwa mtoto wa mengi au bakhresa kwao mafanikio ni vitu tofauti na hivyo.
Mtoa mada utakuta bado anaishi kwaoMkuu huyu ni tajiri nyumba ya 30m na gari ya 20m huyu ni class apart wa Tanzania wanao weza kumiliki mali ya 50m hawafiki 10% plz mkuu heshimu juhudi za watu, sio kila mtu anaweza kumiliki gari na nyumba.
SahihiMafanikio ni swala pana. So inategemea hali uliokua nayo awali na ulipo kwa wakati husika.
Kwa mfano unaweza kuta mtu kwao kakulia kwenye nyumba ya udongo na shule amesomea 2km umbali kutoka nyumbani na anaenda kwa miguu kila siku, sasa mtu kama huyo akijenga nyumba ya milion 30 na kagar ni mafaniko makubwa sana kwake ila kwa mtoto wa mengi au bakhresa kwao mafanikio ni vitu tofauti na hivyo.
Ni kweliHii ndiyo inatulemaza wengi wakishapata hayo yote basi hawazi sanaa namna ya kuendelea juu zaidi, ni pombe na madem na jamii inaona sawa tu vile amejenga na ana gari.
Ni vile unavyowachukulia sioni kama wanavimbaBongo shida sana
Umewaza kama ninavyowazaga
Yani mtu ana kigali na kinyumba anavimba
Interesting
Nyumba na gari sio utajiri na hauwezi kuwa utajiri
Kama unamiliki gari na kanyumba halafu bado mafuta ya gari unabangaiza bado sio uchumi wa kati.Mbona unatoa povu? Kwa hali ya kibongo kumiliki gari na nyumba si jambo rahis. Japokuwa hao sitowaita matajiri bado ni uchumi wa kati. Acha wajipokengeze kufikia hapo si kazi rahisi
Sio kweli, ardhi ingekuwa utajiri Watanzania tungekuwa matajiri sana kuliko nchi nyingi duniani.Ardhi ni utajiri namba moja. Kama unamiliki kipande cha ardhi, elimu, afya ya mwili, akili na Roho inatosha kutamba mjini na vijijini.
Na hii ndiyo shida yetu kubwa sana. Kupoteza muda kujishughulisha na maisha ya watu wengine, tena wenye shughuli zao halali kabisa.People should just mind the business that pays them!
Kwa nini mnapenda kujishughulisha na mambo ya watu wasiowahusu?
NKajua ni miongoni mwa baby walkers😀Hadhi yake ni kubwa