Ovyoo kabisa Huyu Mleta Mada, Sasa Alitakaje? Hivyo ndio Vitu Muhimu, Nyumba, Gari na Vitu vingine vinavyokupatia kipato, Dalili ya Umasikini ni Pamoja na kupanga Chumba kimoja Mbangara au Buguruni au Vingunguti au Kwa Mtogole na Dalili Zingine za Umasikini ni Za kutembelea Baiskeli, Sasa Kwa TANZANIA yetu hii Gari Unayo, Nyumba Nzuri Si umetoboa kimaisha, Wewe Mleta Oja ulitakaje? Punguza Makasiliko na WivuKwani ni uongo?.Kwa Tz ukijenga nyumba,unabiashara ambayo inakupatia kipato na unausafiri ambao utakusaidia kukupeleka unakotaka ndiyo maisha menyewe.Au wewe mleta mada una Nini Cha ziada ambacho unaona Hivyo havifai kuitwa mtu amefanikiwa?Au wewe mleta mada una mradi wa kwenda kuishi sayari ya mars kama Wa kina Elon musk?