Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Allaaah! nilikuwa nataka nijue je limekuingia au ume skip!!....... kumbe umeliona hilo safi sana! ungepiga kimya hapa ningejua naongea mwenyewe km kichaa!! ...safi sana sasa twende kazi!

basi tunafanyaga ivo ku test zari.....
Kumbe unataka ligi na sio uelewa, kina dada bna
 
Somo limeingia safi sana. Ulikua hukubali ufalme wa mteja sasa umekubali walau kwa kiasi kidogo. Ni vyema.
Bado tuko mule mule!
siku umsimamishe yule mama anaeuza mihongo, karanga nk utake kununua bidhaa yake uone kama atakuonesha dharau ya aina yoyote haijalishi umeenda na hali gani(maskini/tajiri).
Wana maneno ya kukushawishi ununue bidhaa yao.
Mbona ni kawaida hiyo! hata km hauzi mihogo mtu anaweza nisimamisha njiani akaniluliza kitu nitamjibu safi tu! sasa sembuse muuza mihogo??...

hakuna mfanya biashara mwenye timamu yeyote Duniani eti anaonyesha dharau kwa mteja!...wala hakuna Mteja yeyote Duniani anaye weza kuonyesha dharau kwa Muuzaji mfanya biashara wkt hamjui never hiyo nakataa!!.......

km ikitokea ivo mnajuana kisirani chenu, either ni majirani toka zamani so mnashindanan au mnalogana , au ni waukoo mmoja so mnaoneana wivu au mlichukuliana wanaume!

Mbali na mfanya biashara hakuna mfanyakazi wa Umma/Rais /Waziri mwenye akili timamu, anaye onyesha dharau kwa wateja wake wanao mpa rushwa bila sababu, kuna mawili anaumwa akili au umemzingua !

kwa hiyo kinacho fanyika pale ni kuzinguana! hata weye huyo jamaa yako wapale dukani kamuulize vizuri kuna kitu mmekoseana! ni mke/demu/mume/jirani mwenye majidai!

Kila mtu hapa Duniani anapenda connections za aina mbali mbali! na hizo connections watazipata kwa watu wa aina mbali mbali! hata km ni mfanya kazi wa Dukani kwako! anajua hapo! hapo! ndo pata mtoa!

labda uwe na kisrani cha huko kwenu Mara
 
Kumbe unaelewa ila ulijichetua tu.

Ndicho kinachotakiwa, ila wateja wapo wa namna mbalimbali.
Wapo wale kina sisi wazee wa window shopping anaulizaa na hanunui ila akifanya tathmini anaweza kuacha pesa yake yote kwako.
Na unaweza kumteka kabisa akawa anakuja kwako tu kisa ulimpokea vizuri.
 
Basi Sawa, we endelea na soga.....
 
Wewe ni mwehu

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ni tofauti na ileee ya mteja na kuongea simuni!!
 
Hahahaha hahha amesema anauza ** kwa waheshimiwa ,kwa iyo yye kuuza ** kwa wabunge Dodoma anaona bonge la deal hahaaah
Yes! ni deal why not! kwanza natoa huduma murua! sasa weye nenda wey km itanunuliwa iyo naniliu yako!
 
Na unaweza kumteka kabisa akawa anakuja kwako tu kisa ulimpokea vizuri.
Kumridhisha kila mtu pia ni uwenda wazimu!! jua ni haiwezekani'' hasa kwa mtu mwenye akili timamu!! kama Yesu mwenyewe hakumrithisha kila mtu weye nani upendwe na kila mtu?? huo ni ujuha!

kubali tu kuwa kuna wengine watakuja na kukupenda, na watapotea na wengine hawatakupenda, ndivo ilivo Mungu alitamka kwa kinywa chake ''siyo kila aniitaye Bwana Bwana ataingia ktk Ufalme wa mbinguni!''

sasa km Mungu wamemfanyia hivo weye nani upendwe na kila ntu??...wengine kubali wapite hivi! na ufalme wao mbuzi huo wa kulazimisha kubali wasikupe hela yao!! na wengine siyo watu halisi kutoka kuzimu!

yamkini hata weye humu Jf siyo Mtu, ila hujijui! kama kweli wewe ni mtu tamka ivi ''Yesu wangu''
 
Jueni kuwa Siyo kila mteja ni mfalme wengine mafala tu! hawastahili bana ndo ukweli huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…