Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Allaaah! nilikuwa nataka nijue je limekuingia au ume skip!!....... kumbe umeliona hilo safi sana! ungepiga kimya hapa ningejua naongea mwenyewe km kichaa!! ...safi sana sasa twende kazi!

basi tunafanyaga ivo ku test zari.....
Kumbe unataka ligi na sio uelewa, kina dada bna
 
Somo limeingia safi sana. Ulikua hukubali ufalme wa mteja sasa umekubali walau kwa kiasi kidogo. Ni vyema.
Bado tuko mule mule!
siku umsimamishe yule mama anaeuza mihongo, karanga nk utake kununua bidhaa yake uone kama atakuonesha dharau ya aina yoyote haijalishi umeenda na hali gani(maskini/tajiri).
Wana maneno ya kukushawishi ununue bidhaa yao.
Mbona ni kawaida hiyo! hata km hauzi mihogo mtu anaweza nisimamisha njiani akaniluliza kitu nitamjibu safi tu! sasa sembuse muuza mihogo??...

hakuna mfanya biashara mwenye timamu yeyote Duniani eti anaonyesha dharau kwa mteja!...wala hakuna Mteja yeyote Duniani anaye weza kuonyesha dharau kwa Muuzaji mfanya biashara wkt hamjui never hiyo nakataa!!.......

km ikitokea ivo mnajuana kisirani chenu, either ni majirani toka zamani so mnashindanan au mnalogana , au ni waukoo mmoja so mnaoneana wivu au mlichukuliana wanaume!

Mbali na mfanya biashara hakuna mfanyakazi wa Umma/Rais /Waziri mwenye akili timamu, anaye onyesha dharau kwa wateja wake wanao mpa rushwa bila sababu, kuna mawili anaumwa akili au umemzingua !

kwa hiyo kinacho fanyika pale ni kuzinguana! hata weye huyo jamaa yako wapale dukani kamuulize vizuri kuna kitu mmekoseana! ni mke/demu/mume/jirani mwenye majidai!

Kila mtu hapa Duniani anapenda connections za aina mbali mbali! na hizo connections watazipata kwa watu wa aina mbali mbali! hata km ni mfanya kazi wa Dukani kwako! anajua hapo! hapo! ndo pata mtoa!

labda uwe na kisrani cha huko kwenu Mara
 
Bado tuko mule mule!

Mbona ni kawaida hiyo! hata km hauzi mihogo mtu anaweza nisimamisha njiani akaniluliza kitu nitamjibu safi tu! sasa sembuse muuza mihogo??...

hakuna mfanya biashara mwenye timamu yeyote Duniani eti anaonyesha dharau kwa mteja!...wala hakuna Mteja yeyote Duniani anaye weza kuonyesha dharau kwa Muuzaji mfanya biashara wkt hamjui never hiyo nakataa!!.......

km ikitokea ivo mnajuana kisirani chenu, either ni majirani toka zamani so mnashindanan au mnalogana , au ni waukoo mmoja so mnaoneana wivu au mlichukuliana wanaume!

Mbali na mfanya biashara hakuna mfanyakazi wa Umma/Rais /Waziri mwenye akili timamu, anaye onyesha dharau kwa wateja wake wanao mpa rushwa bila sababu, kuna mawili anaumwa akili au umemzingua !

kwa hiyo kinacho fanyika pale ni kuzinguana! hata weye huyo jamaa yako wapale dukani kamuulize vizuri kuna kitu mmekoseana! ni mke/demu/mume/jirani mwenye majidai!

Kila mtu hapa Duniani anapenda connections za aina mbali mbali! na hizo connections watazipata kwa watu wa aina mbali mbali! hata km ni mfanya kazi wa Dukani kwako! anajua hapo! hapo! ndo pata mtoa!

labda uwe na kisrani cha huko kwenu Mara
Kumbe unaelewa ila ulijichetua tu.

Ndicho kinachotakiwa, ila wateja wapo wa namna mbalimbali.
Wapo wale kina sisi wazee wa window shopping anaulizaa na hanunui ila akifanya tathmini anaweza kuacha pesa yake yote kwako.
Na unaweza kumteka kabisa akawa anakuja kwako tu kisa ulimpokea vizuri.
 
Siyo dhambi kwa sababu, Miongozo ya kazi, kuelimishana Kazini ni sehemu ya soga, km haitoshi Mungu alipoumba Dunia na vyote vilivyomo alifanya ile kazi kwa siku saita...

ya saba akapumzika sasa alipokuwa anaumba .....alikuwa anatamka kwa kupiga soga, alikuwa ana piga soga na nani...hilo ni somo jengine na wkt mwingine!.........

Bila shaka km umeumbwa kwa mfano wake, kupiga soga ni lazima, lkn km hujaumbwa kwa mfano wake utafanya kibu-bubu, na lazima utaharibu tu!...kufanya kazi pale unaumba jua ivo!

Hakuna sehemu iliyoandikwa kwamba kupiga soga kazini ni dhambi, inategemea mtu anaye tafuta huduma una uelewa kiasi gani kuna wengine wana akili ndoogo sana wanatafsiri wanavotaka....

Mfano Madaktari wanapofanya Operesheni lazima wanaongea lkn mgonjwa kilaza, km weye Utadhania wanapiga soga kwa kuwa hujui kiingeredha chao cha lugha ile!...utakacho kifanya ni kuwaandika magazetini!
Basi Sawa, we endelea na soga.....
 
Yes! mie ni Mswahili ndiyo, hata siku moja sijawahi sema mie Mzungu! au kutamani kipande cha ardhi ya Ulaya ni wao wao hao unao waona bora wazungu wanakuja huku uswahilini kwa mbinde!

sasa nani Bora??? tatizo hukusoma! shule ndogo! si wende hata Gumbaru ndugu??, unalilia ufalme kwenye Biashara ya mtu? halafu unajiona mzima kweli! tena huyo mtu ni me km wewe. olewa nae basi eti ?? mweee!!

halafu unaambiwa ukweli unaropoka eti ni wagonjwa, weye ndo mgonjwa ila hujijui tu!... eti mzee mzima una nywele kabisa kila mahali unaleta uzi humu tukujadili weye kutamani bishara ya me mwenzio??!

alipo pata mtaji unapajua weye mpaka ukafanye ufalme pale??...utoke zako mazogoroni huko uje na tupesa twako twa mawazo hapo...kweeenda hukohuko uswahilini kwenu mbagalla. mnatauchafulia maduka yetu!

haya ni maeneo ya wasomi/matajiri/waelewa/madiasporas/wageni matajiri waliotosheka, hawana majungu ndo tunawataka tu! yaani matajiri wao wakija kununua utasikia , ''sorry' ''sorry' sorry............daaa raha sana.......

lkn Maskini akija mweee utasikia akijitambulisha Mimi NI dada yake na shangazi yake diwani wa G. Lamboto! rafiki mkubwa wa Meneja wa TRA!
Wewe ni mwehu

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Kumbe unaelewa ila ulijichetua tu.

Ndicho kinachotakiwa, ila wateja wapo wa namna mbalimbali.
Wapo wale kina sisi wazee wa window shopping anaulizaa na hanunui ila akifanya tathmini anaweza kuacha pesa yake yote kwako.
Na unaweza kumteka kabisa akawa anakuja kwako tu kisa ulimpokea vizuri.
Hiyo ni tofauti na ileee ya mteja na kuongea simuni!!
 
Hahahaha hahha amesema anauza ** kwa waheshimiwa ,kwa iyo yye kuuza ** kwa wabunge Dodoma anaona bonge la deal hahaaah
Yes! ni deal why not! kwanza natoa huduma murua! sasa weye nenda wey km itanunuliwa iyo naniliu yako!
 
Na unaweza kumteka kabisa akawa anakuja kwako tu kisa ulimpokea vizuri.
Kumridhisha kila mtu pia ni uwenda wazimu!! jua ni haiwezekani'' hasa kwa mtu mwenye akili timamu!! kama Yesu mwenyewe hakumrithisha kila mtu weye nani upendwe na kila mtu?? huo ni ujuha!

kubali tu kuwa kuna wengine watakuja na kukupenda, na watapotea na wengine hawatakupenda, ndivo ilivo Mungu alitamka kwa kinywa chake ''siyo kila aniitaye Bwana Bwana ataingia ktk Ufalme wa mbinguni!''

sasa km Mungu wamemfanyia hivo weye nani upendwe na kila ntu??...wengine kubali wapite hivi! na ufalme wao mbuzi huo wa kulazimisha kubali wasikupe hela yao!! na wengine siyo watu halisi kutoka kuzimu!

yamkini hata weye humu Jf siyo Mtu, ila hujijui! kama kweli wewe ni mtu tamka ivi ''Yesu wangu''
 
Jueni kuwa Siyo kila mteja ni mfalme wengine mafala tu! hawastahili bana ndo ukweli huo
 
Back
Top Bottom