Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Nina uhakika wewe haunizidi elimu hata kwa huo uchawi wako halambi!
Ok! km ni ivo leta vyeti vyako hapa na mie nilete vyangu tuone nani kasoma zaidi lete hapa weka......tumalize ubishi
 
Usidandie gari kwa mbele wapi nimesema mie ni me!??

aah kumbe wewe ni mwanamke! nilifikiri naongea na mwanaume
angalau nimwoneshe nini maana ya biashara.

bas endelea na unique, mm sikujibu tena
 
haunizidi elimu
Yaani Mimi siyo Elimu tu! nakuzidi hela .....Mbesaaa!! Money! tena siyo hela za madafu hizooo noo!! ni ile hela yenye akili, inayotamba Duniani unabishaaa?
 
Yaani Mimi siyo Elimu tu! nakuzidi hela .....Mbesaaa!! Money! tena siyo hela za madafu hizooo noo!! ni ile hela yenye akili, inayotamba Duniani unabishaaa?
Jeshi la mtu mmoja...😁
Wewe dada unaonesha ni mtu wa 'mdomo' hatari.
Hapa kipele kimepata mkunaji.
 
😁 Mental health is real
 
Wewe dada unaonesha ni mtu wa 'mdomo' hatari.
Ndo wale waleeee!! mteja Ni Mfalme! Mkuu,mie na mdomo kwani kuna mtu hana mdomo?? au umeamua kuropoka tu?....Sikia sasa usije na sera za kiburi kwangu eti mteja ni mfalme then uniletee za kuleta ndani ya biashara zangu!

Hizo ni dharau za kishamba! kwa washamba, Maborn town sisi hatunaga hizo! sie tukifika tunafanya yetu haoooo!! hatusubiri tupongezwee! oooh Mfalme kaja!

hizo ni sifa za watu ambao hawa kwenda shule za maana km mleta mada anaye miliki guest Bubu kulee kwa AZIZI ALI BONDENI, hana hata wateja kule zaidi ya wapiga miti!

Mteja Sijakuita, wala hujaniita!, sikujui hunijui weka heshima mbele kwa uliowakuta pale! usije kujitanabaisha Oooh! mie mteja mfalme wee! ee!! ni uwizi tu wa chuma ulete huo! na ole wako nikumudu yaani nakuadabisha chemba,

mpaka uende ukasimulie vizuri huko utokako na chuma ulete lako hilo!

ukikaa vibaya nakubambika na kesi juu! ndo ujue kuna wafanya biashara wengine wamepinda!...watanieni hao hao wa Tarime mujini! lkn siyo sisi Born town km vepi jaribu uone rangi tofauti tofauti!

Mbali na hayo nikishakujua ulivyo ivo, hela yako hiyo siitaki, hata km unayo kiasi cha mtaji wangu wote na kupita! sikutaki Dukani kwangu! Milele Amina, kikwapa chako peleka hukoo!! oo!

Heshimu Biashara yangu, ninayo iheshimu Mimi!! ili na mie nikuheshimu, idharau kwa kigezo cha mteja mfalme uone moto sikufichi halooo!...

Nitakufundisha vizuri maana ya uteja ni Mfalme, na nikisha kufundisha hilo kamwe hutorudia tena asee!!.....utayaogopa Maduka ya watu!!

Wafalme ni wale wenye adabu zao walo niungisha kirafiki, na ile biashara iliyokufanya weye uje pale na kikwapa chako! ukamuonyshe mkeo kuwa yule smaki si mtu!
 
Nilichogundua huyu mtu si mzma
Mkuu weye shukuru tu unakutaga vyanamuke! na vijijana wadogo waoga/dada mapokezi! iko siku isiyokuwa na tarehe utachomwa moto! wee endelea kutafuta ufalme kwenye Biashara za watu usio wajua!

unatukana! tukana hovyo eti unadai heshima sehemu amazo hwakujui na visenti vyako vya mawazo hapo! yatakutokea puani nakuhakikishia zako zinahesabika!..amini maneno yangu!

Ubabe huo fanyia Tarime huko huko!...siyo kwa wtoto wamujini! mie nakusaidia Bureee!
 
Pole sana
 
Wakurya bana wengi wana ubabe wa kishamba sana! haina maana kwenda kwenye biashara/ofisi ya Mtu na kuanza kufoka foka kisa eti unatafuta ufalme!!...alishaambiwa mteja ni mfalme basi huyooooo!

anaripuka km kombora kisa tu! eti kaona sehemu wanatoa huduma mwanana km Dubai wateja wanavo heshimiwa na huku pia anataka iwe km ivoivo!! weweeee!

sisi huku ni Bongo ya wabongo! tunaishi kibongo bongo!......''when in Rome do as Romans do'' unasikia wewe Tatoo?? utakatwa hayo masikio tyarefuke zaidi halafu ushangae! moron!
 
Kaharibu uzi wa jamaa kichizi yaani hovyo hovyo kauvuruga.
Acha chuki! nimeharibu nini hapo si tunajadili au!! kwani nimetukana mtu?? mie napinga kwa hoja na wewe njoo kwa hoja! kuhusu ufalme kwenye biashara ya mtu usiye mjua!

na uteja wako wa msimu huo! sema huna hoja za kunikabiri! nakuzidi akili mingi na mawazo ya juuu! kwa hiyo ukaona uni provoke kwa matusi ili nionekane mie ndo nimetukana lkn holaaaa! lete hoja hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…