Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Nina uhakika wewe haunizidi elimu hata kwa huo uchawi wako halambi!
Ok! km ni ivo leta vyeti vyako hapa na mie nilete vyangu tuone nani kasoma zaidi lete hapa weka......tumalize ubishi
 
Usidandie gari kwa mbele wapi nimesema mie ni me!??

aah kumbe wewe ni mwanamke! nilifikiri naongea na mwanaume
angalau nimwoneshe nini maana ya biashara.

bas endelea na unique, mm sikujibu tena
 
haunizidi elimu
Yaani Mimi siyo Elimu tu! nakuzidi hela .....Mbesaaa!! Money! tena siyo hela za madafu hizooo noo!! ni ile hela yenye akili, inayotamba Duniani unabishaaa?
 
Yaani Mimi siyo Elimu tu! nakuzidi hela .....Mbesaaa!! Money! tena siyo hela za madafu hizooo noo!! ni ile hela yenye akili, inayotamba Duniani unabishaaa?
Jeshi la mtu mmoja...😁
Wewe dada unaonesha ni mtu wa 'mdomo' hatari.
Hapa kipele kimepata mkunaji.
 
Mie Nakwambia ndo maana ulifukuzwa pale Dukani! unadhihirisha hapa! na ulistahili na utastahili hayo! kifupi walikudharau! ndo km hivi!

eti wajamani muoneni eti huyu awe mteja wa mtu kweli wa duka kubwa, hapo hunijui sikujui lkn uko hivi? unaweza kuwa unaongea Na Nabii wako! eti unatukana!! Mfalme gani ana domo chafu hivi??

Halafu eti anajua matumizi ya wembe wajameni? mweee!! ongea point tukuelewe siyo unaleta za matusi hapa! Labda nikusaidie ulistahili ile huduma mbovu na itakuandama Duniani mpaka kaburini!

Wakurya ndo mlivyo tunawajua kuwa mna ubabe wa kizamani sana! sikia sasa nahitimisha ''utafukuzwa sana, mpaka ukose Makao'', niamini mie na hiyo Guest Bubu yako! utafunga rasmi miezi mitatu ijayo nakupa!
😁 Mental health is real
 
Wewe dada unaonesha ni mtu wa 'mdomo' hatari.
Ndo wale waleeee!! mteja Ni Mfalme! Mkuu,mie na mdomo kwani kuna mtu hana mdomo?? au umeamua kuropoka tu?....Sikia sasa usije na sera za kiburi kwangu eti mteja ni mfalme then uniletee za kuleta ndani ya biashara zangu!

Hizo ni dharau za kishamba! kwa washamba, Maborn town sisi hatunaga hizo! sie tukifika tunafanya yetu haoooo!! hatusubiri tupongezwee! oooh Mfalme kaja!

hizo ni sifa za watu ambao hawa kwenda shule za maana km mleta mada anaye miliki guest Bubu kulee kwa AZIZI ALI BONDENI, hana hata wateja kule zaidi ya wapiga miti!

Mteja Sijakuita, wala hujaniita!, sikujui hunijui weka heshima mbele kwa uliowakuta pale! usije kujitanabaisha Oooh! mie mteja mfalme wee! ee!! ni uwizi tu wa chuma ulete huo! na ole wako nikumudu yaani nakuadabisha chemba,

mpaka uende ukasimulie vizuri huko utokako na chuma ulete lako hilo!

ukikaa vibaya nakubambika na kesi juu! ndo ujue kuna wafanya biashara wengine wamepinda!...watanieni hao hao wa Tarime mujini! lkn siyo sisi Born town km vepi jaribu uone rangi tofauti tofauti!

Mbali na hayo nikishakujua ulivyo ivo, hela yako hiyo siitaki, hata km unayo kiasi cha mtaji wangu wote na kupita! sikutaki Dukani kwangu! Milele Amina, kikwapa chako peleka hukoo!! oo!

Heshimu Biashara yangu, ninayo iheshimu Mimi!! ili na mie nikuheshimu, idharau kwa kigezo cha mteja mfalme uone moto sikufichi halooo!...

Nitakufundisha vizuri maana ya uteja ni Mfalme, na nikisha kufundisha hilo kamwe hutorudia tena asee!!.....utayaogopa Maduka ya watu!!

Wafalme ni wale wenye adabu zao walo niungisha kirafiki, na ile biashara iliyokufanya weye uje pale na kikwapa chako! ukamuonyshe mkeo kuwa yule smaki si mtu!
 
Nilichogundua huyu mtu si mzma
Mkuu weye shukuru tu unakutaga vyanamuke! na vijijana wadogo waoga/dada mapokezi! iko siku isiyokuwa na tarehe utachomwa moto! wee endelea kutafuta ufalme kwenye Biashara za watu usio wajua!

unatukana! tukana hovyo eti unadai heshima sehemu amazo hwakujui na visenti vyako vya mawazo hapo! yatakutokea puani nakuhakikishia zako zinahesabika!..amini maneno yangu!

Ubabe huo fanyia Tarime huko huko!...siyo kwa wtoto wamujini! mie nakusaidia Bureee!
 
Well! well! weel! nimerudi tena, niliondoka kidogo, Sasa nafunga mjadala km ifuatavyo hasa vijana mnaokua mnisikilize kwa makini sana nime waangaliaaa nikaona mnahitaji msaada wa bure humu;

weye kijana sijui mzee na Wenzako woote wasio jua Maana ya ''Mfalme ni mteja'' itawasaidia sana maishani, huko
acheni makasiriko u-kilaza siyo tusi bali ukweli wa Mambo jinsi ulivyo;

Kwanza umesha kiri moyoni mwako, na kwa hiari yako mwenyewe ya kuwa yeye muuza ni ''Maarufu hapo mjini kwenu'' hapo tu! umesha kiri moyoni Mwako kwamba Yeye pia ni Mfalme wa bidhaa kwa sana tu!

na ndivo ilivo no body shall take it away from him!...halafu weye umeagizwa pale, therefore wewe ni kafalme sababu unaagizwa, agizwa tu! nenda pale, nenda huku! so kafalme kalipo kutana na Mfalme nyota zikapingana hapo!

Yeye muuza bidhaa alikuwa anaongea na Mfalme bora zaidi kuliko weye kafalme, ni kawaida ya vifalme kudindishia wafalme wkt hawajui kitu, nakupa mfano, wa Savimbi, Mobutu seseko, Idd amini, Samwel Doe . Hitre nk!

Hawa woote walilazimisha ufalme km weye unavo lazimisha ufalme hapo dukani wkt huna nyota ya kifalme, huenda una damu zao hao walazimisha ufalme, basi bana wakajitanua kwa hali zooote kifedha,

Tena Mbaya zaidi wakaua watu wao wawezavyo kwa sababu tu nyota za ufalme wa kulazimisha hawakukubalika, ulipingwa kila kona! hivi ndivo vifalme km weye vina fanya! Lkn kilichowapata hakuna asiye fahamu,

yaani mwisho wao ulikuwa Mbaya mnoo!! kupita kiasi, kifupi Walizikwa kama Mbwa tu, na Record ya kumbukumbu zao Barani Africa ni mbaya hatare! na mara nyingi kuliko zote walikuwa vibaraka wa adui wa Bara la Africa!

yamkini na wewe ni kakibaraka flani hivi kakutumwa yumwa hovyo, mfalme hatumwi banaaaa!

Angalia sasa wenye damu za kifalme Barani Africa km Nkwame, Karume, Nyerere, huyu ulikuwa ukimpinga unakimbia km chizi/au unajifia kabla hata hajakugusa! sababu ya nyota fiche ya kifalme,

kuna huyu Mwana wa Africa Patrick Lumumba! huyu bana, japo aliuawa kikatili na wasio na damu ya kifalme lkn kipande tu cha Mwili wake kilipewa heshima kubwa mnoo! ya kifalme,

yaani lilizikwa jino lake tuu, kwa heshima zoote za kifalme! na kuweka minara ya kumbukumbu, mjini Kinshasa, nakwambia haya ili ujue kuwa Ufalme unaonekana tu hata kwa harufu!

Ndo maana Baadhi ya Ma-Boss anaweza kukufukuza kazi bila sababu ya msingi, sababu ya harufu yako ya kifalme yaani mtu husika ya ufalme! ukahangaika weee!

lkn mwisho wa siku ikafika akakukuta, mahala weye ukiwa Boss wake! na Mfalme sehemu zaidi ya pale alipokufukuza! ndo maisha yalivo!

Tukirudi kwenye suala lako weye hukuwa mteja ni mfalme kwake! kama ungekuwa Mfalme km yeye alivo mfalme! unge tulia na kusubiri uone Mwisho wake atafanya nini??...ila yeye alikuzidi NYota ya Ufalme!

Kuna watu humu wamesomea Marketing! pia na wamekuunga mkono! Lazima wajue kuwa siyo kila Mteja ni Mfalme akili ya kusoma changanya na yako, usiyachukulie ya kusoma kama yalivyo, ukaya fanyia kazi!

Ki Biblia zaidi Mungu alitukumbusha kwamba namnukuu....''siyo kila aniitaye Bwana! Bwana! ataingia ktk Ufalme wa Mbinguni'' mwisho wa nukuu!......so siyo kila ajae dukani kwako ni mfalme wengine wachawi tu km ulivo mfanyia huyo.

tuje kwako sasa! usijaribu kuona kila mteja ni Mwema kwako! (km alivo fanya huyo muuza duka) hasa weye kwa binafsi yako ni wazi hukuwa Mfalme Mteja mzuri kwa huyo jamaa mwenye Mali!

kwa sababu hukumsaidia yeye km yeye kuacha kitendo km kile ulicho kiona hakifai!! then uone ata respond vipi!! kinachofanya niseme ivo ni kuwa, wewe umekuja kumuanika humu!

Ili aonekane Mbaya kwa Umma, na apoteze wateja wake na hatimaye apoteze mazima alicho nacho, kwa sababu ya wivu wako tuu wa kichawi amabo ume play big part on your heart!!

badala ya kumsaidia ili abadirike, wewe badala ya kuwa Mfalme ni mteja, umekuwa Mfalme mchawi tena mchawi mbaya sana, hujamsaidia yeye!! unatwambia sie JF ili iweje?? tumchukie na tumpotezee!

Hakika ya Mungu ninaye mjua, huyo jamaa ambaye hakukujali km Mfalme , ulistahili ivo......yeye atasonga mbele mpaka uogope kumsogelea tena, hata uroge vepi!

kwa maneno! kwa ndumba! amesha kuwa na atakuwa ivo alivo na zaidi. Nachelea kusema km ungenunua bidhaa hapo huyo jamaa asinge uza siku nzima! huenda pia una kimavi tu hujijui! jichunguze!

Trust ma words! wewe ulikuwa ni kifalme kichawi kilichojawa na wivu/visununu/kiongo nk! kisicho stahili heshima hata kiduchu! hukustahili kutumwa hapo, na usirudie kutumwa! tumwa hovyo hapo! utazoea!

Acha wengine kazini hapo, wenye vismart waendelee kutumwa hapo Dukani, uone kma hawatanyanyuka!! kupitia huyo huyo! unaye muona hafai na unae muona mbaya kwako,

Binafsi Nina kusaida wewe na huyo aliye kutuma! yamkini ulimroga Boss wako, kwa Mganga ili akupe kipaumbele cha kutumwa tumwa hapo kazini kwenu! ndo maana uko ivo!...ndiyo zenu wabongo kuroga roga!

Nakusaidia wewe ili ujue kuishi na Matajiri/Maboss wa rika zote!........hata wao wana mitego yao, kukuona una uvumilivu kiasi gani! ili kujenga trust kwao! sasa Mfalme gani usiye kuwa na subira!

Kumbuka Mfalme haliii lii! hovyo km mwanamke wa Labour!! bali anapambana na kuonyesha njia hata kwa huyooo! Boss, uliye tumwa kwake, ndo heshima umea, tokea hukoo!!

umesha poteza Mkuu wala hufai kuigwa kwa lolote wala chochote!...watu hupaishwa kimaisha kwa vitu vidogo vidogo km hivi, subira/heshima/uvumilivu tu watakupenda sana! kumbuka hata wafalme wanajishusha!!

sasa weye ushaambiwa ni Mfalme baaasi unataka kuwapanda wafalme zaidi yako!! hata yeye huko anako nunua vifaa ni Mfalme pia ali -gain trust kwa hao!

Weye ilikuwa fursa kwako ujichunguze kwa sababu huenda una kimavi mavi! sasa alikuwa anakupotezea uende zako unajua kabisa mteja wa kwanza anakuwaga na baraka sana! ndo wafanya biashara tunaamini hayo!

Kuonyesha kwamba kweli una kimavi mavi angalia unavo mfanyia mwenzio! unamuanika kwa mabaya! kaogee maji ya baraka palee kwa mwaka sege ni bure tu!...mie nakusaidia bure Mkuu!
Pole sana
 
Wakurya bana wengi wana ubabe wa kishamba sana! haina maana kwenda kwenye biashara/ofisi ya Mtu na kuanza kufoka foka kisa eti unatafuta ufalme!!...alishaambiwa mteja ni mfalme basi huyooooo!

anaripuka km kombora kisa tu! eti kaona sehemu wanatoa huduma mwanana km Dubai wateja wanavo heshimiwa na huku pia anataka iwe km ivoivo!! weweeee!

sisi huku ni Bongo ya wabongo! tunaishi kibongo bongo!......''when in Rome do as Romans do'' unasikia wewe Tatoo?? utakatwa hayo masikio tyarefuke zaidi halafu ushangae! moron!
 
Kaharibu uzi wa jamaa kichizi yaani hovyo hovyo kauvuruga.
Acha chuki! nimeharibu nini hapo si tunajadili au!! kwani nimetukana mtu?? mie napinga kwa hoja na wewe njoo kwa hoja! kuhusu ufalme kwenye biashara ya mtu usiye mjua!

na uteja wako wa msimu huo! sema huna hoja za kunikabiri! nakuzidi akili mingi na mawazo ya juuu! kwa hiyo ukaona uni provoke kwa matusi ili nionekane mie ndo nimetukana lkn holaaaa! lete hoja hapa
 
Back
Top Bottom